Mleta mada imefafanua vizuri sana , hongera sana.
Naunga mkono hawa ndugu kama wapo wapewe pongezi zao kwa kazi zao, kazi zao zikuwa jana lakini leo na kesho hata kesho kutwa zitabaki kuwa bora kuliko kazi zinazofanywa leo.
Ikiwezekana pia wasitoe kwa upya kipindi hiki, maana ukienda kwenye maduka ya filamu kuipata shumileta ama insyuka itakuwa vigumu sana.
Pia wanaweza kuzitoa kwa mfumo wa sasa tofauti na Cd ama vhf na pia zikawa HD.
Yote kwa yote zilikua ni nyakati zenye filamu nzuri kuliko nyakati zote .