Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr mwaka mwenyewe anaye uza dawa mwanamke amemkimbia wanawake hawajulikani wanataka nini.Vipi kuhusu matunda ya miti ya michongoma! Na ku boost nguvu..
Mazoezi ndo sawa tosha na sivinginevyo[emoji1666][emoji736][emoji817]Huhitaji kuangaika
Fanya mazoezi 3x a week, na do sex on same days,
Huu ni ukweli wanawake wengi hawana nguvu za kikeHamjazungumzia upande wa mwanamke, tusaidiane jamani nahisi kama charge imededi wallah[emoji2][emoji19]
yani hawa ukisimamia show yakibabe kidogo tu wanashindwa mwendo alafu vijiweni kwao na mitandaoni wana talk talk kinomaa[emoji23]Huu ni ukweli wanawake wengi hawana nguvu za kike
Ni kweli ndugu, mimi nilienda dukani kwa Dr Mwaka pale mwanza maeneo ya makufuri nikapewa dawa, nililipa shililing 220,000 nikanywa dawa ile lakini sikuona tofauti yeyote na hali bado iko palepale, kwahiyo nae ni tapeli tuDr mwaka mwenyewe anaye uza dawa mwanamke amemkimbia wanawake hawajulikani wanataka nini.
Tapeli anayejua kutumia fursa mjini.Ni kweli ndugu, mimi nilienda dukani kwa Dr Mwaka pale mwanza maeneo ya makufuri nikapewa dawa, nililipa shililing 220,000 nikanywa dawa ile lakini sikuona tofauti yeyote na hali bado iko palepale, kwahiyo nae ni tapeli tu
Matangazo yake kwenye TV anatumia nguvu kubwa saanaTapeli anayejua kutumia fursa mjini.
Pdf haifungukimayai matatu mabichi changanya na Vanilla shake , usiku mmoja kabla ya Zoezi!
Mambo mengine chukua mzigo huo chini hapo.
Huwa natoa mambo mazuri na mafunzo tu....... Mtanishukuru baadae
Punguza stressWanajamii nafanya mapenzi lakin akili yangu hai-focus na ninacho kifanya msaada jamani
Tafuta hela kijanaTupunguze UONGO UONGO!.... Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linasababishwa na wanawake wenyewe!!!
Hivi kwa mfano; unaniomba laki!?... Halafu unaniambia tufanye mapenzi!?... Hizo nyeg.e Mimi nazitolea wapi!!!?