Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
Nyeto huwa inakuwa influenced na mazingira fulan kama vile bafun, au chumban kwako, cha msingi ni kuepuka kukaa mazingira ambayo unajua yanapelekea ushawishike kufanya nyeto.
Pia ww kushindwa kuwa na nguvu maana yake mishipa ya uume imelegea kias kwamba huwez kusababisha msuguano ( friction) ili mwanamke apate hisia na kufika kilelen, ili kuepukana na hilo jaribu muda wote kujipa kaz ya kufanya ili kuepusha kupata hisia za nyeto.
NB😛ia nakusihi ufanye mazoezi sana ili kuimarisha misuli na mishipa iliyolegea.
Muda ukipata tamaa au hisia mtafute mwanamke wako na kufanya nae pia kuwa karibu nae muda mwingi ili kupisha mawazo ya nyeto,.
Naamin wapiga nyeto wengi huwa waoga kutongoza saana tu! Kuwa ni wa kujiamin na muone mwanamke kama MTU wa kawaida tu na hutapungukiwa na kitu kumfuta na kumwambia hisia zako. Naishia hapo. NB MAZOEZI FANYA KILA SIKU HATA YA KUKIMBIA NI MAZURI.
daa japo nilipo nabanwa sana na masomo lakini nitajitaid