Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar

Status
Not open for further replies.
We mzee nilikuwa ninakuheshimu sana lakini leo nimekupuuza rasmi.Yaani mwarabu alivyokuwa anatesa watu weusi na kuwauwa.Leo unawatetea eti wote hakuna hata mmoja mwenye hatia?Kwanza ulikuwepo mpaka ujipe uhakika hivyo?Kwanini kila kitu unakiangalia kwa jicho la dini,kwahiyo kwasababu waarabu ni waislamu wote ni "watakatifu"?Hivi hujui hata kwa waarabu kuna makafiri,kwani mtume watu wote aliokuwa anawakemea kwenye quran na hata wakati mwingine kuwaita makafiri na wataenda moto wa jehanam ni race gani?Yaani wewe ni hewa
 
IR rafiki nikujuze katika Uarabu au kiarabu hakuna jina hilo au herufi ya "P" (Tipu tipu) !!
hiyo imeProve false UONGO mtupu mchana kweupe!! majina ya kiarabu yote tumeyarithi, kama unavyo yasikia daily...

na hiyo ya bagamoyo ni biashara waliyopelekwa kwenye mashamba ya wa faransa huko reUnion islands (Biashara ilifanywa na wazungu bhana msipakizie wengine)!!

Vitabu na picha ni toleo la GERMAN,ITALIAN,FRENCH na babalao BRITISH COLONIAL propargandaz !!!

Pasco
Jamaa_Mbishi
ILAN RAMON
Tipu tipu ni a.k.a
 
Kumbe unakubali pia kuna waarabu wabaya na waarabu wazuri kama ilivyo kwa waislam wabaya na waislam wazuri
Mkuu HA... kwa heshima zote...and FYI, sisi ni binaadamu na kila mmoja kati yetu ana mazuri /mapungufu/kasoro/wivu/chuki/upenda/nk nk hizi hulka wote tunazo ... na mie binafsi sinto mpendelea yyte hata kama atakuwa wa imani moja au damu moja ... JUSTICE na haki mbele...
Nahakuna sehemu nimeforce atai fulani mbaya au fulani MALAIKA...!!
Wapo Waisilamu Vurugu na wapo waisilamu makini... hizi ni tabia za kibinaadamu !!
God blessings
 
Leonard Robert,
Ingekuwa kuandika ukweli ni uchonganishi dunia isingeliandika
historia ya ''holocaust'' (1938 - 1945).

Tusingelisoma mauaji ya Amristar (1919).
Wala tusingesoma mauaji ya Sharpville (1960).

Mauaji ya Burundi (1994) na mauaji ya Bosnia (1992 - 1995).

Jitulize ondoa ghadabu na soma utakuwa mwerevu na msomi
wa kutajika.

Hasira huondoa umakini.
Jiepushe nayo.
1994 ni rwanda
 
Mkuu HA... kwa heshima zote...and FYI, sisi ni binaadamu na kila mmoja kati yetu ana mazuri /mapungufu/kasoro/wivu/chuki/upenda/nk nk hizi hulka wote tunazo ... na mie binafsi sinto mpendelea yyte hata kama atakuwa wa imani moja au damu moja ... JUSTICE na haki mbele...
Nahakuna sehemu nimeforce atai fulani mbaya au fulani MALAIKA...!!
Wapo Waisilamu Vurugu na wapo waisilamu makini... hizi ni tabia za kibinaadamu !!
God blessings
Sawasawa mkuu, sasa iweje leo aje mtu hapa na kusema et hakuna Sultan Zanzibar ambaye mikono yake ilichafuliwa na damu...haya ni matusi kwa wazanzibar
 
We mzee nilikuwa ninakuheshimu sana lakini leo nimekupuuza rasmi.Yaani Mwarabu alivyokuwa anatesa watu weusi na kuwauwa.Leo unawatetea eti wote hakuna hata mmoja mwenye hatia?Kwanza ulikuwepo mpaka ujipe uhakika hivyo? Kwanini kila kitu unakiangalia kwa jicho la dini,kwahiyo kwasababu waarabu ni waislamu wote ni "watakatifu"? Hivi hujui hata kwa waarabu kuna makafiri,kwani mtume watu wote aliokuwa anawakemea kwenye quran na hata wakati mwingine kuwaita makafiri na wataenda moto wa jehanam ni race gani?Yaani wewe ni hewa
Last Emperor,
Wengi hapa jamvini mnaandika kwa hisia na dhana kuliko utafiti.
Hii ndiyo tofauti kati yetu:

Hebu tuwasome wajuzi wa historia ya utumwa:

Kaandika R.Coupland:

When hammerton hoisted the British flag at Zanzibar in 1841 he found that the number of British Indians resident in the island or at the coast-towns within the Said`s dominion in East Africa was already high; he put in 1844 at about five hundred Hindu banyans and between six and seven hundred Moslems. And he soon discovered that most of the comercial business of East Africa was in their hands. ‘The bulk of trade in slaves, ivory and copal’, he wrote in 1841, is carried on by the natives of India: the Arabs do little or nothing in it. And in 1844: ‘As long as they (Arabs) can procure slaves at a cheap rate to cultivate their cloves, from which they derive great profit, little is to be expected from them [1].


Maana, “Wakati Hammerton alipopandisha bendera ya Uingereza Zanzibar mwaka 1841, alikuta jumla ya Wahindi Waingereza kisiwani au katika miji ya mwambao ndani ya utawala wa Said katika Afrika ya Mashariki ilikuwa teyari juu; aliweka idadi yake mwaka 1844 kuwa karibu ya Mabaniyani 500 (mia tano) na Wahindi Waisilamu baina ya mia sita namia saba. Halafu mapema akagundua biashara karibu zote za Afrika Mashariki zilikuwa katika mikono yao (Wahindi). Sehemu kubwa ya biashara ya utumwa, pembe za ndovu, na sanadarusi”. Aliandika mwaka 1841, (biashara hizo) zinafanywa na wenyeji wa India, Waarabu wanafanya kidogo au hawafanyi kabisa katika hivyo. Na mwaka 1844 (akaandika), “Ali mradi Waarabu wanaweza kununua watumwa kwa bei rahisi wa kulima mashamba yao ya karafuu, ambayo wanapata faida kubwa, ni kidogo unaweza kutegemea kutoka kwao” Mwisho wa kunukuu, yaani Waarabu walikuwa hawakujishughulisha na biashara ya utumwa ya kukamata, kusafirisha, kuwa madalali wao walichofanya ni kununua watumwa walioletewa kwa matumizi yao tu ya mashamba”.


Kaandika Edward A. Alpers:

“The first half of the nineteenth century in East Africa was marked by the continued rapid growth of the slave trade. All along the coast the demand for slaves steadily mounted, as Arabs, Brazialians, French, Spanish slaversfrom Cuba, and Americans discovered East Africa in the wake of the British anti-slave trade campaign in West Africa”[2]

Tafsiri, “Katika nusu ya karne ya kumi na tisa Afrika Mashariki ilitambulika kwa kuongezeka kwa haraka kwa biashara ya utumwa. Katika mwambao wote wa baharí mahitajio ya utumwa yaliongezeka, kwa kuwa Waarabu, Wabrazil, Wafaransa, Wafanya biashara wa utumwa wa Kispaniola kutoka Cuba, na Wamerekani walipoigundua Afrika ya Mashariki wakati wa kuanzishwa harakati za Kiingereza za kuzuia utumwa katika Afrika ya Magharibi”.

Lililo dhahiri ni kuwa biashara ya utumwa ile iliyofanyika Afrika mashariki inayoitwa ‘Biashara ya Utumwa ya Mwarabu’ au “Biashara ya Utumwa wa Mwisilamu” haijapatapo hata wakati mmoja kuonekana kuwa ya Mwarabu au kufanywa na peke yake Mwarabu, na yale yote yanazungumzwa na kusambazwa ni uzushi uliopandikizwa.


[1] East Africa and its Invaders uk. wa 484, pia unaweza kuikuta ripoti hii Bombay katika hifadhi ya nyaraka za serikali nambari 22 ya 1844.

[2] Ivory and Slaves uk. 209.
 
Sawasawa mkuu, sasa iweje leo aje mtu hapa na kusema et hakuna Sultan Zanzibar ambaye mikono yake ilichafuliwa na damu...haya ni matusi kwa wazanzibar
Hiram,
Wazanzibar hawaamini hizi propaganda.
Fanya utafiti utajua.
 
Sawasawa mkuu, sasa iweje leo aje mtu hapa na kusema et hakuna Sultan Zanzibar ambaye mikono yake ilichafuliwa na damu...haya ni matusi kwa wazanzibar
H A ndugu ... Hapa duniani au Ulimwengu huu hakuna asiyeku NIkupe mfano hata manabii wa mwanzo wapo walikutwa na kurupushani za mauaji !! KM;-nabii Mussa AS (moses ) Yeye aliua kwa mikono yake....
na huku pia Viongozi wa aina yyte wapo waliyo dhulumu au kupelekea mauti ya watu /raia/waasi/wapinzani/ nk nk..
kwa kifupi huwezi kuibuka na UTAWALA bila kuwa ktk kundi moja!! na Kundi maana ya ni GENGE la wadau wenye kihoro cha madaraka 'AT ANY COST" lazima watende kitu fulani ili waONGOZE wanyonge !!!!!!!!!!!!!!!!!!!
umenifahamu... hata wewe leo tukikuteua uwe BOSS ..hutochelea kumtwanga au kumfyeka mpinzani wako !!!
 
Kila mtu anajua biashara ya utumwa ilifanywa Zaidi na wazungu na waarabu.Mwarabu kazi yake kukusanya watumwa na kuwauza na mzungu kazi yake kuwanunua na kwenda kuwatumikisha kwenye mashamba yake huko Amerika.Wote hapa wanahatia dhidi ya dhuluma juu ya utu wa mwanadamu.Ushahidi ukiangalia ile route yote waliyokuwa wakipita watumwa hapa Tanganyika,kuanzia kigoma,tabora,bagamoyo hadi Zanzibar,sehemu hizo zote mpaka leo kuna masalia ya waarabu waliokuwa waki coordinate hizo biashara.Na ni kweli kuwa watumwa karibia wote walioenda uarabuni walihasiwa,sijui wewe unakataa hilo au unaona ni jambo zuri?Ishu ya kuja kumsingizia hapa leo mhindi kuwa eti ndo alikuwa anafanya biashara ya utumwa,huku eti mwarabu alikuwa pembeni hafanyi kitu au anafanya kidogo,kila mtu atakucheka.Maana wahindi nao walikuwa victim na watumwa sehemu mbalimbali duniani(mpaka leo mhindi anatumikishwa Dubai).Acha kufikiri kuwa uarabu ni uislamu na uislamu ni uarabu.Hizi propaganda za kumuosha mwarabu kuwa hakushiriki biashara ya utumwa inabidi ukawaambie watu ambao hawajasoma,wale ambao wamepata tu elimu ahera lakini hawajapata elimu dunia
 
IR rafiki nikujuze katika Uarabu au kiarabu hakuna jina hilo au herufi ya "P" (Tipu tipu) !!
hiyo imeProve false UONGO mtupu mchana kweupe!! majina ya kiarabu yote tumeyarithi, kama unavyo yasikia daily...

na hiyo ya bagamoyo ni biashara waliyopelekwa kwenye mashamba ya wa faransa huko reUnion islands (Biashara ilifanywa na wazungu bhana msipakizie wengine)!!

Vitabu na picha ni toleo la GERMAN,ITALIAN,FRENCH na babalao BRITISH COLONIAL propargandaz !!!

Pasco
Jamaa_Mbishi
ILAN RAMON
Mkuu waarabu walifanya biashara ya utumwa bagamoyo na zanzibar hilo halina ubishi ila sio kila mwarabu alikuwa slave master.
 
Last Emperor,
Wengi hapa jamvini mnaandika kwa hisia na dhana kuliko utafiti.
Hii ndiyo tofauti kati yetu:

Hebu tuwasome wajuzi wa historia ya utumwa:

Kaandika R.Coupland:

When hammerton hoisted the British flag at Zanzibar in 1841 he found that the number of British Indians resident in the island or at the coast-towns within the Said`s dominion in East Africa was already high; he put in 1844 at about five hundred Hindu banyans and between six and seven hundred Moslems. And he soon discovered that most of the comercial business of East Africa was in their hands. ‘The bulk of trade in slaves, ivory and copal’, he wrote in 1841, is carried on by the natives of India: the Arabs do little or nothing in it. And in 1844: ‘As long as they (Arabs) can procure slaves at a cheap rate to cultivate their cloves, from which they derive great profit, little is to be expected from them [1].


Maana, “Wakati Hammerton alipopandisha bendera ya Uingereza Zanzibar mwaka 1841, alikuta jumla ya Wahindi Waingereza kisiwani au katika miji ya mwambao ndani ya utawala wa Said katika Afrika ya Mashariki ilikuwa teyari juu; aliweka idadi yake mwaka 1844 kuwa karibu ya Mabaniyani 500 (mia tano) na Wahindi Waisilamu baina ya mia sita namia saba. Halafu mapema akagundua biashara karibu zote za Afrika Mashariki zilikuwa katika mikono yao (Wahindi). Sehemu kubwa ya biashara ya utumwa, pembe za ndovu, na sanadarusi”. Aliandika mwaka 1841, (biashara hizo) zinafanywa na wenyeji wa India, Waarabu wanafanya kidogo au hawafanyi kabisa katika hivyo. Na mwaka 1844 (akaandika), “Ali mradi Waarabu wanaweza kununua watumwa kwa bei rahisi wa kulima mashamba yao ya karafuu, ambayo wanapata faida kubwa, ni kidogo unaweza kutegemea kutoka kwao” Mwisho wa kunukuu, yaani Waarabu walikuwa hawakujishughulisha na biashara ya utumwa ya kukamata, kusafirisha, kuwa madalali wao walichofanya ni kununua watumwa walioletewa kwa matumizi yao tu ya mashamba”.


Kaandika Edward A. Alpers:

“The first half of the nineteenth century in East Africa was marked by the continued rapid growth of the slave trade. All along the coast the demand for slaves steadily mounted, as Arabs, Brazialians, French, Spanish slaversfrom Cuba, and Americans discovered East Africa in the wake of the British anti-slave trade campaign in West Africa”[2]

Tafsiri, “Katika nusu ya karne ya kumi na tisa Afrika Mashariki ilitambulika kwa kuongezeka kwa haraka kwa biashara ya utumwa. Katika mwambao wote wa baharí mahitajio ya utumwa yaliongezeka, kwa kuwa Waarabu, Wabrazil, Wafaransa, Wafanya biashara wa utumwa wa Kispaniola kutoka Cuba, na Wamerekani walipoigundua Afrika ya Mashariki wakati wa kuanzishwa harakati za Kiingereza za kuzuia utumwa katika Afrika ya Magharibi”.

Lililo dhahiri ni kuwa biashara ya utumwa ile iliyofanyika Afrika mashariki inayoitwa ‘Biashara ya Utumwa ya Mwarabu’ au “Biashara ya Utumwa wa Mwisilamu” haijapatapo hata wakati mmoja kuonekana kuwa ya Mwarabu au kufanywa na peke yake Mwarabu, na yale yote yanazungumzwa na kusambazwa ni uzushi uliopandikizwa.


[1] East Africa and its Invaders uk. wa 484, pia unaweza kuikuta ripoti hii Bombay katika hifadhi ya nyaraka za serikali nambari 22 ya 1844.

[2] Ivory and Slaves uk. 209.
Kumbe walinunua watumwa kufanya kaz mashambani! Ina maana ukikutwa kitu cha wizi utakuwa mwizi tu .
 
Mkuu waarabu walifanya biashara ya utumwa bagamoyo na zanzibar hilo halina ubishi ila sio kila mwarabu alikuwa slave master.
Mkuu Nyio" Waelewa kuwa Jahazi waarabu ya kwanza kupiga nanga hapo mwambao wa Afika mashariki ?!???
" wawezi kadiria ilikuwaje pale fukweni BAGA MOYO kulitokea nini?" HISTORIA ndiyo yaananzia hapo....
Siyo kusema ati waarabu walifanya biashara ya UTUMWA !! (huo ni upotofu) Yaani walitoka huko makwao kuja kumfuaata mwafirika na kumtumisha?? Wao walifuata mengine na walipita huku kwa malengo mengine !!!!

Sasa sijui pale fukweni BAGA MOYO /KISIWANI UNG/PEB. dili hiyo ilikuaje na nani alitangaza bidhaa (watumwa wapo hapa) ?? Mkuu hapo kuna masuali 1000 !!!
 
Last Emperor,
Wengi hapa jamvini mnaandika kwa hisia na dhana kuliko utafiti.
Hii ndiyo tofauti kati yetu:

Hebu tuwasome wajuzi wa historia ya utumwa:

Kaandika R.Coupland:

When hammerton hoisted the British flag at Zanzibar in 1841 he found that the number of British Indians resident in the island or at the coast-towns within the Said`s dominion in East Africa was already high; he put in 1844 at about five hundred Hindu banyans and between six and seven hundred Moslems. And he soon discovered that most of the comercial business of East Africa was in their hands. ‘The bulk of trade in slaves, ivory and copal’, he wrote in 1841, is carried on by the natives of India: the Arabs do little or nothing in it. And in 1844: ‘As long as they (Arabs) can procure slaves at a cheap rate to cultivate their cloves, from which they derive great profit, little is to be expected from them [1].


Maana, “Wakati Hammerton alipopandisha bendera ya Uingereza Zanzibar mwaka 1841, alikuta jumla ya Wahindi Waingereza kisiwani au katika miji ya mwambao ndani ya utawala wa Said katika Afrika ya Mashariki ilikuwa teyari juu; aliweka idadi yake mwaka 1844 kuwa karibu ya Mabaniyani 500 (mia tano) na Wahindi Waisilamu baina ya mia sita namia saba. Halafu mapema akagundua biashara karibu zote za Afrika Mashariki zilikuwa katika mikono yao (Wahindi). Sehemu kubwa ya biashara ya utumwa, pembe za ndovu, na sanadarusi”. Aliandika mwaka 1841, (biashara hizo) zinafanywa na wenyeji wa India, Waarabu wanafanya kidogo au hawafanyi kabisa katika hivyo. Na mwaka 1844 (akaandika), “Ali mradi Waarabu wanaweza kununua watumwa kwa bei rahisi wa kulima mashamba yao ya karafuu, ambayo wanapata faida kubwa, ni kidogo unaweza kutegemea kutoka kwao” Mwisho wa kunukuu, yaani Waarabu walikuwa hawakujishughulisha na biashara ya utumwa ya kukamata, kusafirisha, kuwa madalali wao walichofanya ni kununua watumwa walioletewa kwa matumizi yao tu ya mashamba”.


Kaandika Edward A. Alpers:

“The first half of the nineteenth century in East Africa was marked by the continued rapid growth of the slave trade. All along the coast the demand for slaves steadily mounted, as Arabs, Brazialians, French, Spanish slaversfrom Cuba, and Americans discovered East Africa in the wake of the British anti-slave trade campaign in West Africa”[2]

Tafsiri, “Katika nusu ya karne ya kumi na tisa Afrika Mashariki ilitambulika kwa kuongezeka kwa haraka kwa biashara ya utumwa. Katika mwambao wote wa baharí mahitajio ya utumwa yaliongezeka, kwa kuwa Waarabu, Wabrazil, Wafaransa, Wafanya biashara wa utumwa wa Kispaniola kutoka Cuba, na Wamerekani walipoigundua Afrika ya Mashariki wakati wa kuanzishwa harakati za Kiingereza za kuzuia utumwa katika Afrika ya Magharibi”.

Lililo dhahiri ni kuwa biashara ya utumwa ile iliyofanyika Afrika mashariki inayoitwa ‘Biashara ya Utumwa ya Mwarabu’ au “Biashara ya Utumwa wa Mwisilamu” haijapatapo hata wakati mmoja kuonekana kuwa ya Mwarabu au kufanywa na peke yake Mwarabu, na yale yote yanazungumzwa na kusambazwa ni uzushi uliopandikizwa.


[1] East Africa and its Invaders uk. wa 484, pia unaweza kuikuta ripoti hii Bombay katika hifadhi ya nyaraka za serikali nambari 22 ya 1844.

[2] Ivory and Slaves uk. 209.

Mzee Mhemedi mbona haya unayo yazungumzia ni ya mwishimwisho wa biashara ya utumwa? Ninachojua mimi utumwa kule Middle East upo hata kabla ya mitume na hawa waarabu walifika pwani ya Afrika mapema sana hata kabla ya wazungu kuja. Walichofuata ni watumwa.Kwani umemsahau Zayd ibn Harithah ?
 
Hii ni timu ya taifa ya Saudi Arabia.......ukiiangalia hii picha inakupa maono mengi sana

Saudi1.jpg
 
Hiram,
Wazanzibar hawaamini hizi propaganda.
Fanya utafiti utajua.
Sasa mzee kusema tu walikuwa 'wananunua watumwa kwa ajili ya kuwasaidia mashambani' unaelewa maana yake!? Unataka kusema wakishawanunua walikuwa wanawaachia huru au wanaendelea kuwatumikisha kama watumwa katika mashamba yao...unajua tofauti ya 'utumwa' na biashara ya 'utumwa'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom