Suluhisho la kutopatikana wa Dola na kushindwa kulipia gari kutoka SBT JAPAN

Suluhisho la kutopatikana wa Dola na kushindwa kulipia gari kutoka SBT JAPAN

Salam wadau

Ni takribani wiki mbili sasa nimeshindwa ku-clear invoice ya kununua gari kutoka Japan kutokana na ukosefu wa Dola sokoni. Nimewekwa kwenye lisit ya kusubilia, hila kila nikienda bank naambiwa kuwa bado.

Ili kutatua changamoto hii, nimepewa option mbili

1. Kufungua akaunti ya dola ili niwe nadudunduliza USD kutoka kwenye BUREAU DE CHANGE na kudeposit. Japo na hii naona kuwa kuna ugumu wake maana kwenye Jiji letu la Mwanza hiko Moja na kila nikienda naambiwa Dola hakuna

2. Kufungua serving account nakupewa VISA CARD, itakayosaidia kutranfer hizo fedha kwa kutumia PayPal. Kwa sasa akaunti yangu haina huduma ya kupewa VISA kadi

Kwa muktadha huu, naomba kufahamishwa ni njia gani itanidaidia kukamilisha malipa hayo.

Naomba kuwasilisha
Hello. Asante kwa kuwasilisha.
Unaweza kufungua account na kampuni ya wise.com. Humo kuna option ya USD ambayo unaweza kutumia kulipia.
Aidha, VISA/Mastercard inaweza kufaa. Natumiaga ya MPESA bila tatizo lolote.
Hiyo issue ya kutaka kulipa dollar physically itakuchelewesha bureee.
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Ngosha Option umeshapewa mbili mkuu na zinajitosheleza, option ya tatu jiandae kutapeliwa. Nakutakia kila la kheri
Heshima Kwako
Naomba ufafanuzi kwenye option ya 3 na pamoja na suluhisho la kutotapeliwa.
Naomba kuwasilisha
 
Mpeni ngosha maujanja keshauza pamba aweze kuagiza vitz yake, zamani baada ya kuuza pamba walikuwa wananunua sana baiskeli za phoenix na zile radio za mkulima ila kwa sasa mambo yao yamekuwa moto...​
 
  • Thanks
Reactions: BRB
NMB prepaid is the best ,hakuna masharti wala longo longo ,ni wewe na kibunda chako tu
 
Salam wadau

Ni takribani wiki mbili sasa nimeshindwa ku-clear invoice ya kununua gari kutoka Japan kutokana na ukosefu wa Dola sokoni. Nimewekwa kwenye lisit ya kusubilia, hila kila nikienda bank naambiwa kuwa bado.

Ili kutatua changamoto hii, nimepewa option mbili

1. Kufungua akaunti ya dola ili niwe nadudunduliza USD kutoka kwenye BUREAU DE CHANGE na kudeposit. Japo na hii naona kuwa kuna ugumu wake maana kwenye Jiji letu la Mwanza hiko Moja na kila nikienda naambiwa Dola hakuna

2. Kufungua serving account nakupewa VISA CARD, itakayosaidia kutranfer hizo fedha kwa kutumia PayPal. Kwa sasa akaunti yangu haina huduma ya kupewa VISA kadi

Kwa muktadha huu, naomba kufahamishwa ni njia gani itanidaidia kukamilisha malipa hayo.

Naomba kuwasilisha

Vuka boda dollar mingi sana japo ni risk

Rusumo, Kabanga, Migori na Mtukula zipo

Sema we uhitaji wako ni wa muda

Kuna waCongo wawili huwa wanaleta dollar

Option ya kufungua account ya dollar ndo mi natumia ukiwa huna hiyo account utauziwa 500$ ukihitaji zaidi hupati

Sehem ya kubadili fedha ni 1? We ni mgeni huko?
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Huu ukosefu wa dola usikie tu kwa wenzako omba usikukute ! Kuna watu wanafilisika na wengi watafilisika kwa hiii.
Kuna jamaa yangu alikwa anahangaika kulipia Nmt shipping costs ya dola 9000 meli ishatinga na ku off load mzigo shipping line hawajatoa telex release kwa sababu hawajalipwa na Tpa hawa proces chochote bila shipping release na mzigo unaanza kusoma storage . very last minutes Nmt shipping wakakubali kulipwa kwa Euro ndo ikawa salama yake .
Imagine unalipia kitu cha dola 9000 halafu benki wanakwambia wana uwezo wa kukuuzia dola 500 tu charges za kutuma ni dola 50 kwa kila dola 500
 
  • Thanks
Reactions: BRB
Huu ukosefu wa dola usikie tu kwa wenzako omba usikukute ! Kuna watu wanafilisika na wengi watafilisika kwa hiii.
Kuna jamaa yangu alikwa anahangaika kulipia Nmt shipping costs ya dola 9000 meli ishatinga na ku off load mzigo shipping line hawajatoa telex release kwa sababu hawajalipwa na Tpa hawa proces chochote bila shipping release na mzigo unaanza kusoma storage . very last minutes Nmt shipping wakakubali kulipwa kwa Euro ndo ikawa salama yake .
Imagine unalipia kitu cha dola 9000 halafu benki wanakwambia wana uwezo wa kukuuzia dola 500 tu charges za kutuma ni dola 50 kwa kila dola 500
Nenda bank na hizo invoice za malipo hawawezi kataa.
 
Back
Top Bottom