Suma Lee atoa elimu nzito katika post yake ya msiba wa msanii Jebby

je ikiwa umedondoka tu porini na hujafukiwa ukirudishiwa roho na kuamka vipi ukipiga kelele?? maana porini huzikwi utaoza had kuisha kabisa na kusalia mifupa.

Nadhani hii ni nadharia kifo ni siri nzito sana.
Jiulize, ukiliwa na simba au kumezwa na chatu su mamba?
Je ukizama baharini ukaliwa na samaki? Ukiungua moto hadi majivu? Mtu akifia huko mwezini na asirudi?
 
Aijuae siri ya kifo ni Mungu tu, binadamu tuna stori za kusadikika na kutishana tu
 
Aijuae siri ya kifo ni Mungu tu, binadamu tuna stori za kusadikika na kutishana tu
huyo mungu we umemjulia wapi mkuu??

ili tuone huyo mungu kama ulimjua kupitia malaika au hao watu ambao UKnasema wanatisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…