Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Kula sana tende na piga matizi sana kuondoa mafuta mwilini damu izunguke vzr. Hapo issue kubwa ni damu inakuwa haifiki vzr chini
 
Ukitaka kukojoa mwaga nje kila wakati utapiga hata sita au saba ni wewe tu
Fahamu hili spiritual:

Kila unapomwaga manii nje ya uke wa mwanamke unawapa majini mbegu ambazo huzipeleka ktk viwanda vyao kuumba watoto nusu mtu nusu pepo.

Jiulize kama imefanya haya tangu ujana, una watoto wangapi mapepo, na watoto hao hutumika kufanya MAUAJI na Kila aina ya UOVU wakishirikiana na wachawi na mashetani.

Tubu na ACHA punyeto au kumwaga nje au kuvaa kondom, unaumba au unazaa na mapepo bila kujua.

Tubu na ACHA mara moja usamehewe.

Ameeeen.
 
Fahamu hili spiritual:

Kila unapomwaga manii nje ya uke wa mwanamke unawapa majini mbegu ambazo huzipeleka ktk viwanda vyao kuumba watoto nusu mtu nusu pepo.

Jiulize kama imefanya haya tangu ujana, una watoto wangapi mapepo, na watoto hao hutumika kufanya MAUAJI na Kila aina ya UOVU wakishirikiana na wachawi na mashetani.

Tubu na ACHA punyeto au kumwaga nje au kuvaa kondom, unaumba au unazaa na mapepo bila kujua.

Tubu na ACHA mara moja usamehewe.

Ameeeen.
Leo umekuja na huku!!?

Aiseh hiyo elimu ulioleta ni mpya KABISA!!

Kumbe! AISEH HATARI Sana

Yaani inawezekana mtu akawa Baba pepo!!!?

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe katiba mpya"
 
Fahamu hili spiritual:

Kila unapomwaga manii nje ya uke wa mwanamke unawapa majini mbegu ambazo huzipeleka ktk viwanda vyao kuumba watoto nusu mtu nusu pepo.

Jiulize kama imefanya haya tangu ujana, una watoto wangapi mapepo, na watoto hao hutumika kufanya MAUAJI na Kila aina ya UOVU wakishirikiana na wachawi na mashetani.

Tubu na ACHA punyeto au kumwaga nje au kuvaa kondom, unaumba au unazaa na mapepo bila kujua.

Tubu na ACHA mara moja usamehewe.

Ameeeen.
Kwani hayo mapepo yanasemaje??
 
Back
Top Bottom