Suluhisho la Kudumu la Kero Zote za Muungano, na Dawa ya Kutibu Sumu ya Ubaguzi wa Utanganyika na Uzanzibari ni Kuwa na Serikali Moja ya JMT?

Inatakiwa iitishwe kura ya maoni ili wananchi waamue kama wanautaka muungano ama hawautaki. Kama wanautaka muungano,wanataka muungano wa aina gani?
 
Najua hukosoma hesabu hivyo hujui hesabu na mabandiko yako marefu bila point

Kwa summary bila kuchosa wasomaji

Serikari 3 automatically ndo serikali Moja yennye manimbo makubwa mawili, we utaita ni nchi whatever you name it

Chademe wameenda mbali zaidi wamita Kanda

Kwa hiyo chini ya cdm tutakuwa na serikali Moja ya shitikisho yenye Kanda 6 Zanzibar inclusive

Kwa nyie msioojua hesabu ni sawa na kusema serilikali 6 za Kanda + serikali Moja ya shirikisho jumla ni serekali 7
 
Huna jipya. Mmebaki kujivunia uccm ila Muungano umewashinda mmebaki kutuandikia makala ndefu za kinafiki. Kinachowashinda kuleta hiyo serikali moja ni Nini?. Shut up Kama hamwezi kufanya Jambo na sio kutuandikia makala ndefu zisizokuwa na maana.
 
Kuna mwamba alisema: waliozoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi. Muungano wa JMT ulisukwa kwa janjajanja nyingi.

Huo muungano hauna kero zozote; ni mbovu, period!

Mtafuteni huyo mwamba, naamini atawapa ushauri wenye suluhisho la uhakika.
 
Haitasaidia.
Ni kweli. Lakini tujiulize. Hivi ni akina nani wanaotaka jambo hili libaki hivi hivi pamoja na kelele zote hizi?. Je, nani ni mnufaika na hili? Tumeambiwa kuwa Jumbe alipotamani kubadi mfumo kwamba walimwita Dodoma akiwa raisi na alirudi akiwa amenyang'anywa uraisi. Je, ccm wananufaikaje na muundo lalamikiwa wa muungano?. Natamani serikali moja, ikishindikana basi serikali tatu.
 
Hatuwezi kuulinda muungano kwa 'gharama yoyote '. Muungano unapaswa kuwa kwa ridhaa ya raia wa pande mbili. Hatuwezi kulazimisha muungano eti kwa gharama yoyote hata kama haukubaliki na raia. Njia pekee ya kuthibitisha muungano huu unakubaliwa au haukubaliwi na raia wa pande mbili ni kuitisha kura huru ya maoni kila upande. Tunakumbuka muunga huu ulianzishwa na JK Nyerere na Abeid Karume, na hakukuwa na mchakato wowote wa kupata ridhaa/maoni ya raia wa pande mbili wakati ule.
 
Hiawezekani kuwa na serikali moja ,hapo kwa nature ya binaadamu tumeumbwa na tamaa hakuna atakayependa kuucha urais.

Kuwe na serikali tatu.

Serikali ya Muungano ioperate kote kote iwe na ofisi zanzibar na ofisi bara.

Bara na zanzibar kusiwe na rais bali kuwe na Kiongozi mkuu wa Tanganyika na Kiongozi mkuu wa Zanzibar ,wote wanareport kwa rais wa JMT.

Kiongozi mkuu wa Zanzibar anasimamia mambo ya znz na yanayohusu muungano znz na kiongozi mkuu wa tanganyika anasimamia tanganyika na mambo ya muungano Tanganyika.
 
Yaan huyu mtumwa uzanzibari ulianza baada ya sultan kabla ya hapo ulikua muafrica tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…