Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika



daa japo nilipo nabanwa sana na masomo lakini nitajitaid
 
Ww unajiendekeza na huo mzigo utakuja kusinyaa kabisa na maisha yako yatakua ndio hayo, acha kuangalia Picha za pono, Fanya mazoez yakutosha, tafuta kampan zakuchat na hiyo habar utaacha afu sa iv wenye hichi chama naona mpo wengi naona mabint wamekua wachache
 
Pole dogo

Kuna bwana alizoea nyeto ikafika kipindi akiona babycare anaenda mnara
 
Acha kutazama porn then chukua uamuz wa kuokoka utakuwa jirani na Mungu..maana hiyoo nyeto ni pepo linalowatafuna wengi. Mbaya zaidi jambo hilo ni dhambii.
 
acha either kwa kupenda au kulazimishwa
 
mchuzi wa pweza una mantiki yoyote kwenye nguvu ya kiume?
 
Pamoja kwamba lengo ni kumaliza,swali lake bado hatujalijibu,Mwenye jibu tafadhali msaidie mjenga
 
Punguza hisia kali, jitahidi kucontrol hisia zako ili usimalize haraka hakikisha unamfikisha mlengwa kitonga.
Ukisikia zinakuja waza mavitu mabaya mabaya zinarudi hlf unaanza upya.
 
Punguza hisia kali, jitahidi kucontrol hisia zako ili usimalize haraka hakikisha unamfikisha mlengwa kitonga.
Ukisikia zinakuja waza mavitu mabaya mabaya zinarudi hlf unaanza upya.
hahahahahaaaaa,,, mavitu mabaya kama yapi sasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…