Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Aiseeee, mtateseka sana. Hayo tulikuwa tunaokota na kula utotoni leo ni dawa?Vipi kuhusu matunda ya miti ya michongoma! Na ku boost nguvu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee, mtateseka sana. Hayo tulikuwa tunaokota na kula utotoni leo ni dawa?Vipi kuhusu matunda ya miti ya michongoma! Na ku boost nguvu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aiseeee, mtateseka sana. Hayo tulikuwa tunaokota na kula utotoni leo ni dawa?
Unamuandaa vipi mtu anayefikiria pesa ya marejesho kwenye vicoba kesho?Tunywe maji ya kutosha kabla ya gemu,tule vizuri,tutumie muda mwingi kuandaa wadada,unapiga vizuri tu.
Ni ngumu sana msee!Unamuandaa vipi mtu anayefikiria pesa ya marejesho kwenye vicoba kesho?
Mkuu weed ni nini ? watu tunapata shida huku bedroom, jogoo haliwezi tene kupanda mtungi, for sure i need some one to assist me, i will pay to avoid these shamesMazoezi kwa sana,misosi ya kuupa mwili nguvu
Tumia weed then thank me later.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Fahamu hili spiritual:Ukitaka kukojoa mwaga nje kila wakati utapiga hata sita au saba ni wewe tu
Leo umekuja na huku!!?Fahamu hili spiritual:
Kila unapomwaga manii nje ya uke wa mwanamke unawapa majini mbegu ambazo huzipeleka ktk viwanda vyao kuumba watoto nusu mtu nusu pepo.
Jiulize kama imefanya haya tangu ujana, una watoto wangapi mapepo, na watoto hao hutumika kufanya MAUAJI na Kila aina ya UOVU wakishirikiana na wachawi na mashetani.
Tubu na ACHA punyeto au kumwaga nje au kuvaa kondom, unaumba au unazaa na mapepo bila kujua.
Tubu na ACHA mara moja usamehewe.
Ameeeen.
Nlisikia sehemu hii sijui kama ina ukweliUkitaka kukojoa mwaga nje kila wakati utapiga hata sita au saba ni wewe tu
Kwani hayo mapepo yanasemaje??Fahamu hili spiritual:
Kila unapomwaga manii nje ya uke wa mwanamke unawapa majini mbegu ambazo huzipeleka ktk viwanda vyao kuumba watoto nusu mtu nusu pepo.
Jiulize kama imefanya haya tangu ujana, una watoto wangapi mapepo, na watoto hao hutumika kufanya MAUAJI na Kila aina ya UOVU wakishirikiana na wachawi na mashetani.
Tubu na ACHA punyeto au kumwaga nje au kuvaa kondom, unaumba au unazaa na mapepo bila kujua.
Tubu na ACHA mara moja usamehewe.
Ameeeen.
Miezi 6 anabugia tu,,lazima awe dependantVip mzee havikufanyi kuwa dependant wa vitunguu?? Yan bila hivyo jogoo hawiki...
Sio kila mwenye tatizo hilo alipiga nyeto, kama wewe uko vizuri mshukuru Mungu.Ukiacha nyeto baaas mtu unapona chap
GMiezi 6 anabugia tu,,lazima awe dependant