Suluhisho la Kudumu la Kero Zote za Muungano, na Dawa ya Kutibu Sumu ya Ubaguzi wa Utanganyika na Uzanzibari ni Kuwa na Serikali Moja ya JMT?

Ugomvi upo, kuna upande unatupunja sn huku bara
 
Paschal ni mfanyakazi wa Channel 10 hivyo usitegemee jipya toka kwake
 
Kabisa Zanzibar iwe ni mkoa
 
Paschal ni mfanyakazi wa Channel 10 hivyo usitegemee jipya toka kwake
Mimi sio mfanyakazi wa Channel Ten, ni mwandishi wa habari wa kujitegemea independent ambaye nafanya kazi kwa kujitolea. Vipindi vyangu vinarushwa na vituo mbalimbali vya TV ikiwemo Channel Ten. Pia ninaandikia magazeti 6. Daily News na Habari leo, the Guardian na Nipashe, na Citizen na Mwananchi.

P
 
Wazanzibar hawaelewi hilo. Wanachojua ni mkoa wa Zanzibar ni nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…