Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

ni sawa na kuwa porini na mwenzako, wewe unakunya na yeye anakunya halafu unamshangaa eti dooh wewe mbona unakunya porini? wakati wote mmechuchumaa mnakunya.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Wanaume wa dar wanatafuta ilo dili et ukiwakuta wanavyo fakamia viroba kabla ya show utafutah mwenyewe
 
Habari za muda huu wakuu, kwa kifupi ni hivi: mara nyingi nikiwa kwenye mapenz huwa nachukua muda sana kumaliza, kuna muda hadi huwa naulizwa humalizi? Hali hii kwangu inanisumbua sana kwani kila nkitaka kulala na mwanamke nakua na mawazo hadi inanipa hofu na kutamani kuahirisha zoezi.

Swali langu ni kwamba yawezekana hili ni tatizo? Je kama ni tatizo nini suluhisho lake naombeni msaada tafadhari

Punguza kupiga puchu aisee
 
Habari za muda huu wakuu, kwa kifupi ni hivi: mara nyingi nikiwa kwenye mapenz huwa nachukua muda sana kumaliza, kuna muda hadi huwa naulizwa humalizi? Hali hii kwangu inanisumbua sana kwani kila nkitaka kulala na mwanamke nakua na mawazo hadi inanipa hofu na kutamani kuahirisha zoezi.

Swali langu ni kwamba yawezekana hili ni tatizo? Je kama ni tatizo nini suluhisho lake naombeni msaada tafadhari
cc Ichana
 
Panda BOMBADIER-hutojuta, unafika asubuhi na mapema.
 
Naombeni msaada,
Nimepatwa na tatizo la kushindwa kusimamisha pindi nnapokutana na mpenzi wangu..kila tunapokuwa faragha pamoja ninapatwa na wasiwasi nisiouelewa nakujikuta nashindwa kupata erection kabisa au kupata erection then inapotea na kutorudi tena..hapo nyuma tatizo hili halikuwepo kabisa na nlikuwa vizuri tu.
Hali hii inanifrustrate sana na kuninyima raha kabisa..naomba kwa yeyote mwenye uelewa na swala hili anisaidie.
ACHA NYETO
 
chakula bora, mazoezi, kupumzika, na kuepuka kutumika ovyo, usafi wa mwanamke, mvuto kwenye mapenzi na ujuvi wa mambo! unaweza kuwa na stamina zako lakini mwanyewe akawa hana mvuto na hatii hamasa! wengine huwa tunasimamia show mpaka unaamua kuacha tu! Vijana wa sku hizi wanapita kumwagamwaga mbegu zao kila sehem mwisho nguvu kwishnei, hata manii zinakuwa nyepesi kama maji!
Sure
 
Habari ndugu zangu!!!. Niende, moja kwa moja kwenye maada!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26.
Ndugu zangu tatizo ambalo linanikabili ni kuwa ineffective ktk mishipa ya penis ambalo linapelekea kushindwa ku erect kisawasawa.
Ki ukweli nimefanya sana muster bastion kwa muda mrefu sana, nahic hili ndo chanzo cha tatizo.
Na imani humu ndani kuna watu wengi wenye ufahamu haya mambo, wanaweza kunisaidia ki ushauri, maoni n. k.
Mpaka saiz, nimekuta na mabinti wengi tu ila performance imekuwa ndogo sana.
Wasi wasi wangu ni pale nitapo kuja kuoa,.
Nataka pia kuuliza hivi kuna dawa ma hospitalini ambazo naweza kupewa na zikanisaidia?
Ahsanteni na mungu awape baraka, hope hili jukwaa litanisaidia sana na kubaki kuwa historia hili tatizo langu.
 
nakushauri ujaribu na punyeto ya nzi au yakufunga kamba wadau wameigundua ni salama zaidi
nyeto ni taamu watu wameoa na bado wapo chaputa
 
Nenda hospitali za private watakusaidia tatizo lako.
Kama unaendelea acha kunyepuka ni hatari sana.
 
Mkuu acha kabisa hiyo kitu anza kufanya mazoezi,kunywa maji mengi na kupata chakula bora na matunda kwa wingi mambo yatakaa sawa pia fanya mchakato nenda hospitali kawaeleze watakusaidia!

-Nyerere-
 
Back
Top Bottom