STRAGGLE MAN
JF-Expert Member
- Jan 10, 2018
- 698
- 613
HAIJAALISHI UMEKUFA PORINI AU BAHARINI AU UMEZIKWA, au UMECHOMWA, ANACHOKIITAJI MUNGU NI ROHO, KIWILIWILI SIYO SHIDA, MWILI UTATOOZA NA KUTOKA MAFUNZA NA ITABAKI MIFUPA, anachokiitaji ni roho, unaenda kufufuliwa tena akhera na kuanza kuhukumiwa kama umefanya makosa, Pia kama umeonewa utapata malipo huko, kama umeonea utahukumiwa huko, NDIO MAAANA TUNAPOFANYA MAKOSA TUNATAKIWA TUMREJEE MUUMBA NA TUSIRUDIE TENA COZ KUNA MAISHA BAADA YA KUFAKufufuliwa na Mungu ni jambo rahisi sana kwake je ikiwa hujafika kaburibi ugarudishiwa roho labda uko porini tu itakuwaje ukipiga kelele maana utaamka, tumesoma hiv
UNASHINDANA NA ALIEKUUMBA SIO!!!!Kwahyo maiti ikifufuka kaburini, halafu inakufa tena kwa kukosa hewa na chakula
Kashindana nae vipiUNASHINDANA NA ALIEKUUMBA SIO!!!!
Somen vitabu vya Mungu mbona yote yameelezwa, kama hausomi ubishi wa ninSwali la muhimu sana
Huenda na yeye anadhani anaota kumbe ndo anatoa ujumbe kweli.INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN
[HASHTAG]#JEBBY[/HASHTAG]
UNAVYO JIHISI KIFO.
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini. .
Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.
Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya" .
Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini. Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?" "hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!
Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa. .
Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"
Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Allah ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
"Yaa Allaaaaah...
Yaa Allaaaaaah...
Nisamehe mimi
Yaa Allaaaaaah!!! .
Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai . .
Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri. .
Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya. .
Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki. .
Ewe Allah, usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.
Kaka na dada katika uislam,una chaguo mbili hapa:
#1.Uache ilimu hii hapa isomwe na hakuna kitakacho tokea.
#2.[HASHTAG]#TAg[/HASHTAG] Isambaze ilimu hii kwa marafiki zako,.na wote wengine.
In Sha Allah itakuwa na manufaa kwao, na wewe utafaidika.
Ameen.
NB😛ichani ni Suma lee akiwa na msanii mwenzake marehemu Jebby.View attachment 754546
Uwepo wa dini tofauti tofauti unaleta mitazamo tofauti tofauti kuhusu masuala mbalimbali ya kijamii. Kwa mfano, linapokuja suala la KIFO ( MAUTI ), Kila dini ina mtazamo tofauti kutokana na kitabu wanachotumia. Dini ya Kiislamu, Kikristo, Kihindu, Kibudha, Kishinto na pia dini za asili za Kiafrika na Kiasia bado zinatofautiana kuhusu kifo, jinsi mtu anavyokufa, kile kinachotokea akiwa kaburini na baada ya kifo ( ufufuko ) itakuwaje. Ukichukulia dini hizi kubwa mbili ambazo ni Ukristo na Uislam unakuta mitazamo inakinzana katika nyanja mbalimbali za maisha ya mwanadamu. Na kila mtu anaamini kuwa mtazamo ulioandikwa katika kitabu cha dini yake iwe Biblia takatifu ama Quran tukufu. Ninachoona ni kwamba; kabla hatujaanza kukosoa maandishi ya mtu kuhusu suala la imani, tunapaswa tuwe na uelewa dhahiri wa imani / dini ya mtu huyo ili tuweze kujua kuwa anatofautiana na sisi wa imani nyingine. Hii itatusaidia kutokumkosoa pale anapotoa mtazamo wa dini yake bali tunajaribu kumuelewa. Lazima tujengeane tabia ya kukubali kutokukubaliana, ambayo itatufikisha katika hitimisho la pamoja ya kwamba kila mtu aamini anachokiamini kuhusu kifo / mauti. Muislam akitoa mtazamo wa dini yake, Wasio waislam wanapaswa kumuelewa na hakuna haja ya kuanza kuonesha mtazamo ya kwamba mafundisho fulani ni uongo. Pia Mkristo anapotoa mtazamo wa dini yake, anapaswa pia kuheshimiwa na wasio wakristo. Suma Lee ametoa mtazamo sahihi wa kifo kwa mujibu wa mafundisho yake ya Uislam. Suala la kuhoji kuwa hajawahi kufa na kufufuka, hilo halina mantiki hata kidogo. Kwa sasa aliyewafunulia kitabu chao ( Allah ) ndiye anayewaeleza kuhusu kifo na jinsi mfu anavyokuwa huko kaburini. Hivyo, hatupaswi kumpinga aliyetoa mtazamo wa kitabuni kwake, kama una hoja zenye mantiki, basi mpinge mtoaji wa mwanzo ( Allah ) wa hicho kitabu unachodhani hakijaeleza suala la kifo kama unavyotaka.
Endelea kuamini hivo imani yako itakuponya.HAVIKUANDIKWA, VIMESHUSHWA NA MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI
Kafiri wa kwanza ni MudyMakafiri
Mmwagie aeleweKafiri wa kwanza ni Mudy
Unataka kujua ukafiri wake nikumwagie hapa?
Sent from my GT-S7580 using JamiiForums mobile app
Hivi kirefu cha M.A.P huwa ni nini mkuuYa ahera Kayajua wapi
M.A.P Jebby
HAIJAALISHI UMEKUFA PORINI AU BAHARINI AU UMEZIKWA, au UMECHOMWA, ANACHOKIITAJI MUNGU NI ROHO, KIWILIWILI SIYO SHIDA, MWILI UTATOOZA NA KUTOKA MAFUNZA NA ITABAKI MIFUPA, anachokiitaji ni roho, unaenda kufufuliwa tena akhera na kuanza kuhukumiwa kama umefanya makosa, Pia kama umeonewa utapata malipo huko, kama umeonea utahukumiwa huko, NDIO MAAANA TUNAPOFANYA MAKOSA TUNATAKIWA TUMREJEE MUUMBA NA TUSIRUDIE TENA COZ KUNA MAISHA BAADA YA KUFA
Hahahahahhaha KUFA UONE [emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]your wrong mkuu , hakuna maisha baada ya kufa
Mungu Amlaze PemaHivi kirefu cha M.A.P huwa ni nini mkuu
Sawa mkuu, shukranMungu Amlaze Pema