Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Sasa mzee kusema tu walikuwa 'wananunua watumwa kwa ajili ya kuwasaidia mashambani' unaelewa maana yake!? Unataka kusema wakishawanunua walikuwa wanawaachia huru au wanaendelea kuwatumikisha kama watumwa katika mashamba yao...unajua tofauti ya 'utumwa' na biashara ya 'utumwa'

Tatizo la Mzee Mhemedi hapendi kuangalia uhalisia wa mambo nje ya imani yake!!! Kwake yeye Muumini mwenziye katu hakosei!!!! Awe wa leo hata wa jana!!!
 
Tatizo la Mzee Mhemedi hapendi kuangalia uhalisia wa mambo nje ya imani yake!!! Kwake yeye Muumini mwenziye katu hakosei!!!! Awe wa leo hata wa jana!!!
Mzee mkongwe "The LEGEND safri ni safari"
una uhakika kuwa safari za kwanza za Waarabu walikuja kufuata watumwa? au walikuwa katika msafara wao mwengine... Jee lengo lao lilikusudia kubeba watumwa.. nani anajibu hilo?!?!?
Hapo ndiyo pakuaanzia... Bidhaa (watumwa) walikuwa tayari for EXPORT au kutafuwa na kuaandaliwa?!! na mda wote huo wa kuwasubiri wanunuzi hao watumwa walilelewa na kulishwa na kutunzwa na nani??? kwa sababu msafara haukuwa na TAARIFA maalum!!
 
Mkuu waarabu walifanya biashara ya utumwa bagamoyo na zanzibar hilo halina ubishi ila sio kila mwarabu alikuwa slave master.
Mkuu kwa hsehima na upole nijibu hapa?!!
una uhakika kuwa safari za kwanza za Waarabu walikuja kufuata watumwa? au walikuwa katika msafara wao mwengine... Jee lengo lao lilikusudia kubeba watumwa.. nani anajibu hilo?!?!?
Hapo ndiyo pakuaanzia... Bidhaa (watumwa) walikuwa tayari for EXPORT au kutafuwa na kuaandaliwa?!! na mda wote huo wa kuwasubiri wanunuzi hao watumwa walilelewa na kulishwa na kutunzwa na nani??? kwa sababu msafara haukuwa na TAARIFA maalum!!
 
Mzee mkongwe "The LEGEND safri ni safari"
una uhakika kuwa safari za kwanza za Waarabu walikuja kufuata watumwa? au walikuwa katika msafara wao mwengine... Jee lengo lao lilikusudia kubeba watumwa.. nani anajibu hilo?!?!?
Hapo ndiyo pakuaanzia... Bidhaa (watumwa) walikuwa tayari for EXPORT au kutafuwa na kuaandaliwa?!! na mda wote huo wa kuwasubiri wanunuzi hao watumwa walilelewa na kulishwa na kutunzwa na nani??? kwa sababu msafara haukuwa na TAARIFA maalum!!

Inabidi urudi nyuma sana katika historia na uelewe evolution ya human society. Ni topic ndefu sana ila slavery ni moja ya stages zake. Baada ya jamii mbalimbali kuivuka hii stage ilibidi watumwa watafutwe mbali zaidi. Hawa wauza watu walipofika huku Afrika walikuta mali za quality ya juu maana mungu ametujaalia sana waafrika katika physique lakini si katika maarifa. Jamaa walitumia maarifa kutufanya watumwa. Walipomaliza all able bodied elements kwenye coastline wakaingingia interior zaidi. Ndio maana leo hii watu wa pwani wengi narenare sana.....A sorry to say this.....
 
Sasa mzee kusema tu walikuwa 'wananunua watumwa kwa ajili ya kuwasaidia mashambani' unaelewa maana yake!? Unataka kusema wakishawanunua walikuwa wanawaachia huru au wanaendelea kuwatumikisha kama watumwa katika mashamba yao...unajua tofauti ya 'utumwa' na biashara ya 'utumwa'
Sasa wakuu, mbona mnatuchanganya hivi... Wengine humu munasema watumwa walikuwa mashambani na wengine mnasema walipelekwa huko na wengine nao akina mzee Safari ni safari anasema walipelekwa kucheza soka !!
Khaaah.... yaani Kumradhi mfano raisa OBAMA nae alipelekwa kucheza BASKETIBOLI ???!
Hivo akili zenu zipojee...? Dunia kweli kuna maajabu...haswa ukitembea kwenye mgongo wake ndiyo utashuhudia.. ila uukiduwaa haku vijiweni mtabakia na hadithi za akina kingi Goji na Elizabethi (Western propaganda za Makanisani) !!!


Safari_ni_Safari
 
Inabidi urudi nyuma sana katika historia na uelewe evolution ya human society. Ni topic ndefu sana ila slavery ni moja ya stages zake. Baada ya jamii mbalimbali kuivuka hii stage ilibidi watumwa watafutwe mbali zaidi. Hawa wauza watu walipofika huku Afrika walikuta mali za quality ya juu maana mungu ametujaalia sana waafrika katika physique lakini si katika maarifa. Jamaa walitumia maarifa kutufanya watumwa. Walipomaliza all able bodied elements kwenye coastline wakaingingia interior zaidi. Ndio maana leo hii watu wa pwani wengi narenare sana.....A sorry to say this.....
Kaka yangu Mpendwa
Kwa heshima na taadhima naomba uwaombe RADHI na msamah wana wa PWANI.. hilo kwako naamini ndo utamaduni wako !! omba radhi.....
Hiyo story ni ktk vitabu tu mkuu!! Hutoniaminisha maandishi ya WESTERN PROPAGANDAAAAA!!!!!!!
 
Sasa wakuu, mbona mnatuchanganya hivi... Wengine humu munasema watumwa walikuwa mashambani na wengine mnasema walipelekwa huko na wengine nao akina mzee Safari ni safari anasema walipelekwa kucheza soka !!
Khaaah.... yaani Kumradhi mfano raisa OBAMA nae alipelekwa kucheza BASKETIBOLI ???!
Hivo akili zenu zipojee...? Dunia kweli kuna maajabu...haswa ukitembea kwenye mgongo wake ndiyo utashuhudia.. ila uukiduwaa haku vijiweni mtabakia na hadithi za akina kingi Goji na Elizabethi (Western propaganda za Makanisani) !!!


Safari_ni_Safari

Nimekuonyesha picha lile kwa maana maalum. Sikusema pahala popote kuwa watumwa walipelekwa kule kucheza soka. Soka limeanza utumwa usheisha. Obama hahusiani na utumwa kwa kuwa yeye na wengine wachache sana walifika Ameriki pasi na utumwa bali mihangaiko ya wazazi wao tu katika kuonja rangi mbalimbali za akina mama
 
Sasa mzee kusema tu walikuwa 'wananunua watumwa kwa ajili ya kuwasaidia mashambani' unaelewa maana yake!? Unataka kusema wakishawanunua walikuwa wanawaachia huru au wanaendelea kuwatumikisha kama watumwa katika mashamba yao...unajua tofauti ya 'utumwa' na biashara ya 'utumwa'
Hiram,
Hakuna anekataa kuwa hapakuwapo na biashara hiyo.
Kinachokataliwa ni zile propaganda.
 
Loooh !! Duuuh !! UONGO wa kufa mtu... na UONGOOO wakupitiliza...
Ati minyororo !! hizo cheni za vyuma umriwake ni juzi juzi na huko arabuni hakikuwa na workshop hata moja enzi hizo !! Halafu eti cheni ngapi zahitajika kuwafunga watumwa mia au elfu au maelfu na kuwaleta hadi pwani !! khaaaa UONGO kwa wajinga ndiyo unasadikika !! kwa sababu mjinga hatumii LOGIC !! au akili pevu !!!
leo hii ukibebeshwa mfuko wa rambo u kuanzia buguruni hadi kariakoo utazimia mara kumi njiani.....!!
Shenzzz type hawa wa Magharibi(wadhungu waongo sana) ati umbebeshe mtu mzigo na umfunge minyororo na umkokote kutoka interior panda shuka hadi BAGAMOYO..mmmmmmh kweli hayo si uongo ulokubuhu !!
Ndgu. acheni bhana...... tunawashangaa kweli!!
 
Mzee Mhemedi mbona haya unayo yazungumzia ni ya mwishimwisho wa biashara ya utumwa? Ninachojua mimi utumwa kule Middle East upo hata kabla ya mitume na hawa waarabu walifika pwani ya Afrika mapema sana hata kabla ya wazungu kuja. Walichofuata ni watumwa.Kwani umemsahau Zayd ibn Harithah ?
Safari,
Ukiwa unataka maskhara na mimi hii si tabu hata kidogo mimi
ni mtu wa maskhara sana na ninaweza kukupa majina yangu
mengine ukawa unayatumia kuniita.

Maskhara baina ya watu ni dalili njema ya mapenzi.

Lakini hapa tuko katika majadiliano mazito sitopenda tuingine
utani.

Bibi yangu yeye akiniita Mwamedi.
Siku akifurahi nakuwa ''bwana.''
 
Hawa waarab hawakustahili juwepo Unguja....Arabs ni wabaguzi popote pale waishipo. Ilikuwa vizuri sana wao kupinduliwa na kuteswa ili waonje joto la jiwe.
Huu mtazamo wangu na mwenye akili timamu...
Pasco
ILAN RAMON
Loooh !! Duuuh !! UONGO wa kufa mtu... na UONGOOO wakupitiliza...
Ati minyororo !! hizo cheni za vyuma umriwake ni juzi juzi na huko arabuni hapakuwa na workshop hata moja enzi hizo !! Halafu eti cheni ngapi zahitajika kuwafunga watumwa mia au elfu au maelfu na kuwaleta hadi pwani !! khaaaa UONGO kwa wajinga ndiyo unasadikika !! kwa sababu mjinga hatumii LOGIC !! au akili pevu !!!
leo hii ukibebeshwa mfuko wa rambo uje kuanzia buguruni hadi kariakoo utazimia mara kumi njiani.....!!
Shenzzz type hawa wa Magharibi(wadhungu waongo sana) ati umbebeshe mtu mzigo na umfunge minyororo na umkokote kutoka interior panda shuka hadi BAGAMOYO..mmmmmmh kweli hayo si uongo ulokubuhu !!
Ndgu. acheni bhana...... tunawashangaa kweli hamutumi extra logic!!
 
Mkuu kwa hsehima na upole nijibu hapa?!!
una uhakika kuwa safari za kwanza za Waarabu walikuja kufuata watumwa? au walikuwa katika msafara wao mwengine... Jee lengo lao lilikusudia kubeba watumwa.. nani anajibu hilo?!?!?
Hapo ndiyo pakuaanzia... Bidhaa (watumwa) walikuwa tayari for EXPORT au kutafuwa na kuaandaliwa?!! na mda wote huo wa kuwasubiri wanunuzi hao watumwa walilelewa na kulishwa na kutunzwa na nani??? kwa sababu msafara haukuwa na TAARIFA maalum!!
Mwanzo walikuja kibiashara na watumwa walikuwa kitendea kazi walipoweka makazi
 
Mkuu zamiluni zamiluni kubali au kataa utumwa ulikuwepo ila visiwa huwa ni sehemu ya waamiaji kama kuna fursa ya biashara na hal ya hewa .nakataa watu kuwatenga wenye asili ya kiarabu coz watu wamezaliana na kuwa kitu kimoja.
 
Mwanzo walikuja kibiashara na watumwa walikuwa kitendea kazi walipoweka makazi
Mkuu Nakuheshimu sana.. FYI, waarabu hawakuja kwa nia ya BIASHARA kwanza.. walikuwpita kwa lengo la kufikisha UJUMBE (message) kutangaza uislam huko nje ya bara la arabu!!
Hayo ya biashara yana historiya pekee na miaka yake pekee...

SASA HIYO YOTE IMEDHIHIRI kuwa wamepandikiziwa TUHUMA na hizo HADITHI zisizoaminika...!!!
HALAFU ati PICHA ZOTE ZILIKUWEPO NI ZA HURUMA HURUMA wa UNYONGE WA MTU MWEUSI wakati huo mnasema mwaafirika alikuwa na maguvu na shupavu " mungu ametujaalia sana waafrika katika physique " La ajaabu hapakuwa hata na kapicha kamoja kuonyesha huyu Mwaafirika kuchachama na kugoma au kumkandia Master wakee???
Tafadhali na kwa heshima TENA mie bado sijaikubali hiyo....!! mie na amini kuwa mtu huzaliwa huru na uamuzi wa kuishi hapa ni wake mwenyewe....!!!
God bless Afrika na watu wake...
 
Mkuu zamiluni zamiluni kubali au kataa utumwa ulikuwepo ila visiwa huwa ni sehemu ya waamiaji kama kuna fursa ya biashara na hal ya hewa .nakataa watu kuwatenga wenye asili ya kiarabu coz watu wamezaliana na kuwa kitu kimoja.
Ahsante sana... Ubarikiwe maelezo yako yana ncha mbili !!@
Kwani nani mwenye kuleta mfarakano hadi kutengana.... Kuzaaliana kupo miaka na karne nyingi !!
Hapa zaidi kinchogusa ni UPOTOSHI na UONGO mchana kweupee pee "ati WAARABU wanataka kURUDI KUTAWALA ZENJI upya mara nyingi mmaneno hayo yana semwa na kuandikwa ktk media na ktk mihadhara na mitandaoni na hata BUNGENI" sasa tuulizane suali LINI KUNA MWARAABU/WAARABU walijaribu kuleta mapinuzi au machafuko baada ya 1961 na 1964 ?? Yaani tunasikia Siasa juu ya jukwaa UTUMWA UTUMWA na mengine hayo"kuwa hawa warabu/sulutani wanaita nchi !!
pyuuuuuf.... wakati watu wapo ktk shughuli zao !!
 
Ahsante sana... Ubarikiwe maelezo yako yana ncha mbili !!@
Kwani nani mwenye kuleta mfarakano hadi kutengana.... Kuzaaliana kupo miaka na karne nyingi !!
Hapa zaidi kinchogusa ni UPOTOSHI na UONGO mchana kweupee pee "ati WAARABU wanataka kURUDI KUTAWALA ZENJI upya mara nyingi mmaneno hayo yana semwa na kuandikwa ktk media na ktk mihadhara na mitandaoni na hata BUNGENI" sasa tuulizane suali LINI KUNA MWARAABU/WAARABU walijaribu kuleta mapinuzi au machafuko baada ya 1961 na 1964 ?? Yaani tunasikia Siasa juu ya jukwaa UTUMWA UTUMWA na mengine hayo"kuwa hawa warabu/sulutani wanaita nchi !!
pyuuuuuf.... wakati watu wapo ktk shughuli zao !!
Hayo waarabu kutawala ni figisufigisu za ccm kwan nimesoma khs zenji kulikuwa na wazir mkuu nafikir shamte cjajua ilikuaje mpaka mambo yakabadilika
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom