TANZIA Suleiman Methew afariki Dunia

TANZIA Suleiman Methew afariki Dunia

Erythrocyte ni Mjinga fulani Hivi

Methew alikuwa Beki namba 5 pale Yanga na akina Godwin Aswile lakini baadae akahamia Simba na ilikuwa poa tu

Methew alikuwa kijana wa Membe na ile Chadema Kusini wote walikuwa watiifu kwa Membe na hata Wenje, Lema na Zitto ni vijana wa Membe

Methew kuwa CCM au Chadema hakuleti tofauti yoyote kwa sababu Master ni yule yule 😀😀
🤣 🤣 🤣
 
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.

Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.

Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali

Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.

APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.

Pia soma
RIP
 
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.

Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.

Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali

Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.

APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.

Pia soma
Kuna watu wanaweza kuwalaumu chadema kwenye hili na kumpomngeza nani....
 
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya soka Suleiman Methew Luwongo Amefariki Dunia.

Taarifa zilizosambazwa kwenye vyombo vya Habari, zinaeleza kwamba Bwana Methew amekutwa na umauti huo kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke, Dar es salaam.

Methew atakumbukwa kwa mengi ikiwemo Usaliti wake kwa Chadema, chama kilichompa Jukwaa la kuwania Ubunge baada ya kutupwa na CCM bila huruma, Chadema ndio iliyomtoa jela baada ya kufungwa kwa njama za Jiwe kwa tuhuma za kufanya Mkutano wa hadhara bila kibali

Pamoja na yote hayo na heshima yote hiyo Methew akaisaliti Chadema na kuhamia CCM na kupokelewa na Samia Suluhu Hassan, ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.

APUMZIKE ANAPOSTAHILI KUTOKANA NA MATENDO YAKE HAPA DUNIANI, Amina.

Pia soma
Acha kuingiza upuuzi wenu wa siasa kwenye msiba wa watu
 
Wasifu wa marehemu ni muhimu sana kwa desturi zetu, Unadhani hicho ulichoandika ndio wasifu wake? Huoni kama hujamtendea haki yeye na ndugu zake?
Unaambiwa Maisha ni kama kitabu cha hadithi, sasa katika maisha jitahidi kutengeneza hadithi nzuri, kama umenisoma vizuri nimeandika kwamba "pamoja na mengi" atakumbukwa kwa kuisaliti Chadema, katika hayo mengine yapo unayoyapenda wewe, lakini kama nimeandika uongo basi bila shaka nitakuwa nimekosea, sasa Je nimeandika uongo?

Ifike mahali nyeusi iitwe nyeusi na nyeupe iitwe nyeupe, kufichaficha mambo hakutasaidia kitu.
 
Back
Top Bottom