Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Mkuu Ilan Ramon, hapa unamaanisha nini?!, utaka kutuambia kuwa huyu nanii ni kichaa?!, au yoyote anayesema Wavamizi Waarabu na Masultani wao wa uvamizi, hawana damu mikononi ni kichaa na mtumwa wa fikra?!, then mimi Pasco wa jf ni kichaa, maana nina uhakika 100% ya 100% masultani wa Zanzibar, hawana damu kabisa mikononi mwao, kwa sababu hawakuua kwa mikono, walioua kwa majambia na mijeledi, damu haikugusa kabisa mikono yao!.

Pasco
Hahhahaha mkuu Pasco nasadiki andiko lako la kifimbo haswaaa ndio uhalisia
 
Ilan Ramon,
Afrikaans Afrika Kusini ni kwao na ndiyo unaona haikuwa sera ya
ANC kuwa waondoke nchini na hadi leo bado wapo wanaishi hapo.

Waomani wamekuja karne na vizazi vyao ndiyo hawa wewe unawaona
kuwa ni ''Waarabu,'' lakini hawa wamechanganya damu na wenyeji kwa
miaka na miaka.

Tatizo kubwa la wahafidhina ni kudhani kuwa kuna watu ndani ya visiwa
vya Zanzibar si kwao ila wale Wazaramo walioingia Zanzibar miaka ya 1940.


Mzee.wangu mimi sisemi waarabu wafukuzwe Zanzibar.kwanza wala sisemi sio.kwao.mana wamelowea vizazi na vizazi laki.tuweke tu historia sawa haiwezekani watawala wa kioman wawatendee mema.waafrica hicho kitu hakipo hakiwezekani kabisaaaa
 
utoto mbaya!! any thing can be planted !!!
Rafiki IR acha kuweweseka naona umesharukia kwa akina Mr. BOTHA na SA... (hao tuwaachie na yao)
Zanzibar ilikuwa HEAVEN in earth wakati wa SULTANS !! ona leo masikini wazawaa, waZenji na wakazi wanavyoishi katika JAHANAMU ya UKOLONI mweusi !! (ref:- JF threads) !!

NinaKuchellenji ELIMU hii ya watumwa au UTUMWA ifundishe Vyuoo vikuu?!!!? au izungumziwe kwa VIGOGO kama itakubalika ???


Hizo habar za heven on earth ni historia ilioandikwa na watawala kaka kujipendelea yes it was heven for Arabs not black Africans,ingekuwa heven wasingepinduliwa 64 hamna mkoloni asiekuwa dhalimu acheni kuamini kila sultani.kuwa ni mjukuu wa mtume sio kweli
 
Hizo habar za heven on earth ni historia ilioandikwa na watawala kaka kujipendelea yes it was heven for Arabs not black Africans,ingekuwa heven wasingepinduliwa 64 hamna mkoloni asiekuwa dhalimu acheni kuamini kila sultani.kuwa ni mjukuu wa mtume sio kweli
Still utakuwa Rafiki na tunachangia utaifa... ila vijana wengi mmekoshwa na maji ya kuaminishwa..BRAIN WASH....waarabu walijenga udugu na wawazawaa..Waarabu waliunganisha makabila hadi kulizaa LUGHA taamu ya Kiswahili na waarabu walishirikisha watemi na wenyeji kuunda USTAARABU kwa UMMA huu unaoishi hapa!!

Waarabu kamwe hawakuwa na msilahi tu ya kutawala ndo maana walivyo pinduliwa kwa damu... wakakubali kuwa raia wema na kusalim amri (kama dini yao invyosema SALIM SALAAMA) Uhakiki huu umedhihirisha tangu UHURU hapakuwa na machafuko from any ARABs hapa !!
Udhalimu ni haramu na Mwenyeezi Mungu kakataza dhulma...
 
Still utakuwa Rafiki na tunachangia utaifa... ila vijana wengi mmekoshwa na maji ya kuaminishwa..BRAIN WASH....waarabu walijenga udugu na wawazawaa..Waarabu waliunganisha makabila hadi kulizaa LUGHA taamu ya Kiswahili na waarabu walishirikisha watemi na wenyeji kuunda USTAARABU kwa UMMA huu unaoishi hapa!!

Waarabu kamwe hawakuwa na msilahi tu ya kutawala ndo maana walivyo pinduliwa kwa damu... wakakubali kuwa raia wema na kusalim amri (kama dini yao invyosema SALIM SALAAMA) Uhakiki huu umedhihirisha tangu UHURU hapakuwa na machafuko from any ARABs hapa !!
Udhalimu ni haramu na Mwenyeezi Mungu kakataza dhulma...
Zamiluni Zamiluni,
Nami naongozea.

Kutokana na propaganda za utumwa ndipo Waarabu wengi
wakadhulumiwa roho zao na kuuawa na wala hawakuuliwa
na ndugu zao Wazanzibari bali na mamluki kutoka kambi ya
Kipumbwi na Sakura, Tanga.

Tujitahidini sana kuondoa hizi fitna leo hazina nafasi katika
jamii tunayoijenga.
 
Sjjaangalia lini umejiunga na JamiiForum,

Je, mabandikk ya Muhamed Said umewahi kjyasoma?
Mshughulishaji,
Nami naongeza.

Huyu Bwana Hiram kwanza awe na adabu katika majadiliano kwa
afya ya kubadilishana fikra.

Ikiwa ana ugomvi na Uislam hakika atapata shida kubwa na mimi
kwani sifa yangu kuu ni kuirejesha katika historia yetu mchango wa
Waislam katika uhuru wa Tanganyika.
 
Hizo habar za heven on earth ni historia ilioandikwa na watawala kaka kujipendelea yes it was heven for Arabs not black Africans,ingekuwa heven wasingepinduliwa 64 hamna mkoloni asiekuwa dhalimu acheni kuamini kila sultani.kuwa ni mjukuu wa mtume sio kweli
Ilan Ramon,
Huenda wewe kwa kuna si Muislam hujui hadhi ya Mtume Muhammad (SAW).
Usilete jina lake katika haya.

Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar si kama unavyoijua wewe.
Mapinduzi hayakutoka Zanzibar.

Zanzibar ilivamiwa na mamluki kutoka kambi ya Kipumbwi.

Sitoweza kukueleza kila kitu hapa lakini nakushauri usome
kitabu cha Harith Ghassany ''Kwaheri Uhuru Kwaheri Ukoloni.''
 
Mzee.wangu mimi sisemi waarabu wafukuzwe Zanzibar.kwanza wala sisemi sio.kwao.mana wamelowea vizazi na vizazi laki.tuweke tu historia sawa haiwezekani watawala wa kioman wawatendee mema.waafrica hicho kitu hakipo hakiwezekani kabisaaaa
Ilan Ramon,
Lete ushahidi kuwa masultani waliweka jela za mateso kama
''Kwa Ba Mkwe,'' na ''Kiinua Miguu,'' katika utawala wao.

Lete shahidi ambae atashuhudia kuwa ndugu yake aliuawa na
Sultani au mali yake imedhulumiwa na Sultani.

Unaandika jambo ambalo huna ujuzi nalo.
Soma historia ya Zanzibar kwanza kisha ndiyo urejee hapa.
 
Utangulizi


IMG-20160201-WA0152.jpg



Masultani 11 waliotawala Zanzibar 1856 - 1964

Hawa masultani 11 waliotawala Zanzibar kuanzia mwaka wa 1856 hadi 1964 kesho kiama siku ya hesabu watamkabili Mola wao mikono yao ikiwa haina damu ya mauaji wala utesaji wa ndugu zao Wazanzibari. Marehemu Aman Thani ameacha kumbukumbu muhimu ya hazina ya wakati mgumu katika historia ya Zanzibar. Aman Thani ameandika na kutoa mihadhara kadhaa akieleza hali ya wasiwasi na unyama iliyogubika Zanzibar baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1964.

DSCN0231.JPG

Aman Thani

Itachukua muda kwa kizazi cha leo kuijua historia hii ya kusikitisha. Tuna wajibu wa kuisomesha historia hii si kwa nia ya kufukua makaburi na kutonesha makaovu bali kwa nia ya kuonyesha ubaya wa ubaguzi. Viongozi wa leo wana dhima kubwa kuhakikisha kuwa yale yaliyotokea Zanzibar nusu karne iliyopita hayajirudii tena.


Hata Neo-Nazi wanaamini Hilter hakuwa mtu mbaya.
 
Mkuu Afrodance, damu ni kwenye nyororo na kwenye jambia na sio kwenye mikono yao, mikono yao ni safi kabisa!.
Pasco
Na je waliruhusu Utumwa au waliupinga?

Maana kuwa Sultan na dhani una nguvu fulani ya kukataa au kukubali kitu. Au walikuwa kimya tu ?
 
Na je waliruhusu Utumwa au waliupinga?

Maana kuwa Sultan na dhani una nguvu fulani ya kukataa au kukubali kitu. Au walikuwa kimya tu ?
Afrodenzi,
Toka tumeanza huu mjadala.
Hajatokea mtu na ushahidi kuwa alikuwapo Sultani aliyeua.

Au kulikuwako na Sultani aliyekuwa na jela ya mateso au
alikuwapo Sultani na watu waliokuwa wakipita majiani na
kupiga watu au kuwatisha kwa hili au lile.
 
Afrodenzi,
Toka tumeanza huu mjadala.
Hajatokea mtu na ushahidi kuwa alikuwapo Sultani aliyeua.

Au kulikuwako na Sultani aliyekuwa na jela ya mateso au
alikuwapo Sultani na watu waliokuwa wakipita majiani na
kupiga watu au kuwatisha kwa hili au lile.

Mzee Mohammed hivi una ushahidi gani kama Hitler aliua?
 
Ilan Ramon,
Lete ushahidi kuwa masultani waliweka jela za mateso kama
''Kwa Ba Mkwe,'' na ''Kiinua Miguu,'' katika utawala wao.

Lete shahidi ambae atashuhudia kuwa ndugu yake aliuawa na
Sultani au mali yake imedhulumiwa na Sultani.

Unaandika jambo ambalo huna ujuzi nalo.
Soma historia ya Zanzibar kwanza kisha ndiyo urejee hapa.


Ushahidi seyyid saidi alikuwa mfanya biashara mkubwa wa utumwa
 
Full Propaganda na Upandikizaji wa historiya ilimradi Mamissionaries wakubalike kuweka kambi lao Africa!! Na kweli walicheza fitina hizo na kujipamba.. hadi walipo nyakuwa utawala na kutamaliki UKOLONI mambosasa....
DIVIDE and RULE !! "" Wagaweni ili muwatawale"

afrodenzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom