Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Utangulizi


IMG-20160201-WA0152.jpg

Masultani 11 waliotawala Zanzibar 1856 - 1964

Hawa masultani 11 waliotawala Zanzibar kuanzia mwaka wa 1856 hadi 1964 kesho kiama siku ya hesabu watamkabili Mola wao mikono yao ikiwa haina damu ya mauaji wala utesaji wa ndugu zao Wazanzibari. Marehemu Aman Thani ameacha kumbukumbu muhimu ya hazina ya wakati mgumu katika historia ya Zanzibar. Aman Thani ameandika na kutoa mihadhara kadhaa akieleza hali ya wasiwasi na unyama iliyogubika Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1964.

Itachukua muda kwa kizazi cha leo kuijua historia hii ya kusikitisha. Tuna wajibu wa kuisomesha historia hii si kwa nia ya kufukua makaburi na kutonesha makaovu bali kwa nia ya kuonyesha ubaya wa ubaguzi. Viongozi wa leo wana dhima kubwa kuhakikisha kuwa yale yaliyotokea Zanzibar nusu karne iliyopita hayajirudii tena.​
Maalim Mohamed Said, kama mwana historia, pia ingekuwa ni vema na haki, ungetukusanyia historia ya hawa wavamizi wa Kiarabu, waliotoka zao kwao Arabuni, wakaja kukivamia kisiwa chetu cha asili cha Zanzibar, na kukitawala kwa mabavu, toka mwaka 1932 Sultan Sayyid Said alipotua kwa mara ya kwanza Zanzibar, jee wajua Waarabu hawa waliwafanya nini wenyeji waliowakuta, hadi kuvifanya visiwa hivi ni mali yao?!.

Mimi ninazo picha kidogo, nikitoa na maelezo, kuna watu humu yatawatoka machozi, na hawahitaji hata kusikia neno Mwarabu!, ndio maana baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964, yalifurahiwa na kushangiliwa sana hadi leo hii!. Wenyewe wenye visiwa vyao, waliishakula yamini, kwenye visiwa vile, Mwarabu aendelee tuu kuishi, kutokana na kuzaliwa na kulewea, lakini kutawala, aslaan!, alichowafanya kimetosha!, wameamua Mwarabu basi!.
Pasco

upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg

upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg

upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg

upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg

upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg

upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg



upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg

images

images


images


images


images

images

images


images


images



images
 

Attachments

  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    2.8 KB · Views: 64
  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    9.5 KB · Views: 63
  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    9.7 KB · Views: 63
  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    9.8 KB · Views: 67
  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    7.2 KB · Views: 63
  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    9.7 KB · Views: 80
  • upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    upload_2016-4-13_13-53-32.jpeg
    7.3 KB · Views: 62
Hawa waarab hawakustahili juwepo Unguja....Arabs ni wabaguzi popote pale waishipo. Ilikuwa vizuri sana wao kupinduliwa na kuteswa ili waonje joto la jiwe.
 
Maalim Mohamed Said, kama mwana historia, pia ingekuwa ni vema na haki, ungetukusanyia historia ya hawa wavamizi wa Kiarabu, waliotoka zao kwao Arabuni, wakaja kukivamia kisiwa chetu cha asili cha Zanzibar, na kukitawala kwa mabavu, toka mwaka 1932 Sultan Sayyid Said alipotua kwa mara ya kwanza Zanzibar, jee wajua Waarabu hawa waliwafanya nini wenyeji waliowakuta, hadi kuvifanya visiwa hivi ni mali yao?!.

Mimi ninazo picha kidogo, nikitoa na maelezo, kuna watu humu yatawatoka machozi, na hawahitaji hata kusikia neno Mwarabu!, ndio maana baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964, yalifurahiwa na kushangiliwa sana hadi leo hii!. Wenyewe wenye visiwa vyao, waliishakula yamini, kwenye visiwa vile, Mwarabu aendelee tuu kuishi, kutokana na kuzaliwa na kulewea, lakini kutawala, aslaan!, alichowafanya kimetosha!, wameamua Mwarabu basi!.
Pasco

View attachment 337510

View attachment 337511

View attachment 337512

View attachment 337508
View attachment 337507
View attachment 337509

View attachment 337513
View attachment 337514
View attachment 337515
View attachment 337516

View attachment 337519



View attachment 337523
View attachment 337524

images

images


images


images


images

images

images


images


images



images

Pasco,
Kwanza jitulize na andika kwa lugha ya kiungwana ndiyo usomi
na kanuni za mnakasha zinavyotaka.

Ndiyo maana siku zote mkiingia mjadala na mimi nakushindeni kwa
kuwa mimi mwenzenu mbinu za mjadala nimesomeshwa na Maalim
wangu Sheikh Haruna.

Siku zote akiniasa kuwa tabia njema ni kitu adhimu nisikiache hata
kwa dakika kikaniponyoka.

Siandiki matusi wala simtukani mpinzani wangu kwani nia khasa si
mimi kushinda mjadala bali kusomesha na mimi nikasoma ili niwe na
maarifa zaidi.

Hizo picha zote ulizoweka ni picha za kuchora zilizochorwa kwa lengo
maalum na wamishionari.

Picha halisi ''photographs'' ulizoweka si za Zanzibar.
Hii mosi.

Pili historia ya Waomani kuja Zanzibar haikuwa historia ya nchi moja
kuvamia nchi nyingine.

Soma historia ya Zanzibar ili uijue haipendezi kuandika na kuingia katika
mjadala wakati somo lenyewe huna ujuzi nalo.

Hao Waarabu unaowazungumza Zanzibar hawapo maana takriban wote
wamechanganya damu na Waafrika tena kwa vizazi na vizazi.

Unaniuliza kama najua Waomani walipofika Zanzibar walifanya nini?
Labda nikuulize wewe Wareno walipofika Zanzibar walifanya nini?

Isome historia ya Zanzibar kwanza kabla hujarejea kufanya majadiliano
na mimi.

Waomani walikuja Zanzibar kwa kualikwa na ndugu zao waje wawatoe
Wareno waliotaka kuweka himaya yao na dini yao katika visiwa hivi.
 
Mh.Rais alisema ya huko hayamuhusu...na sisi tuko chini yake hatuna budi kumfuata...kwa hiyo tuachane na ya ZNZ hayana faida na sisi.wakilikoroga walinywe wenyewe.
Hapo ni kujificha kichwa kwenye kichaka na kuacha mwili wote nje kama mbuni, kama ya huko hayamhusu kwa nini hayo hayo yamesababisha Tanzania kunyimwa hela za MCC na kunyimwa msaada kutoka nchi 10 zinazochangia bajeti yetu? Pia alipeleka viko si vya jeshi la wananchi na vifaru vya kivita kwenda kupigana nchi jirani? Ni kukosa akili na weledi kusema ya ZNZ hayana faida na sisi
 
[QUOTE"Mohamed Said, post: 15834564, member: 12431"]Ilan Ramon,
Ikiwa unataka mjadala wa historia ya utumwa njoo na adabu zako
kamili tufanye mjadala.

Ukija na lugha za matusi hatutafika popote.
Tutawakaribisha hapa wajuzi wa matusi kukushinda wewe.[/QUOTE]
Mzee Mohammed si kwa nia ya kubishana ila briefly ungeweka historia ya biashara ya watumwa Zanzibar na ushiriki wa sultan, maana hata wazungu walishiriki biashara hii pia ila naona kama ukoloni wa CCM zama hizi ni mbaya na ubaguzi wa ajabu.

Kauli za mapinduzi daima, nchi hatuitoi kwa vikaratasi, waarabu waende kwao nk, inatupa hamu ya kujua history sahihi ya visiwa hivi, pia kwenye uchaguzi wa mwaka 1963 waliopiga kura walikuwa akina nani? Kuna waliozuiwa kupiga kura?

Kwa maana kama waliopindua walikuwa na dhamira ya kuleta haki visiwani huko kwa nini kuna ukandamizaji wa kiwango cha juu cha demokrasia?

Na mwisho CCM kutoka Dodoma na mwarabu kutoka Oman yupi ni mtawala mbaya zaidi ya mwingine? Nasema hivi nikimaanisha CCM ya kisiwandui bila ya vifaru vya kivita vya Magufuli sijui kama wangauweza muziki wa CUF
 
[QUOTE"Mohamed Said, post: 15834564, member: 12431"]Ilan Ramon,
Ikiwa unataka mjadala wa historia ya utumwa njoo na adabu zako
kamili tufanye mjadala.

Ukija na lugha za matusi hatutafika popote.
Tutawakaribisha hapa wajuzi wa matusi kukushinda wewe.
Mzee Mohammed si kwa nia ya kubishana ila briefly ungeweka historia ya biashara ya watumwa Zanzibar na ushiriki wa sultan, maana hata wazungu walishiriki biashara hii pia ila naona kama ukoloni wa CCM zama hizi ni mbaya na ubaguzi wa ajabu.

Kauli za mapinduzi daima, nchi hatuitoi kwa vikaratasi, waarabu waende kwao nk, inatupa hamu ya kujua history sahihi ya visiwa hivi, pia kwenye uchaguzi wa mwaka 1963 waliopiga kura walikuwa akina nani? Kuna waliozuiwa kupiga kura?

Kwa maana kama waliopindua walikuwa na dhamira ya kuleta haki visiwani huko kwa nini kuna ukandamizaji wa kiwango cha juu cha demokrasia?

Na mwisho CCM kutoka Dodoma na mwarabu kutoka Oman yupi ni mtawala mbaya zaidi ya mwingine? Nasema hivi nikimaanisha CCM ya kisiwandui bila ya vifaru vya kivita vya Magufuli sijui kama wangauweza muziki wa CUF[/QUOTE]
Ilan Ramon,
Tunaweza tukajadili historia ya utumwa ikiwa utapenda.

Uzi huu ni kuhusu ikiwa kuna historia ya sultan yoyote
ambae katika utawala wake alipata kuua raia.

Huu uzi nimeuweka makusudi ili watu wajue historia ya
mauaji yaliyofanywa Zanzibar baada ya mapinduzi.
 
Maalim Mohamed Said, kama mwana historia, pia ingekuwa ni vema na haki, ungetukusanyia historia ya hawa wavamizi wa Kiarabu, waliotoka zao kwao Arabuni, wakaja kukivamia kisiwa chetu cha asili cha Zanzibar, na kukitawala kwa mabavu, toka mwaka 1932 Sultan Sayyid Said alipotua kwa mara ya kwanza Zanzibar, jee wajua Waarabu hawa waliwafanya nini wenyeji waliowakuta, hadi kuvifanya visiwa hivi ni mali yao?!.

Mimi ninazo picha kidogo, nikitoa na maelezo, kuna watu humu yatawatoka machozi, na hawahitaji hata kusikia neno Mwarabu!, ndio maana baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964, yalifurahiwa na kushangiliwa sana hadi leo hii!. Wenyewe wenye visiwa vyao, waliishakula yamini, kwenye visiwa vile, Mwarabu aendelee tuu kuishi, kutokana na kuzaliwa na kulewea, lakini kutawala, aslaan!, alichowafanya kimetosha!, wameamua Mwarabu basi!.
Pasco

View attachment 337510

View attachment 337511

View attachment 337512

View attachment 337508
View attachment 337507
View attachment 337509

View attachment 337513
View attachment 337514
View attachment 337515
View attachment 337516

View attachment 337519



View attachment 337523
View attachment 337524

images

images


images


images


images

images

images


images


images



images
Ni kichaaa na mtumwa wa kifikra kusema waarabu/masultani hawana damu mikononi
 
Mzee Mohammed si kwa nia ya kubishana ila briefly ungeweka historia ya biashara ya watumwa Zanzibar na ushiriki wa sultan, maana hata wazungu walishiriki biashara hii pia ila naona kama ukoloni wa CCM zama hizi ni mbaya na ubaguzi wa ajabu.

Kauli za mapinduzi daima, nchi hatuitoi kwa vikaratasi, waarabu waende kwao nk, inatupa hamu ya kujua history sahihi ya visiwa hivi, pia kwenye uchaguzi wa mwaka 1963 waliopiga kura walikuwa akina nani? Kuna waliozuiwa kupiga kura?

Kwa maana kama waliopindua walikuwa na dhamira ya kuleta haki visiwani huko kwa nini kuna ukandamizaji wa kiwango cha juu cha demokrasia?

Na mwisho CCM kutoka Dodoma na mwarabu kutoka Oman yupi ni mtawala mbaya zaidi ya mwingine? Nasema hivi nikimaanisha CCM ya kisiwandui bila ya vifaru vya kivita vya Magufuli sijui kama wangauweza muziki wa CUF
Ilan Ramon,
Tunaweza tukajadili historia ya utumwa ikiwa utapenda.

Uzi huu ni kuhusu ikiwa kuna historia ya sultan yoyote
ambae katika utawala wake alipata kuua raia.

Huu uzi nimeuweka makusudi ili watu wajue historia ya
mauaji yaliyofanywa Zanzibar baada ya mapinduzi.[/QUOTE]


Mzee hivi ubaya wa kiongozi lqzma aue? Kutotenda haki ni zaidi ya kua tu kwangu mimi mwarabu hawezi toka Oman aje atawale Africa alaf et atende haki wakazi raia wanaishi kimadaraja waarabu wakiwa grade ya kwanza na waswahili grade ya mwisho
 
Kimsingi utawala wa.masultan wote Zanzibar nilikua na tabia zifuatazo..
.unyonyaji kwa Wazanzibar(ambao ni weusi wazawa).
.unyang'anyi ardhi ya Wazanzibar
.ubaguzi wa rangi
.ubinafsishaji wa biashara ya Wazanzibar
.ukatili
.ubakaji

Ivyo basi hapana sultani aliwahi kuwa msafi

Ikumbukwe kuwa masultan waliacha vizazi vyao ambao wengine mzazi mmoja niweusi, au wote waraabu ambao wale wenye asili ya kiarabu tabia hizo takes ni wamerithi mpaka leo hii..

Hivi hao unao wasema "weusi wazawa Wazanzibari" walikuwa ni kabila gani?
 
Naona mmefedheheka na kutapa tapa !! mnaleta picha za kuchora na kuchorwa ati utumwa...
Zaidi mmedanganywa katika elimu ya chekechea... Kwanini ktk elimu ya juu hiyo ya slavery hafundishwi?
ILAN RAMON
Pasco
Jamaa_Mbishi hizo hadithi za kupakiziana na kununua Utawala mpya....... Open up!!
 
Mimi ni mzanzibar mwenyewe asili kiarabu na tupo wengi hapa nchini mimi sipendi kuuficha ukweli hata kidogo lakini Hilo halipo liliopo now halitajwi wala halitaki ushahidi
 
Naona mmefedheheka na kutapa tapa !! mnaleta picha za kuchora na kuchorwa ati utumwa...
Zaidi mmedanganywa katika elimu ya chekechea... Kwanini ktk elimu ya juu hiyo ya slavery hafundishwi?
ILAN RAMON
Pasco
Jamaa_Mbishi hizo hadithi za kupakiziana na kununua Utawala mpya....... Open up!!


Zamiluni mkuu hata tipu tipu hujamsikia mkuu,soko la watumwa lipo Zanzibar na bagamoyo mbona? Unataka ushahidi gani zaidi?
 
Mimi ni mzanzibar mwenyewe asili kiarabu na tupo wengi hapa nchini mimi sipendi kuuficha ukweli hata kidogo lakini Hilo halipo liliopo now halitajwi wala halitaki ushahidi


Sema ukweli mwarabu babu zako hawakuuza na kununua watumwa ?
 
Kuna tofauti gani kati ya kina Karl peters na hawa masultani wa mzew mohamed said? Wote wavamizi na wakoloni hawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom