Sultan Tamba na Mussa Banzi Chukueni maua yenu japo bado tunawadai muendelezo wa baadhi ya filamu. Kanumba alichangia kuua soko la filamu

Hii hata mimi niliiogopa aisee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.

Sikulala!
Na vile visauti wakati wanaimba ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Chite ,Chite Ukae
Chite ,Chite Ukae
Anhaaa,Chite Ukae

Anhaa,Chite Ukae

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚noma sana.
 
For the first time nakutana na mtu ambae ambae tunafanana mawazo kuhusu Kanumba , kusema ukweli sikuwahi kumuelewa yule jamaa ,wakawaida sana Mediocre.
Alikuwa makelele makelele tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sikitiko langu ndio ya yule jamaa kipofu..?๐Ÿค”๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Old is gold, kanumba alileta umalaya kwenye tasnia hii hakuna kitu oote ya maana

Kama ile movie ya dar to Lagos ipigwe ban watoto wetu wakiangalia watasema ndo English gani ile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ

Kanumba kumbafu sana ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿ‘Ž๐Ÿ˜ƒ
 
Andiko zuri sana lakini usibeze mchango na jitihada za Kanumba kwenye tasnia ya filamu Tanzania.

Sijui nini kilikuja kuharibu hapo kati kati, lakini zamani pamoja na uduni wa vifaa vya kisasa ila unaangalia movie unaridhika kabisa.

Muziki umekuwa wa hovyo, filamu ndio usiseme hadi Mwijaku na Chris Mitindo wanaigiza, miaka iko mbio sana kweli kweli.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sijui nini kilikuja kuharibu hapo kati kati, lakini zamani pamoja na uduni wa vifaa vya kisasa ila unaangalia movie unaridhika kabisa.
Vilivyoharibu ni hivi;

-Tasnia kuvamiwa na wadangaji ,wauza sura ,wasaka umaarufu nk.

-Kulazimisha lazimisha part 1&2 bila sababu za msingi .

-Kuleta filamu nyingi sokoni kwa wakati mmoja. Mtu kwa mwezi anatoa filamu zisizopungua 10 unategemea nini hapo kama sio kulipua kazi?

-Kuletwa kwa waigizaji ambao hawakujengwa kisanaa.

-Kukosekana kwa waandishi wazuri nk.
 
Hapa TZ, vipaji ni vingi ila hakuna misingi ya kujenga na kuimarisha vipaji hivyo viwe bora.

Zamani nikiwa shule ya msingi kulikuwa na maonyesho ya sanaa yalitwa TAMASHA, yalikuwa yanafanyika pale Nkurumah Hall, Udsm. Pale shule nyingi zilishiriki kuonyesha sanaa zao kama ngoma, maigizo, nk.

Sisi hatuna hata national theatre kwaajili hiyo.
 
Kaka Kuna ile Jamaa ana wachapa fimbo, Ina itwaje hivi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ