Ttzo alilianzisha Rwanda miaka 1990s maana hao watutsi wapo hapo DRC miaka na miaka ila hawajawai baguliwa kwann waje waseme wanabaguliwa miaka ya 1990s..hatua ya kwanza ni pande zote kuweka silaha zao chini.
..hatua ya pili ni Watutsi kutambuliwa kuwa wao ni raia wa DRC.
..Watutsi nao wawe loyal kwa Congo na kuacha kujichukulia kama Wanyarwanda.
..Rwanda ihakikishiwe ulinzi kwa vikosi neutral visivyotokana na majirani wa Rwanda na DRC kulinda mpaka wa nchi hizo.
..DRC iache kuwasaidia Fdlr, na Rwanda iache kuwasaidia M23.
fuatilia kinachoendelea DRC , watutso waliopewa uraia ndan ya DRC wanatumika kufanikisha agenda mbovu za maadui wa DRC , sio kwel kwamb serikali ya DRC inawatenga ila tabia zao hata ww ungefanya kama afanyavyo DRCNa ndio hicho nimekisema tangia mwanzo na hatari kwa Watanzania na nchi nyingine ni kwa kuwaona wanyarwanda wote na warundi wote popote walipo kama virusi fulani ambavyo inapaswa vifukuzwe au kuondolewa.., Je swali kabla ya Kabila kulikuwa hakuna watusi hapo North Kivu ? Na sijasema hilo eneo waachiwe Watusi au Rwanda, bali Jamii zote ambazo zipo hapo sasa hivi ikiwemo na hao watusi; Hamtaki basi walindeni kama raia wengine wa Congo. Sababu chokochoko za huko zinaleta shida na matatizo kwa eneo zima la maziwa makuu na Afrika kwa Ujumla.
hz story zinatengenezwa na Rwanda. Je kuna mhutu ndani ya Jeshi au serikali ya Rwanda kweny vyeo vya juu ? ika wapo watutsi kwenye vyeo vya juu huko DRC , Lawama za Rwanda anapewa DRC , walifikia makubaliano ila Rwanda ba M23( watutsi) ndo waliyavunja makusudi wakilenga kuendeleza vita na sio amaniHivi tukisema leo wahindi wote na waarabu na hao wote uliowataja sio watanzania by virtue ya tamaduni zao na ongea yao na vinasaba zaidi vya watu wa huko arabuni au India tutakuwa tumewatendea Haki ? Sababu hicho ndicho kilichopo huko.
hv watutsi wananyimwa haki ipi iwapo hata vyeo vya juu walishapewa humo DRC , rejea mkuu wa majeshiUkraine aliyeongoza majeshi ya nchi mbili , DRC na Rwanda , Kagame amewin akili za wabantu maana wabantu( wahutu,) wavivu kufanya utafiti , et watutsi wanyimwa haki zao kama zpi?Myopic thinking kwa kusema watusi wa Kongo ni Wakongo na mimi nimeshakuwa Mtusi au mtu wa Rwanda ? Tatizo watu kama wewe kesho hamkiwii kusema kabila fulani liende kwenye mkoa fulani (ni mentality ambayo waliitumia sana wakoloni n kufanikiwa ) Divide and Rule...
Binafsi fikra zangu zimeshatoka huko siangalii ni nani, rangi gani au kabila gani linafanya nini bali ni nini kinafanyika na kama ni kibaya it does not matter nani anakifanya...; Kwahio wewe unaona ni sawa kwa mtu kusema watu wa aina fulani (no matter ni raia) basi warudi kule ambapo kuna watu kama wao wengi.... !????
And they say it's White Man I Should Fear..., But its My Own Kind Doing all the Killing Here...
Hii ilishatokea walishaweka na baadae wakazichukua.., issue ni kwamba why should they pick them in the first place; ni kwamba kuna loopholes au sababu za wao kuweza kufanya hivyo na mazingira ni rafiki kwa watu kufanya hivyo, hivi unajua hata kwa anayevuma ni M23 ila kuna vikundi vya Kuasi vingi sana ?..hatua ya kwanza ni pande zote kuweka silaha zao chini.
Is that as easy as you are saying ? Yaani watusi hawa watambulike mpaka Kinshasha huko ambako watu wanawaona (with or without reason) kwamba ni mapandikizi na wasaliti ? Ingawa sidhani kama tumefika huko ila hali ikiendelea hivyo ni kama hapo baadae tushauri baadhi ya wapalistina (ambao walikuwepo Israel ya sasa iliyojitwalia eneo) kwamba watambulike mpaka Israel (will be good theoretically) ila practically ni kama kuchanganya mafuta na maji...hatua ya pili ni Watutsi kutambuliwa kuwa wao ni raia wa DRC.
Nadhani wao wanasema ni Wacongo (ambao ni wacongo na sio wakimbizi waliojichanganya, lakini how can you distinguish kama hakuna systematic checks) kwahio hata kama watusi wakiwa royal vipi lazima kuna watakaowaona hawafai (case in point kipindi cha Mobutu kuna watu walianza kuwafukuza hawa watusi na hata Bungeni kusema Banyarwanda sio Wacongo..., sasa kwa issue hio hata wewe unaweza kuwa loyal 100 percent kwa nchi ambayo wanakuona wewe sio mwenzao na anytime wanaweza kusema ondoka ?!!!..Watutsi nao wawe loyal kwa Congo na kuacha kujichukulia kama Wanyarwanda.
Neutral from where and who is going to pay for them (sababu people don't stay neutral and sometimes they have their agendas) Congo hawakuwaamini /vikosi vya East Africa na baadae akaamia SADC kwahio kwa hawa watu ambao mwisho wa siku its all about resources usitegemee watu kubakia Neutral na ukizingatia haya ma taasisi kujumlisha hata OAU yalishabaki kama mapambo yasiyo na meno..Rwanda ihakikishiwe ulinzi kwa vikosi neutral visivyotokana na majirani wa Rwanda na DRC kulinda mpaka wa nchi hizo.
Bila kuondoa mzizi wa fitina watakuwa hawaachi bali wana pause..., ndio maana nikasema hii sehemu mpakani ingekuwa buffer zote isiyofungamana na upande wowote huyu akija apate kipigo na yule akipita vilevile.....DRC iache kuwasaidia Fdlr, na Rwanda iache kuwasaidia M23.
Hayo majimbo yana meno au any military power ? Issue sio kwenye vitabu vinasema nini bali issue is if it works.....Congo tayari iko decentralized.
..wana mfumo wa utawala wa majimbo.
Kwahio wawape Kibali chama ambacho ni cha wachache (yaani kinachosema kipo pale kusimamia haki / kulinda watu wa aina fulani)? Unaona hio ni sawa.., Binafsi naona hii M23 hata ingekuwa disintegrated na isiwepo kabisa Chama chochote au Kundi lolote ambalo lipo pale kutetea watu wa aina fulani pekee na sio watu wote, kwangu mimi hilo ni tatizo kuliko solution ambayo inaweza kugharimu zaidi huko mbeleni..hivi m23 haiwezi kuwa chama cha siasa?
Na ndicho kinachofanyika hapa sidhani kama kuna mtu anasema hivi vita viendelee (unless anafaidika binafsi na hawatakii mema raia) kitu ambacho kina ukweli na waasi wengi ndio motive yao.., Achana na Congo tu mimi ningependa hata Afrika nzima iwe moja ila ndio hivyo kama watu waliopo ni maji na mafuta na they can not see reason (naona maana ya msemo wa kwamba unaweza kumlazimisha punda kwenda mtoni lakini ni vigumu kumlazimisha kunywa maji)..Wacongo wahimizwe kutafuta political solution, na sio military solution, au kuigawa DRC vipande.
What do you call this mkuu..., Na ukiondoa kipindi cha Mobutu ambapo alikuwa na military power na kujaribu kuwapa wacongo identity what has been happening you can not call it systematic government..Na sio kwamba DRC ni kubwa mno, na haitawaliki.
Kwahio Rwanda kufadhili hayo maasi (M23) ingawa kuna vikundi vya waasi zaidi ya kimoja (ni kwamba Congo hii itarudi enzi za nani Mobutu au pre Patrice Lumumba ambapo ilikuwa imejigawa kila kona ? Na kwanini Rwanda inaweza kufadhili hao waasi (the main reason) na kwanini tusiondoe hio reason ?..Maeneo yote ya DRC yana amani isipokuwa North Kivu ambako Rwanda inafadhili maasi.
There were no transitional provisions adopted on nationality when Congo obtained independence from Belgium in 1960, but Article 6 of the ‘Luluabourg’ Constitution of 1964—the first constitution of the new state and the first legal determination of nationality—declared to be Congolese ‘all persons one of whose ancestors was or had been a member of a tribe or part of a tribe established in the Congo before 18 October 1908’, the date on which the Belgian Congo was created. This position was confirmed in the nationality law of 18 September 1965. Arguments that the presence of someRwandophones on Congolese territory before 1908 meant that all could claim citizenship were not accepted.kwan huu mgogoro si ulianza miaka 1990s je kabla ya hapo walikuwa wanabaguliwa pia maana hawakuwa na agenda zozote , huez baguliwa kama ww ni mwenyej , kuna namna hao ni wageni
Hivi unajua kuna kipindi enzi za Mobutu Governor wa hapo alianza kuleta siasa za ubaguzi na watusi kuanza kuchomewa moto nyumba zao ? Ni hivi hizi tensions zilikuwepo zilikuwa zinahitaji spark tu ili moto uweze kuwaka na moto huo uliwaka baada ya wakimbizi kuongezeka na kuendelea kupata kasi baada ya France na Mobutu kuwapokea wale so called waliosababisha genocide Rwanda na kuwapa msaada na Kagame na yeye akafanya vice versa kuwafundisha wakimbizi waliopo Congo (in short kuyapeleka matatizo ya Rwanda Congo)Ttzo alilianzisha Rwanda miaka 1990s maana hao watutsi wapo hapo DRC miaka na miaka ila hawajawai baguliwa kwann waje waseme wanabaguliwa miaka ya 1990s
Nani kabisha hili ? Na kama ni hivyo huoni kwamba ni vigumu kwa hawa Watusi ambao ni Wacongo ni vigumu kupewa haki zao kama Wacongo ? Kwahio what gives au unashauri nini ? (Wafukuzwe ? Je wafukuzwe na ardhi au wapelekwe wapi) Au unaona waangamizwe kabisa katika uso wa Dunia ?fuatilia kinachoendelea DRC , watutso waliopewa uraia ndan ya DRC wanatumika kufanikisha agenda mbovu za maadui wa DRC ,
Hapo unajicontradict mwenyewe kwamba hawatengwi ila wanatengwa sababu ya tabia zao hence wanatengwa ila Congo inafanya hata mimi ambacho ningefanya ?sio kwel kwamb serikali ya DRC inawatenga ila tabia zao hata ww ungefanya kama afanyavyo DRC
Hivi mkuu hata unafuatilia Historia ? Hivi unajua Kagame (mkimbizi) alikuja kwa kupigana na jeshi lake ili kuondoa jeshi ambalo defacto objectives ilikuwa ni kuwaangamiza watusi katika uso wa dunia ? Hivi unajua katika hii transition na kilichofanyika mpaka hapa its like a miracle sababu kilichofanywa under those 100 days ilikuwa ni jambo la aibu kutokea ? Now that is another case and Rwandese problem and they need to sort it out themselves mimi sina mandate wala facts za kuweza kusema wafanye hiki au kile (ila hawa Wahutu kwa walichofanya na ukizingatia wapo wengi I think they can wait and take a rough with a smooth kujenga nchi yao)hz story zinatengenezwa na Rwanda. Je kuna mhutu ndani ya Jeshi au serikali ya Rwanda kweny vyeo vya juu ? ika wapo watutsi kwenye vyeo vya juu huko DRC ,
Hivi hapa nani anatetea M23 au kikundi chochote kila cha Waasi ? Wote hawa ni wabaya and are after power ila kupigana huku kwa hawa wote kunawaletea shida raia.., na hata Kagame akifa leo au leo wakiweka silaha zao wote chini bado kuna mzizi wa fitina ambao anytime ikija spark ni kuwasha moto....Lawama za Rwanda anapewa DRC , walifikia makubaliano ila Rwanda ba M23( watutsi) ndo waliyavunja makusudi wakilenga kuendeleza vita na sio amani
suluhisho ni kuchukua nchi yote na kuisuka upya. Congo haijapata kiongozi makini na mwenye kuiunganisha nchiKwanza kabisa mimi sio Mtaalamu na baada ya kuangalia kwa haraka matakwa ya pande tofauti nimeona ni vigumu sana kwa upande mmoja kukubaliana na matakwa ya upande mwingine kutokana na usalama wao na kutokuaminiana; Hivyo Suluhisho pekee ni hapo katikati kuwepo na nchi ya hao waliomo. Kwa kufahamu vizuri ugumu wa mgogoro huu ni vema ukauangalia katika mtizamo (perspective) ya watu Husika;
Watutsi ambao ni Wakongo (Ambao Watu wa Congo wanasema ni Wanyarwanda na warudi Kwao):
- Kumbuka hawa kabla ya wakoloni kuweka mipaka yao baadhi yao walikuwepo hapo, kwahio kuwepo kwao Congo sasa hivi sio kwamba wote walikuja bali walijikuta wamewekwa Congo; Kwahio hawa kwa mtizamo wao ni Wakongo
- Hawa watu wananyanyaswa kwamba sio Wakongo na warudi kwao, Sasa kwao wapi sababu ukiwafukuza je unawafukuza na ardhi ?
- Hawa watu wanachotaka wao ni kuwa na haki sawa kama wakongo na uwezo wa kupiga kura n.k, jambo ambalo wakongo hawataki kuwapa (na wana hoja sababu kwa macho yao hawa ni mamluki)
- Hao askari wa M23 nao wanataka wawe assimilited kwenye jeshi la Congo (jambo ambalo sidhani kama Congo watakubali)
Nchi ya Congo
- Wao wanaona hawa sio raia wala wakongo na kwao wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi kama mapandikizi, na pia wanaona wanatumika kama nyenzo ya kuwaibia na pia kikundi cha M23 ambacho kinasema kinawalinda watutsi hao kwa Congo kundi hili ni magaidi.
- Kwa Rais wa Congo kukubali hawa watu waingizwe nchini na kupewa kila haki hata yeye akikubali kuna watu wa Congo ambao watamuona kama msaliti, na vilevile kwa macho yake hii ni hatari ya kuleta mamluki (watu ambao wewe unaona sio Watu wako katika nchi yako).
- Congo wanaona M23 ni kama nyenzo ya Rwanda kuwaingilia na ukizingatia hata Kabila alivyochukua nchi alipata msaada wa hawa watu na wakitokea Uganda na kumuondoa Mobutu utaona kwamba Rais wa Congo ana hoja za msingi za kutokukubaliana na assimilation ya hawa watu Congo.
Nchi ya Rwanda:
Kumbuka nchi ya Rwanda Kagame alivyochukua nchi kuna wale watu ambao inasemekana ndio walihusika na mauaji ya Kimbari pamoja na Waliokuwa ndio wanaongoza nchi walikimbilia Congo na kupokelewa Congo, na Ufaransa pamoja na Mobutu kuwafundisha zaidi ili waweze kurudi Rwanda na kumpindua Kagame; Ingawa Kagame na yeye kuona hivyo akatumia Watutsi waliopo Congo kuwafundisha ili kuweza kuwakabili hao anaowaona ni waasi (hivyo matatizo ya Rwanda ni kama yakahamia Congo).
Kwahio ni ngumu kwa Kagame kuona kuna Watutsi wanaonyanyaswa Congo wakati yeye aliingia kwenye madaraka kwa kuonyesha kwamba anamaliza manyanyaso hayo; Na Tukisema hao Watutsi warudi Rwanda, je warudi wapi ukizingatia wengine wapo hapo tangia enzi na enzi ? Pia Kagame lazima jicho lake litakuwa Congo sababu anaona kuna uwezekano wa kuvamiwa kutokea Congo
Uganda:
Uganda pia na yeye yupo macho sababu kunaweza kutokea waasi wowote kutokea Congo kuleta machafuko Uganda ukizingatia community hizi kuna watu ambao walikimbia kutoka Congo kwenda Uganda na wanaweza kurudi wakati wowote na vice versa
Tanzania:
Shida yoyote ya jirani yako pia ni ya kwako mfarakano wowote utakaotokea huko lazima na wewe utakufikia; Pia kuna ndugu zetu Wanyarwanda na Warundi wengi zaidi ambao walikuja huko baada ya shida za huko kwao, shida zinazotokea huko huenda zikaanza kupelekea hawa ndugu zetu kutengwa na kunyanyaswa kama vile watusi wa Congo wanavyoonekana ni matatizo na waleta shida.
Hitimisho
Hitimisho pekee na la kudumu, ni hawa watu waliopo sasa hapo North Kivu (Jamii zote) waweze kupata nchi yao hapo hapo na nchi zote za maziwa makuu na kwa kushirikiana zinaweza zikawa na Base ya kuangalia Amani hapo, na kuhakikisha vinatokomeza vikundi vyote vya Kuasi (Magaidi hata kama wanajiita Freedom Fighters) na vya aina yoyote kwa kuwa assimiliate katika nchi yao hii mpya. Na kuhakikisha hakuna masalia ambayo yanaweza kuanzia hapo na kuleta shida yoyote au kutishia Amani katika nchi Jirani.
Suala hili inabidi sisi kama Waafrika tusaidiane kulimaliza na kabla ya Afrika sisi majirani kwanza (Maziwa Makuu)
Congo they had a Honest President with a view ya kuwaunganisha (Patrice Lumumba) na walimuua kwa kusalitiwa na one of his own (Mobutu) kwahio kwa mchezo kama huu wa walafi tutaendelea na muendelezo wa rewind; play rewind; play...suluhisho ni kuchukua nchi yote na kuisuka upya. Congo haijapata kiongozi makini na mwenye kuiunganisha nchi
Hi ni sawa na kusema Rwanda akabidhiwe hicho kipande cha nchi. M23 - Controlled Police force ndio walinde mpaka kweli ?For those interested haya matakwa ya M23
M23’s Demands in the DRC – Are They Justified for Peace?
The M23 rebel group, which has been fighting the Democratic Republic of Congo (DRC) for years, has made a list of demands to the Congolese government in exchange for peace. These demands would significantly alter the country’s governance, military structure, and territorial administration, particularly in the eastern DRC, where conflicts have raged for decades.
Here’s what they are asking for:
- Military control: The government would give 43% of command positions in North Kivu and 39% in South Kivu to the Tutsi community.
- Border security: A new M23-controlled police force would handle security along DRC’s borders with Rwanda and Uganda.
- Special autonomy for Eastern DRC: The provinces of North Kivu, South Kivu, Ituri, Maniema, Haut-Uele, and Tanganyika (which cover 23.3% of the DRC’s total land area of 2,345,409 km²) would get special status, financial autonomy, and security under M23 control.
- Political control: M23 would be allowed to appoint administrators, mayors, and local leaders in certain areas.
- Integration into government institutions: M23 members would be placed in the Presidency, Parliament, Judiciary, and other top government bodies.
- Recognition of M23 military ranks: Their fighters would be formally integrated into the Congolese army and police.
- Return of Tutsi refugees: The Congolese government would be responsible for bringing back Congolese Tutsi refugees from Rwanda, Uganda, Kenya, and Tanzania.
Territorial integrity ya Cong DR unaichukulia aje?Kwanza kabisa mimi sio Mtaalamu na baada ya kuangalia kwa haraka matakwa ya pande tofauti nimeona ni vigumu sana kwa upande mmoja kukubaliana na matakwa ya upande mwingine kutokana na usalama wao na kutokuaminiana; Hivyo Suluhisho pekee ni hapo katikati kuwepo na nchi ya hao waliomo. Kwa kufahamu vizuri ugumu wa mgogoro huu ni vema ukauangalia katika mtizamo (perspective) ya watu Husika;
Watutsi ambao ni Wakongo (Ambao Watu wa Congo wanasema ni Wanyarwanda na warudi Kwao):
- Kumbuka hawa kabla ya wakoloni kuweka mipaka yao baadhi yao walikuwepo hapo, kwahio kuwepo kwao Congo sasa hivi sio kwamba wote walikuja bali walijikuta wamewekwa Congo; Kwahio hawa kwa mtizamo wao ni Wakongo
- Hawa watu wananyanyaswa kwamba sio Wakongo na warudi kwao, Sasa kwao wapi sababu ukiwafukuza je unawafukuza na ardhi ?
- Hawa watu wanachotaka wao ni kuwa na haki sawa kama wakongo na uwezo wa kupiga kura n.k, jambo ambalo wakongo hawataki kuwapa (na wana hoja sababu kwa macho yao hawa ni mamluki)
- Hao askari wa M23 nao wanataka wawe assimilited kwenye jeshi la Congo (jambo ambalo sidhani kama Congo watakubali)
Nchi ya Congo
- Wao wanaona hawa sio raia wala wakongo na kwao wanaweza kuwa hatari kwa usalama wa nchi kama mapandikizi, na pia wanaona wanatumika kama nyenzo ya kuwaibia na pia kikundi cha M23 ambacho kinasema kinawalinda watutsi hao kwa Congo kundi hili ni magaidi.
- Kwa Rais wa Congo kukubali hawa watu waingizwe nchini na kupewa kila haki hata yeye akikubali kuna watu wa Congo ambao watamuona kama msaliti, na vilevile kwa macho yake hii ni hatari ya kuleta mamluki (watu ambao wewe unaona sio Watu wako katika nchi yako).
- Congo wanaona M23 ni kama nyenzo ya Rwanda kuwaingilia na ukizingatia hata Kabila alivyochukua nchi alipata msaada wa hawa watu na wakitokea Uganda na kumuondoa Mobutu utaona kwamba Rais wa Congo ana hoja za msingi za kutokukubaliana na assimilation ya hawa watu Congo.
Nchi ya Rwanda:
Kumbuka nchi ya Rwanda Kagame alivyochukua nchi kuna wale watu ambao inasemekana ndio walihusika na mauaji ya Kimbari pamoja na Waliokuwa ndio wanaongoza nchi walikimbilia Congo na kupokelewa Congo, na Ufaransa pamoja na Mobutu kuwafundisha zaidi ili waweze kurudi Rwanda na kumpindua Kagame; Ingawa Kagame na yeye kuona hivyo akatumia Watutsi waliopo Congo kuwafundisha ili kuweza kuwakabili hao anaowaona ni waasi (hivyo matatizo ya Rwanda ni kama yakahamia Congo).
Kwahio ni ngumu kwa Kagame kuona kuna Watutsi wanaonyanyaswa Congo wakati yeye aliingia kwenye madaraka kwa kuonyesha kwamba anamaliza manyanyaso hayo; Na Tukisema hao Watutsi warudi Rwanda, je warudi wapi ukizingatia wengine wapo hapo tangia enzi na enzi ? Pia Kagame lazima jicho lake litakuwa Congo sababu anaona kuna uwezekano wa kuvamiwa kutokea Congo
Uganda:
Uganda pia na yeye yupo macho sababu kunaweza kutokea waasi wowote kutokea Congo kuleta machafuko Uganda ukizingatia community hizi kuna watu ambao walikimbia kutoka Congo kwenda Uganda na wanaweza kurudi wakati wowote na vice versa
Tanzania:
Shida yoyote ya jirani yako pia ni ya kwako mfarakano wowote utakaotokea huko lazima na wewe utakufikia; Pia kuna ndugu zetu Wanyarwanda na Warundi wengi zaidi ambao walikuja huko baada ya shida za huko kwao, shida zinazotokea huko huenda zikaanza kupelekea hawa ndugu zetu kutengwa na kunyanyaswa kama vile watusi wa Congo wanavyoonekana ni matatizo na waleta shida.
Hitimisho
Hitimisho pekee na la kudumu, ni hawa watu waliopo sasa hapo North Kivu (Jamii zote) waweze kupata nchi yao hapo hapo na nchi zote za maziwa makuu na kwa kushirikiana zinaweza zikawa na Base ya kuangalia Amani hapo, na kuhakikisha vinatokomeza vikundi vyote vya Kuasi (Magaidi hata kama wanajiita Freedom Fighters) na vya aina yoyote kwa kuwa assimiliate katika nchi yao hii mpya. Na kuhakikisha hakuna masalia ambayo yanaweza kuanzia hapo na kuleta shida yoyote au kutishia Amani katika nchi Jirani.
Suala hili inabidi sisi kama Waafrika tusaidiane kulimaliza na kabla ya Afrika sisi majirani kwanza (Maziwa Makuu)
unabishana na nan mkuu?? kwan lazima kila mtu akubaliane na ww??Hii ndio definition ya Vioja... au naweza kusema Divide and Rule ya Mkoloni bado ipo kwenye fikra zako (kwa kuona wengine ni maadui) by the way nchi ni zaidi ya mtu mmoja (huyu Kagame next 20 years atakuwa hayupo) ila bila ku sort hili jambo litaendelea kututafuna (na hapo nime kututafuna sio kimakosa ni kwamba nchi zote za maziwa makuu zinapata athari na destabilization iliyopo huko)
By the way Kivu kuna watusi pekee ?
Je Kivu ina watusi peke yake ?Hi ni sawa na kusema Rwanda akabidhiwe hicho kipande cha nchi.
Hao M23 pamoja na waasi wowote wengine wa aina yoyote hawapaswi kuwepo, kwangu mimi waasi if necessarly should be a short term thing kwa nchi yenye good governence neno waasi linatakiwa kuonekana kwenye vitabu / kamusi pekee na sio normal occuranceM23 - Controlled Police force ndio walinde mpaka kweli ?
Nani kabisha hapa ? Mimi huwa siongei na mtu bali issues zilizowekwa mezani na hapa hakuna kukubaliana na mimi bali hoja iliyowekwa mezani sasa wewe ukileta Hoja ambazo zinakinzana na facts wala hakuna haja ya kukubishia bali hata mwenyewe unaweza ukijibishia ukilinganisha na uhalisiaunabishana na nan mkuu?? kwan lazima kila mtu akubaliane na ww??
Kivu kuna watusi pekee ?!!Wakigawa nchi ya congo na kuwapa watutsi..
Kwanini ? Sisi tumebagua Kabila lolote ? na ni Nini advantage ya kuchukua nchi yenu ? Tatizo hilo wangefanya Wachagga la kudai nchi huenda leo hii nao wangekuwa hawana tofauti na Watusi na Wahutu huko Rwanda kwa ku overflow.., Na hapa issue ni kwamba Congo ijaribu kuangalia raia wake wote na kama imeshindwa (kushindwa ambako kunaleta shida katika maziwa makuu ) Huenda its about time waachie huko ambapo kumewashindaItasababisha na watutsi Tanzania na wao wadai ngara igawanywe iwe nchi yao.
Mengi hayana reason, na ukiangalia hio Congo hata baada ya Kupata Independence ni sehemu nyingi zilikuwa zinataka kujitenga na zilikuwa zinagombana kufanya hivyo (Wachagga pia walitaka kuchukua independence wapate nchi yao) jambo ambalo huenda wangelifanya leo hii tungekuwa na watusi na wahutu hapa (Tanzania) wanagombana sababu ya eneo kuwa dogo...Mbona makabila mengine hayana hizo tabia za kudai nchi
Haki ya mwananchi katika nchi yake ni ipi ? Kuna social contract kama aliyepewa majukumu ya kukulinda na kuhakikisha hazi zako zote unapata akishindwa kufanya hivyo hata any moral mandate ya kusema wewe ni part ya sehemu yake.Territorial integrity ya Cong DR unaichukulia aje?