zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Jerusalem ni symbol ya utawala wa Yesu not necessarily ile Jerusalem iliyopo pale palestina. Mfano Bible inasema hivi;Zakaria 12:2-3 kwamba Mungu ataifanya Jerusalem kuwa jiwe la mataifa kujikwaa, watapata jeraha
Yaani nchi ya Israel kwenye Biblia ni ya Waisraeli,rejea Mwanzo 15:18, pia kwenye Quran 5:21 Allah ambaye ni Mungu wa Wapalestina anasema nchi iliyoitwa Kanani walipewa Waisraeli. Hawa Hamas wakae kwa kutulia vinginevyo kipondo kitaendelea mpaka wahamie Msomera.Acha ujinga Palestina haikaliwi kwa ubavu, katika nchi ambayo mipaka yake imezungumzwa wazi wazi kwenye vitabu vya dini na kihistoria ni ISRAEL na sio SOUTH AFRICA wala TANZANIA
Israel nchi ile ni ya JEWS hata UN wanajua sasa mpumbavu mmoja kutoka Taita Taveta hata elimu hauna unatwambia nini hapa
Mungu akiwarejesha sio USA wala UK na Mungu akiwarudisha wala haitohitajika vita bali mazingira yataandaliwa!!Amos 9:15 alishasema miaka 538 BC kuwa atawarejesha Israel Kutoka alikowatawanya, na wakirudi, hakuna wa kuwatoa.
Biblia gani hiyo unasoma? Unajitafsiria unabii juu juu tu. Waliambiwa wasipomtii watatandikwa tu kama unabisha kasome kabila la Dani lilivyopotezewa na MunguNdiyo haya yanatokea, Wapalestina hawatamudu vita
Kwani Kuna nchi inaitwa Palestina? Palestina ni nchi feki iliyoanzishwa na Warumi mwaka 135 AD.Israel wana haki, na waarabu ni wanafiki saizi wanaopata tabu ni wagaza, Ayatollah yupo Iran kanyanyua miguu juu, palestina ishafutika hata kwenye ramani haipo.
Waamue hivo vipande viwili vya gaza na west bank waunganishe ndani ya Israel wote wawe raia wa Israel tu
Pole sanaUbishi, ukaidi na ujeuri wa wapalestina kutaka kupambana na Israel itapelekea maafa na mateso zaidi kwa watu wasiokuwa na hatia. Ama kwa kupenda au kutokupenda, suluhisho rahisi na lenye kuleta amani mashariki ya kati ni wapalestina kuwa watulivu ili waendelee kukaa pale kwa amani au kuhama kabisa maeneo yale ili kuepusha shari zaidi.
Hizi choko choko za vikundi vya Hamas nk. ni kujilisha upepo na kuongeza mateso, hazina msaada wowote endelevu kwa wapalestina. Wapalestina wakae wakijua, hakuna nchi ya kiarabu itajiingiza kichwa kichwa kuwapigania pale, sio Iran, Lebanon, Syria, Egypt, Jordan au Saudi Arabia ambayo ina muda, nguvu, rasimali au dhamira ya dhati ya kwenda moja kwa moja kuwapigania wapalestina, kila taifa linapambana na hali yake tu.
Hilo eneo la Gaza hapo mashariki ya kati ni dogo sana, kavu mnoo, halina rasilimali zozote muhimu za kiuchumi ukiachilia hizi blah blah za kiimani ambazo zinatumika na pande zote kinafiki tu na kimchongo ili kujitengenezea uhalali wa kumiliki hayo maeneo kwa sababu ya umuhimu wa kihistoria.
Sasa kwanini watu wakae kwa wagombana?
Kwani dunia haina sehemu zingine za kuishi?
Kuna raha gani kuishi katika hali hiyo?
Unaweza kusema au kuwaza kuwa kwanini waisraeli wao wasihamishwe pale? Jibu ni moja tu, Israel kwa sehemu kubwa ndio inapamiliki pale kwa sasa (iwe kwa haki au mabavu), Israel haina muda wa kuchokoza wapalestina ili iendelee kukaa pale bali ina dhamira, muda na nguvu za kutaka kuwakandamiza zaidi na kuwatuliza vilivyo ikiwa wapalestina watataka kuendelea kubakia pale.
Kama kuna wafia dini huku duniani wanaoona ni lazima kuendelea kupigana vita pale mashariki ya kati basi waende wao pale kwa vivuli vya dini yao kupigana na sio kutumia wapalestina kama chambo.
Note:
Taifa la Palestina lina mchanganyiko wa watu wenye imani tofauti tofauti wakiwemo waislamu (97%) na wakristo (3%), wakati taifa la Israel nalo lina waumini wa kiyahudi (81%), waislamu (14%), dini za asili (3%) na wakristo (2%). Lakini kote huko kwa hayo mataifa na hao waumini ukichunguza utagundua miongoni mwao kuna wapagani na wahuni kibao, hivyo tusilazimishe hii vita kuwa ni vita ya kidini wakati ni siasa na tamaa tu.
TUMECHOKA NA VITA
HATUTAKI VITA
Pole sanaNa huo ndiyo uhalisia.Kukaza shingo na kuleta mapambano ambayo mwisho wake Kuna mmoja atakoyongwa ni kutotumia vizuri ubongo kufikiria.
Pole sanaAcha ujinga Palestina haikaliwi kwa ubavu, katika nchi ambayo mipaka yake imezungumzwa wazi wazi kwenye vitabu vya dini na kihistoria ni ISRAEL na sio SOUTH AFRICA wala TANZANIA
Israel nchi ile ni ya JEWS hata UN wanajua sasa mpumbavu mmoja kutoka Taita Taveta hata elimu hauna unatwambia nini hapa
Pole sanaIsrael wana haki, na waarabu ni wanafiki saizi wanaopata tabu ni wagaza, Ayatollah yupo Iran kanyanyua miguu juu, palestina ishafutika hata kwenye ramani haipo.
Waamue hivo vipande viwili vya gaza na west bank waunganishe ndani ya Israel wote wawe raia wa Israel tu
Mleta uzi akizungumzia Ukraine.Ni mwaka sasa umeisha na Russia haijafanikiwa kuiteka Ukraine, kama ni mission, kimtindo Putin amefeli. Aanze sasa kusitisha vita ili mambo mengine yaendelee.
Halafu akaenda kuvamia Ukraine ili kuichukua nchi ya watu wengine huku akiua watu wasiokuwa na hatia.
Putin ni bonge la mpumbavu.
Pole sanaSahihisho hakuna taifa la palestina,bali kuna wapalestina. Sawa sawa na kusema kuna taifa la zanzibar huta lipata duniani ila kuna wazanzibar ndani ya Taifa la tanzania.
Pole sanaTatizo lako moja tu ndugu wewe ni mzito kufikiri, huko hakukuwa Uyahudini ok, kulikuwa ni ugenini, Uyahudini ndio pale Israel na sasa wamesimama kwao so wapalestina watulie
hawa wananchi wenzetu wa madongokuina wanaosema wale ni ndugu zao katika dini wanalijua hili? Wasilogwe wakawakaribisha hakuna rangi wataacha kuona toka kwa wageni hao. Kwanza wana tabia ya kujiingiza kwenye siasa za nchi walimokaribishwa na kuendeleza harakati zao dhidi ya adui yao wakiwa mbali. Wanaweza wakaunda chama chao na wakashiriki uchaguzi wa nchi walimopewa hifadhi. Kwa hapa kwetu wale wanaweza kujiunga na act wazalendo kule kuna ndugu zao wa dini na hata ufanano wakakiteka kile chama totally kikawa ni chama cha kipalestina, kama kina usultan hakishindwi kuwa na upalestina adadaniWewe usicheze na huo moto.
Hao watu waone hivyo hivyo wanavyo lia lia huko huko kwao.
Watakuja kuiharibu hii nchi kabisa.
Sababu ni moja tu itikadi kali za kidini.
Watakuja na Hamas, Hezbollah, na wanaofanana na hao.
Hao watu sio salama kwa kizazi chetu.
Waache wauane huko huko.
Pole sanaNgoja waendelee kufa maana waarabu wanajitia kichwa ngumu
Pole sanaUmeandika madini tupu
na sisi waafrika tufundishe watoto wetu ni bora kuliko wengineHata Israel pia hufundishwa kuwa ni superior kuliko jamii zote duniani na kwamba waafrika ni manyani tu
Acha udini ndugu zako wataishaPole sana
Pole sanaAcha udini ndugu zako wataisha
unafananisha makaburu na israel dhidi ya palestina? Kwa mtazamo huo unadhani itatokea siku israel ijisalimishe kwa palestina na mpalestina atawale israel? Mgogoro wa palestina na israel ni level nyingine, huwezi kufananisha na kina mandela na makaburu. Afrika kusini wanatawala waafrika still makaburu wapo tele na ni raia wa huko. Ni suala la muda tu anaweza kutokea rais kaburu tena ama wa ANC au wa chama kingine cha waafrika na hata cha wazungu.Putin hawezi ongea utumbo kma huo kingine kupigana kujikomboa sio ujinga, otherwise Mandela asingepigania uhuru South Africa maana makaburu walikua na silaha zote nzito nzito
Muwe mnafikili kabla ya kuandikaSahihisho hakuna taifa la palestina,bali kuna wapalestina. Sawa sawa na kusema kuna taifa la zanzibar huta lipata duniani ila kuna wazanzibar ndani ya Taifa la tanzania.
Tokea dunia imeanza kuna ubabe uliowahi kudumu? Hitler yukowapi? Japan ilifia wapi? Napoleon aliishia wapi? Haya mambo ni suala la muda tu.Kwa mtazamo huo unadhani itatokea siku israel ijisalimishe kwa palestina na mpalestina atawale israel?
Wewe umesema palestina wamezidiwa nguvu ndio maana nakuuliza kwa hiyo Mandela naye angeacha kupigania uhuru kisa makabur wana nguvu.unafananisha makaburu na israel dhidi ya palestina?
Level zipi? Wale wamepora ardhi ya watu kama tu Armenia vs Arzebeijan, Kurdistan vs Turkey, Kosovo vs Serbia au Tigray vs Ethiopia. Hakuna jipya pale suluhisho ni two states, tatizo Israel haitaki inataka kuhodhi ardhi yote..Mgogoro wa palestina na israel ni level nyingine, huwezi kufananisha na kina mandela na makaburu.
Ni sababu weusi walipambana so hata hao palestina wakipambana kipi kitawazuia kufanikiwa kama Mandela?Afrika kusini wanatawala waafrika still makaburu wapo tele na ni raia wa huko