Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Hawa waliombwa Kuja kumtoa mreno makubaliano hapo sasa huyajui
 
Zamiluni mkuu hata tipu tipu hujamsikia mkuu,soko la watumwa lipo Zanzibar na bagamoyo mbona? Unataka ushahidi gani zaidi?
IR rafiki nikujuze katika Uarabu au kiarabu hakuna jina hilo au herufi ya "P" (Tipu tipu) !!
hiyo imeProve false UONGO mtupu mchana kweupe!! majina ya kiarabu yote tumeyarithi, kama unavyo yasikia daily...

na hiyo ya bagamoyo ni biashara waliyopelekwa kwenye mashamba ya wa faransa huko reUnion islands (Biashara ilifanywa na wazungu bhana msipakizie wengine)!!

Vitabu na picha ni toleo la GERMAN,ITALIAN,FRENCH na babalao BRITISH COLONIAL propargandaz !!!

Pasco
Jamaa_Mbishi
ILAN RAMON
 
IR rafiki nikujuze katika Uarabu au kiarabu hakuna jina hilo au herufi ya "P" (Tipu tipu) !!
hiyo imeProve false UONGO mtupu mchana kweupe!! majina ya kiarabu yote tumeyarithi, kama unavyo yasikia daily...

na hiyo ya bagamoyo ni biashara waliyopelekwa kwenye mashamba ya wa faransa huko reUnion islands (Biashara ilifanywa na wazungu bhana msipakizie wengine)!!

Vitabu na picha ni toleo la GERMAN,ITALIAN,FRENCH na babalao BRITISH COLONIAL propargandaz !!!

Pasco
Jamaa_Mbishi
ILAN RAMON



na was was uelewa wako kama unaita waarabu ni wenyeji wa Zanzibar duh basi kina botha ni wenyeji pia wa south africa! Kaaaazi kweli kweli soko la watumwa ni propaganda ?kweli hamna umaskini mbaya kamma wa fikra
 
Hawa waliombwa Kuja kumtoa mreno makubaliano hapo sasa huyajui

Najua kama mwarabu utasingizia hivyo waliowamba kumtoa mreno ni waarabu wenzao sio waafrica alafu wareno waliondoka 1668sijui sasa saidi said kajja 1832 isijui kaitwa kuwatoa wareno msumbiji labda au Angola ?
 
na was was uelewa wako kama unaita waarabu ni wenyeji wa Zanzibar duh basi kina botha ni wenyeji pia wa south africa! Kaaaazi kweli kweli soko la watumwa ni propaganda ?kweli hamna umaskini mbaya kamma wa fikra
utoto mbaya!! any thing can be planted !!!
Rafiki IR acha kuweweseka naona umesharukia kwa akina Mr. BOTHA na SA... (hao tuwaachie na yao)
Zanzibar ilikuwa HEAVEN in earth wakati wa SULTANS !! ona leo masikini wazawaa, waZenji na wakazi wanavyoishi katika JAHANAMU ya UKOLONI mweusi !! (ref:- JF threads) !!

NinaKuchellenji ELIMU hii ya watumwa au UTUMWA ifundishe Vyuoo vikuu?!!!? au izungumziwe kwa VIGOGO kama itakubalika ???
 
Ilan Ramon,
Tunaweza tukajadili historia ya utumwa ikiwa utapenda.

Uzi huu ni kuhusu ikiwa kuna historia ya sultan yoyote
ambae katika utawala wake alipata kuua raia.

Huu uzi nimeuweka makusudi ili watu wajue historia ya
mauaji yaliyofanywa Zanzibar baada ya mapinduzi.


Mzee hivi ubaya wa kiongozi lqzma aue? Kutotenda haki ni zaidi ya kua tu kwangu mimi mwarabu hawezi toka Oman aje atawale Africa alaf et atende haki wakazi raia wanaishi kimadaraja waarabu wakiwa grade ya kwanza na waswahili grade ya mwisho[/QUOTE]
Hapa tawala za kabla ya Mapinduzi zilikua za Ufalme ..na hawa hawakuvamia Znz .vipi walifika Znz mpaka wakachanganya damu na kuzaa hilo nalo ni darsa lake, mada maalum.
Lakini kwa ufupi walikua wanatawala kama wa znz na sio waraabu
Na wameifanyia makubwa sana znz yasioweza kugichika na kilijenga jina la znz mpaka limekua brand .
Kuhusu kwatawala hawa kutesa ama kuua wazanzibari ni kuwa hawakufanya hayo kwa raia wao hata siku moja. Watu walikua wayiifu kwa utawala na raia waliwapenda wakuu wao.....
Suala la utumwa ...hakihusiani na znz na wazanzibari...Hakuna mtumwa alofanywa mtumwa hata mmoja...znz kilikua ni kituo tu cha biashara ya utumwa...ni soko kuu la watumwa.
Watumwa hawakuchukuliwa kutoka watu walostaarabika na wenye dini ...wazungu wanunuzi wakuu wa watumwa walipenda watu wajinga zaidi ili kuwa control zaidi ...hivyo znz tayri ilikua ni nchi ilostarrabika sio rahisi kumfanya mtu mtumwa na kumuuza nje.

Wazanzbari hawakuteswa wala kufanywa watumwa...si mmakunduchi ,wala mpemba, wala mtumbatu alofanywa mtumwa...
Mapinduzi yalikuja kuua watu , waislam , kwa sababu walio iliwa mapinduxi sio waraabu pekee yao bali wazanzibari...kwa sababu walofanya yale mauaji sio wazanzibari ni wageni na wakuja ambao hawana ndugu znz.na ndio vizazi vyao vingalipo sasa
 
na was was uelewa wako kama unaita waarabu ni wenyeji wa Zanzibar duh basi kina botha ni wenyeji pia wa south africa! Kaaaazi kweli kweli soko la watumwa ni propaganda ?kweli hamna umaskini mbaya kamma wa fikra
Ilan Ramon,
Afrikaans Afrika Kusini ni kwao na ndiyo unaona haikuwa sera ya
ANC kuwa waondoke nchini na hadi leo bado wapo wanaishi hapo.

Waomani wamekuja karne na vizazi vyao ndiyo hawa wewe unawaona
kuwa ni ''Waarabu,'' lakini hawa wamechanganya damu na wenyeji kwa
miaka na miaka.

Tatizo kubwa la wahafidhina ni kudhani kuwa kuna watu ndani ya visiwa
vya Zanzibar si kwao ila wale Wazaramo walioingia Zanzibar miaka ya 1940.
 
na was was uelewa wako kama unaita waarabu ni wenyeji wa Zanzibar duh basi kina botha ni wenyeji pia wa south africa! Kaaaazi kweli kweli soko la watumwa ni propaganda ?kweli hamna umaskini mbaya kamma wa fikra


Huyu mtu kwa kweli ana matatizo ya kisaikolojia au tu ana uelewa mdogo na anachosema ila analazimisha watu wampe support.
 
Ni kichaaa na mtumwa wa kifikra kusema waarabu/masultani hawana damu mikononi
Mkuu Ilan Ramon, hapa unamaanisha nini?!, utaka kutuambia kuwa huyu nanii ni kichaa?!, au yoyote anayesema Wavamizi Waarabu na Masultani wao wa uvamizi, hawana damu mikononi ni kichaa na mtumwa wa fikra?!, then mimi Pasco wa jf ni kichaa, maana nina uhakika 100% ya 100% masultani wa Zanzibar, hawana damu kabisa mikononi mwao, kwa sababu hawakuua kwa mikono, walioua kwa majambia na mijeledi, damu haikugusa kabisa mikono yao!.

Pasco
 
Mkuu Ilan Ramon, hapa unamaanisha nini?!, utaka kutuambia kuwa huyu nanii ni kichaa?!, au yoyote anayesema Wavamizi Waarabu na Masultani wao wa uvamizi, hawana damu mikononi ni kichaa na mtumwa wa fikra?!, then mimi Pasco wa jf ni kichaa, maana nina uhakika 100% ya 100% masultani wa Zanzibar, hawana damu kabisa mikononi mwao, kwa sababu hawakuua kwa mikono, walioua kwa majambia na mijeledi, damu haikugusa kabisa mikono yao!.

Pasco
Pasco,
Tumia mantiki kidogo tu.
Utanunua mtumwa wa kukutumikia umuue?

Awali nilikuambia kuwa hizo picha za watumwa ulizoweka
si za Zanzibar.

Huo unaosema ni uongo uliotungwa na wamishionari waliokuwa
Afrika katika taarifa zao Ulaya ili waongezewe fedha za misaada.

Pasco,
Soma ulijue somo ndipo ujadili.

Hapa tunazungumza ''atrocities,'' zilizofanywa katika na baada ya
mapinduzi miaka michache iliyopita na bado hii leo tuna tatizo la
Mazombie.

Historia unayotaka kuileta wewe ni ya miaka 200 iliyopita.
 
Mohamed Said naomba unisahihishe kwa hili. Nadhani kipindi hicho utumwa kwa Watanganyika ulikuwa umepamba moto na ulikuwa ukiendelea chini ya hao uliowataja na pia Zanzibar palitumika kama sehemu mojawapo Africa kukusanya na ku Depot watumwa nchi mbali mbali .

Je kama hilo lilitokea chini yao ni sahihi nikisema wana damu mikononi mwao?
 
Pasco,
Tumia mantiki kidogo tu.
Utanunua mtumwa wa kukutumikia umuue?

Awali nilikuambia kuwa hizo picha za watumwa ulizoweka
si za Zanzibar.

Huo unaosema ni uongo uliotungwa na wamishionari waliokuwa
Afrika katika taarifa zao Ulaya ili waongezewe fedha za misaada.

Pasco,
Soma ulijue somo ndipo ujadili.

Hapa tunazungumza ''atrocities,'' zilizofanywa katika na baada ya
mapinduzi miaka michache iliyopita na bado hii leo tuna tatizo la
Mazombie.

Historia unayotaka kuileta wewe ni ya miaka 200 iliyopita.
Mkuu Maalim, kwa heshma na taadhima, nakuomba kwanza acha chuki zako na wamisionari, pili hata kama lengo lako ni kuutetea Uislamu, lakini mara moja moja kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, kwa sababu naamini kabisa unayajua fika madhila yaliyowapata ndugu zetu Wamatumbi wakati wa kipindi chote cha utumwa chini ya Wavamizi Waarabu na utawala wao dhalimu!. Hizo picha japo ni za kuchorwa, kiukweli kilichowapata ni kibaya kuliko hata hicho kilichochorwa!. Chini ya utawala dhalimu wa Waarabu, watumwa wote wanaume walihasiwa!, hicho kizazi chote cha machotara, ni Wanaume dhalimu wa Kiarabu kuwaingilia kwa nguvu watumwa wa kike ambao walinunuliwa mahsusi kama wajakazi, na pale waliposhika ujauzito, wamiliki walikuwa huru, kuwaua kwa kuwatoboa matumbo, kutoa, kiumbe ambacho ndicho kilizikwa, na mwili wa mtumwa ulifukiwa tuu kama mzoga!.

Jee wajua kuwa hata baada ya kupigwa marufuku kwa biashaa haramu ya watumwa duniani kote, biashara hii iliendelea kufanyika Zanzibar kwa siri?!. Jee wajua kuna njia za chini kwa chini zimechimbwa Bagamoyo na Zanzibar ambapo watumwa walifichwa kwenye mapango na kupitishwa chini kwa chini hadi baharini?

Jee ulikuwa unajua kuwa kila Sultani, wake zao na watoto zao, walipokufa, walizikwa na watumwa hai?!. Jee wajua kwenye jengo la Beit Al Ajab, kwenye kila milingoti hapo, ndani walimuweka mtumwa hai mwanamume?!. Jee wajua waliofanikisha kukomesha biashaa ya Utumwa Zanzibar ni akina nani?!. Kwa kusaidia tuu, waliokomesha biashara hii dhalimu Zanzibar ni wamisionari, ambao waliingia kabisa mkatataba na Sultani dhalimu wa Zanzibar, ndipo ikukubaliwa kuwa watumwa wote wenye kutaka kuwa huru, lazima wagombolewe kwa wale matajii wao kulipwa fedha, ambapo hao wamisionari, waliwalipia fedha kuwagomboa, na ndipo wakaanzisha kanisa la kwanza kabisa Afrika Mashariki, lilianzia Zanzibar, na waumini wa kwanza, ni watumwa waliogombolewa!. Pitia hapa
'Missionaries and Muslims in East Africa
A report on slavery and the slave trade in Zanzibar, Pemba ...
AFRICAN REVOLT| Slave Revolt | Zanzibar Revolt ...
The impact of the slave trade on Africa - Le Monde ..

Jee wajua kitu walichofanyiwa Waarabu dhalimu hawa baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ilikuwa ni katika kujibu tuu au payback ya "what goes around, comes around?!", ila hapa naomba kukiri wazi, kuwa sio Waaabu wote kabisa walikuwa madhalimu kwa kuwatenda vibaya watumwa wao!, wako Waarabu ambao waliwatendea wema watumwa wao, na wamisionari walipotaka kuwagomboa, watumwa hao walikataa kwa ridhaa zao, hivyo wakaendelea kubaki utumwani kwa ridhaa zao wenyewe!.

Wako Waarabu, waliwapenda watumwa wa kike, japo waliwanunua kama vijakazi kwa ajili ya kuwafanya watumwa wa mapenzi, lakini wapo waliotokea na kuwapenda kwa mapenzi ya dhati, wengine wakawaoa na kuwa masuria, na wakawazalia watoto!. Namfahamu mmoja wa watoto wa Sultani ambaye alizaliwa na suria, na yungalipo hai hadi leo!.

upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
















Hizi ni picha za Zanzibar!, ni picha za kupigwa kweli, na nyingine japo ni za kuchorwa, lakini zinaonyesha ukweli halisi!.

Pasco
 

Attachments

  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    6.6 KB · Views: 59
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    6.9 KB · Views: 63
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9 KB · Views: 59
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9.1 KB · Views: 60
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9 KB · Views: 62
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    11.4 KB · Views: 61
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9.4 KB · Views: 64
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    11.8 KB · Views: 67
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    7.9 KB · Views: 60
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9.4 KB · Views: 66
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9.6 KB · Views: 62
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    8.6 KB · Views: 62
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9.7 KB · Views: 61
  • upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    upload_2016-4-16_7-21-20.jpeg
    9.2 KB · Views: 65
Mohamed Said naomba unisahihishe kwa hili. Nadhani kipindi hicho utumwa kwa Watanganyika ulikuwa umepamba moto na ulikuwa ukiendelea chini ya hao uliowataja na pia Zanzibar palitumika kama sehemu mojawapo Africa kukusanya na ku Depot watumwa nchi mbali mbali .

Je kama hilo lilitokea chini yao ni sahihi nikisema wana damu mikononi mwao?
Mkuu Afrodance, damu ni kwenye nyororo na kwenye jambia na sio kwenye mikono yao, mikono yao ni safi kabisa!.
Pasco
 
SASA NAELEWA KWA NINI CCM hawawezi kuacha Zanzibar irudi mikononi mwa waliowatesa na kuwadhuru babu na bibi zetu. naelewa kwa nini watu wanafuka moshi midomoni mwao kutaka kuwarudisha waarabu. ni ile hali ya kuzoea utumwa, dhulma ikikomaa sana hufanywa haki. leo hii kweli kuna waafrika wanataman waje kutawaliwa na wazungu, leo hii kweli kuna waafrika wanataman wawarudishe waarab waje kuwatawala.

CCM IDUMISHE MAPINDUZI YA ZANZIBAR NA HATUTAKUJA KURUHUSU ZANZIBAR ICHUKULIWE NA CHAMA CHENYE MISINGI YA KURUDISHA UTUMWA ZANZIBAR. CCM waendelee kushikiria nchi ya zanzibar ili isiingie tena kwenye machafuko ya miaka ile. wazazi wetu kwa kushirikiana na John Okello walihatarisha maisha yao kuikomboa zanzibar. mapinduzi daima. MAPINDUZI MILELE.
wale ambao wamezikumbuka tende na halua watazipata tu wala si shida lakini wakizikumbuka kiasi cha kutaka kumleta mwarabu zanzibar basi wajue wataishia tu kuota, HARAKATI ZA KUMSAFISHA MWARABU HAZITASAIDIA KITU. WATU WANAJITAMBUA. WAARABU WANGEPATA DAMU mikononi mwao kwa namna gani ikiwa walitumia MAJAMBIA,na kutumia watu wengine waue. kwan hatuoni leo hii waarabu wanavyoendelea kuua na kuana hata wenyewe kwa wenyewe? hatuoni penye waarabu wa kujiasili wanavyotumika kuua waafrika wenzao kwa sabab ya kutoutiana mitizamo? zanzibar haitorud oman hata siku moja. tutaibakiza afrika kwa namna zote. na haitoenda ulaya hata siku moja itabak afrika kwa waafrika wetu.
 
Utangulizi


IMG-20160201-WA0152.jpg

Masultani 11 waliotawala Zanzibar 1856 - 1964

Hawa masultani 11 waliotawala Zanzibar kuanzia mwaka wa 1856 hadi 1964 kesho kiama siku ya hesabu watamkabili Mola wao mikono yao ikiwa haina damu ya mauaji wala utesaji wa ndugu zao Wazanzibari. Marehemu Aman Thani ameacha kumbukumbu muhimu ya hazina ya wakati mgumu katika historia ya Zanzibar. Aman Thani ameandika na kutoa mihadhara kadhaa akieleza hali ya wasiwasi na unyama iliyogubika Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1964.

DSCN0231.JPG

Aman Thani

Itachukua muda kwa kizazi cha leo kuijua historia hii ya kusikitisha. Tuna wajibu wa kuisomesha historia hii si kwa nia ya kufukua makaburi na kutonesha makaovu bali kwa nia ya kuonyesha ubaya wa ubaguzi. Viongozi wa leo wana dhima kubwa kuhakikisha kuwa yale yaliyotokea Zanzibar nusu karne iliyopita hayajirudii tena.

Zanzibar/Unguja kuna laana,Damu nyingi za wasio na hatia hulia katika Ardhi yake.
Hilo ndio tatizo,hakuna haja ya kutafuta mchawi...Tafuteni dawa.
 
Utangulizi


IMG-20160201-WA0152.jpg

Masultani 11 waliotawala Zanzibar 1856 - 1964

Hawa masultani 11 waliotawala Zanzibar kuanzia mwaka wa 1856 hadi 1964 kesho kiama siku ya hesabu watamkabili Mola wao mikono yao ikiwa haina damu ya mauaji wala utesaji wa ndugu zao Wazanzibari. Marehemu Aman Thani ameacha kumbukumbu muhimu ya hazina ya wakati mgumu katika historia ya Zanzibar. Aman Thani ameandika na kutoa mihadhara kadhaa akieleza hali ya wasiwasi na unyama iliyogubika Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1964.

DSCN0231.JPG

Aman Thani

Itachukua muda kwa kizazi cha leo kuijua historia hii ya kusikitisha. Tuna wajibu wa kuisomesha historia hii si kwa nia ya kufukua makaburi na kutonesha makaovu bali kwa nia ya kuonyesha ubaya wa ubaguzi. Viongozi wa leo wana dhima kubwa kuhakikisha kuwa yale yaliyotokea Zanzibar nusu karne iliyopita hayajirudii tena.



Hivi uwongo nao huwa ni nguzo moja ya ibada kwenye dini ya amani? Mbona hivi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom