Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Salaam ndugu zangu wa jamii forums..!

Nmeuptia huu uzi kwa umakini mami nikaona nitoe msaada kwa niyajuayo juu ya hili. Kuna mti unaitwa MKOMBOTI, asili yake ni Mozambique ila sijaua kama hku Tanzania pia kama ipo ila inatibu tatzo la nguvu za kiume kwa 100%,maumbile mafupi, kulegea kwa uume pia. Matumizi ni kuchmba mizizi yake na kuchemsha kwa ujazo wa chupa ya lita moja sanjari na hlo utakunywa khasubuhi na jioni kwa mda wa wiki2 tu. Utakuja kunishukuru!

Asanteni!
**********************************
IMG_20230804_122149_294.jpg
View attachment 2708659
 
Dr mwaka mwenyewe anaye uza dawa mwanamke amemkimbia wanawake hawajulikani wanataka nini.
Ni kweli ndugu, mimi nilienda dukani kwa Dr Mwaka pale mwanza maeneo ya makufuri nikapewa dawa, nililipa shililing 220,000 nikanywa dawa ile lakini sikuona tofauti yeyote na hali bado iko palepale, kwahiyo nae ni tapeli tu
 
Ni kweli ndugu, mimi nilienda dukani kwa Dr Mwaka pale mwanza maeneo ya makufuri nikapewa dawa, nililipa shililing 220,000 nikanywa dawa ile lakini sikuona tofauti yeyote na hali bado iko palepale, kwahiyo nae ni tapeli tu
Tapeli anayejua kutumia fursa mjini.
 
hili suala la UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ni jambo lililotengenezwa na wafanya biashara na likaingia kwen akili zetu, binafsi siamini kabsa kama kuna hili tatizo. Ishu kubwa inayotusumbua cc vijana ni kutaka kuwa sawa kwenye ufanyaji wa TENDO LA NDOA kitu ambacho hakiwezekani, kila mwanaume Mungu amempa uwezo wake tofauti

Vijana wenzangu TUFANYENI TENDO LA NDOA na tuepuke kuwa PORNOGRAPHERS, kijana anataka kufanya tendo masaa hakuna tendo la ndoa linalodumu kwa muda huo.

MANENO YA KUAMBIWA vijana wengi tumeingia kwenye kunywa madawa yanayodhaniwa kuwa yanaongeza nguvu za kiume kwa kufuata mkumbo na kuwafaidisha wafanya biashara wa dawa hizo.
 
mayai matatu mabichi changanya na Vanilla shake , usiku mmoja kabla ya Zoezi!
Mambo mengine chukua mzigo huo chini hapo.

Huwa natoa mambo mazuri na mafunzo tu....... Mtanishukuru baadae
Pdf haifunguki
 
Tupunguze UONGO UONGO!.... Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linasababishwa na wanawake wenyewe!!!

Hivi kwa mfano; unaniomba laki!?... Halafu unaniambia tufanye mapenzi!?... Hizo nyeg.e Mimi nazitolea wapi!!!?
Tafuta hela kijana
 
Back
Top Bottom