SUMATRA kuweni wabunifu kwenye ishu ya usafiri mijini kipindi hiki

SUMATRA kuweni wabunifu kwenye ishu ya usafiri mijini kipindi hiki

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Nyakati ngumu huhitajika kuumiza kichwa mara nyingi zaidi kuliko kipindi cha raha mustarehe.

Sasa hivi SUMATRA inataka vyombo vya usafiri viwe level seats lakini haitoi majibu ya mipango ya aina gani wanaweza kutumia usafiri wa mabasi hayahaya ya daladala yaliyopo nchini kuweza kuhudumia watu kwa ufanisi zaidi licha ya kutakiwa level seat.

Utaratibu huu wa sasa wa Level seat unanufaisha kituo cha mwanzo wa safari na mwisho wa safari, nikimaanisha kuwa watu wote wanaosubiria usafiri katika vituo vya katikati wanakuta gari zimeshajaa toka huko walipotoka

Sasa napendekeza njia ya kupunguza hili tatizo kwa kiwango kikubwa

1. Katika route husika let say ya Makumbusho hadi Bunju, badala ya daladala zote kuanza safari zao kuanzia Makumbusho na kuishia bunju hizi daladala ziwe distributed katika hiyo route, kwa mfano ziwepo daladala zitakazoanzia Makumbusho, ziwepo zitakazoanzia bamaga, ziwepo zitakazoazia makongo hivyohivyo mpaka nusu ya route, na upande wa pili wa route hivyo hivyo. Lengo hapa ni kwa ajili ya kusaidia watu wote wa katikati na mwishoni mwa safari. Sasa ili kuwa fair kwa magari yote ili kila moja liweze kuanzia kituo fulani inaweza kuwepo utaratibu wa rotation ya vituo kila baada ya muda fulani kwa utaratibu utakaoanzishwa na kusimamiwa na Sumatra yenyewe.

2. Jambo jingine ni kuruhusu magari ya mikoani ambayo yapo idle katika siku husika kwenda kujaza gepu katika route ambazo zina uchache wa magari

3. Njia ya tatu ni kufanya kama alivyopendekeza kiongozi wa ACT ndugu Zitto katika barua aliyomuandikia rais kuwa Jeshi litoe magari ya jeshi kusaidia usafiri wa wananchi katika sehemu mbalimbali nchini. Waziri wa Uchukuzi na Usafirishaji amuombe rais aidhinishe magari ya Jeshi yatumike kipindi hiki na SUMATRA ifanye coordination na JWTZ kusaidia kuwezesha jambo hili lifanikiwe.

Mafuta yatatoka wapi?, Nauli za Abiria na Subsidy kidogo kutoka serikalini

Sumatra wawe wabunifu
 
Nionavyo mimi ni bora yale magari ambayo yanakuwa yamerundikana kwenye ruti moja ambayo haina abiria wengi yaruhusiwe kufanya kazi kwenye ruti zenye abiria wengi ambapo magari ni machache, hii itasaidia sana kuondoa mrundikano wa abiria vituoni kwenye maeneo mbali mbali.
Hata hivyo naheshimu mawazo yako [emoji120][emoji120][emoji120]

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Nionavyo mimi ni bora yale magari ambayo yanakuwa yamerundikana kwenye ruti moja ambayo haina abiria wengi yaruhusiwe kufanya kazi kwenye ruti zenye abiria wengi ambapo magari ni machache, hii itasaidia sana kuondoa mrundikano wa abiria vituoni kwenye maeneo mbali mbali.
Hata hivyo naheshimu mawazo yako [emoji120][emoji120][emoji120]

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]

Hili wazo zuri pia nalo naliunga mkono
 
SUMATRA haipo tena duniani ilishafutwa toka 2019 huko wewe unaleta ngonjera hapa?
 
Kwenye mwendokasi hakuna kinachosaidia.

Watu wanakaa level siti kwenye gari halafu wanarundikana vituoni kwa masaa kadhaa hiyo itasaidiaje kupunguza maambukizi ?

Watu wa vituo vya katikati gari hazisimami watu wanabaki vituoni kugombana na migambo wao DART.

Mathalani kituo cha Manzese ,Korogwe na Baruti vituo vinajaa mpaka nje na hakuna gari zinazokuja kupakia.

Mtu anaingia saa moja kituoni unatoka saa 3 hii siyo sawa hata kidogo.
Nyakati ngumu huhitajika kuumiza kichwa mara nyingi zaidi kuliko kipindi cha raha mustarehe.

Sasa hivi SUMATRA inataka vyombo vya usafiri viwe level seats lakini haitoi majibu ya mipango ya aina gani wanaweza kutumia usafiri wa mabasi hayahaya ya daladala yaliyopo nchini kuweza kuhudumia watu kwa ufanisi zaidi licha ya kutakiwa level seat.

Utaratibu huu wa sasa wa Level seat unanufaisha kituo cha mwanzo wa safari na mwisho wa safari, nikimaanisha kuwa watu wote wanaosubiria usafiri katika vituo vya katikati wanakuta gari zimeshajaa toka huko walipotoka

Sasa napendekeza njia ya kupunguza hili tatizo kwa kiwango kikubwa

1. Katika route husika let say ya Makumbusho hadi Bunju, badala ya daladala zote kuanza safari zao kuanzia Makumbusho na kuishia bunju hizi daladala ziwe distributed katika hiyo route, kwa mfano ziwepo daladala zitakazoanzia Makumbusho, ziwepo zitakazoanzia bamaga, ziwepo zitakazoazia makongo hivyohivyo mpaka nusu ya route, na upande wa pili wa route hivyo hivyo. Lengo hapa ni kwa ajili ya kusaidia watu wote wa katikati na mwishoni mwa safari. Sasa ili kuwa fair kwa magari yote ili kila moja liweze kuanzia kituo fulani inaweza kuwepo utaratibu wa rotation ya vituo kila baada ya muda fulani kwa utaratibu utakaoanzishwa na kusimamiwa na Sumatra yenyewe.

2. Jambo jingine ni kuruhusu magari ya mikoani ambayo yapo idle katika siku husika kwenda kujaza gepu katika route ambazo zina uchache wa magari

3. Njia ya tatu ni kufanya kama alivyopendekeza kiongozi wa ACT ndugu Zitto katika barua aliyomuandikia rais kuwa Jeshi litoe magari ya jeshi kusaidia usafiri wa wananchi katika sehemu mbalimbali nchini. Waziri wa Uchukuzi na Usafirishaji amuombe rais aidhinishe magari ya Jeshi yatumike kipindi hiki na SUMATRA ifanye coordination na JWTZ kusaidia kuwezesha jambo hili lifanikiwe.
Mafuta yatatoka wapi?, Nauli za Abiria na Subsidy kidogo kutoka serikalini

Sumatra wawe wabunifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SUMATRA haipo tena duniani ilishafutwa toka 2019 huko wewe unaleta ngonjera hapa?
Kwani kulikuwa na haja gani ya wewe kuongea utumbo wote huu? Si ungemwambia kuwa sahivi ipo LATRA

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Nyakati ngumu huhitajika kuumiza kichwa mara nyingi zaidi kuliko kipindi cha raha mustarehe.

Sasa hivi SUMATRA inataka vyombo vya usafiri viwe level seats lakini haitoi majibu ya mipango ya aina gani wanaweza kutumia usafiri wa mabasi hayahaya ya daladala yaliyopo nchini kuweza kuhudumia watu kwa ufanisi zaidi licha ya kutakiwa level seat.

Utaratibu huu wa sasa wa Level seat unanufaisha kituo cha mwanzo wa safari na mwisho wa safari, nikimaanisha kuwa watu wote wanaosubiria usafiri katika vituo vya katikati wanakuta gari zimeshajaa toka huko walipotoka

Sasa napendekeza njia ya kupunguza hili tatizo kwa kiwango kikubwa

1. Katika route husika let say ya Makumbusho hadi Bunju, badala ya daladala zote kuanza safari zao kuanzia Makumbusho na kuishia bunju hizi daladala ziwe distributed katika hiyo route, kwa mfano ziwepo daladala zitakazoanzia Makumbusho, ziwepo zitakazoanzia bamaga, ziwepo zitakazoazia makongo hivyohivyo mpaka nusu ya route, na upande wa pili wa route hivyo hivyo. Lengo hapa ni kwa ajili ya kusaidia watu wote wa katikati na mwishoni mwa safari. Sasa ili kuwa fair kwa magari yote ili kila moja liweze kuanzia kituo fulani inaweza kuwepo utaratibu wa rotation ya vituo kila baada ya muda fulani kwa utaratibu utakaoanzishwa na kusimamiwa na Sumatra yenyewe.

2. Jambo jingine ni kuruhusu magari ya mikoani ambayo yapo idle katika siku husika kwenda kujaza gepu katika route ambazo zina uchache wa magari

3. Njia ya tatu ni kufanya kama alivyopendekeza kiongozi wa ACT ndugu Zitto katika barua aliyomuandikia rais kuwa Jeshi litoe magari ya jeshi kusaidia usafiri wa wananchi katika sehemu mbalimbali nchini. Waziri wa Uchukuzi na Usafirishaji amuombe rais aidhinishe magari ya Jeshi yatumike kipindi hiki na SUMATRA ifanye coordination na JWTZ kusaidia kuwezesha jambo hili lifanikiwe.

Mafuta yatatoka wapi?, Nauli za Abiria na Subsidy kidogo kutoka serikalini

Sumatra wawe wabunifu
Mawazo mazuri lakin siku hizi haiitwi Sumatra tena ni LATRA(Land Transport Regulatory Authority)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo level seat ni kweli inasaidia kuepusha hiyo corona au ndio tunafanya mambo ili tu na sie tuonekane hatuko nyuma kwenye mapambano ya corona? watu wanarundika hapo kituoni halafu ikija daladala wanaingia wachache level seat et ndio kuepuka corona huko,wakifika kwenye shughuli zao mfano kariakoo wanaendelea na mikusanyiko kama kawaida ikifika jioni wanapanda level seat kuepuka corona.

Mambo mengine ni ya ajabu sana.
 
Hiyo level seat ni kweli inasaidia kuepusha hiyo corona au ndio tunafanya mambo ili tu na sie tuonekane hatuko nyuma kwenye mapambano ya corona? watu wanarundika hapo kituoni halafu ikija daladala wanaingia wachache level seat et ndio kuepuka corona huko,wakifika kwenye shughuli zao mfano kariakoo wanaendelea na mikusanyiko kama kawaida ikifika jioni wanapanda level seat kuepuka corona.

Mambo mengine ni ya ajabu sana.

Haisaidii chochote kwa kweli maana kukaa next to each kwenye seat hiyo piya ni risk
 
Kwenye mwendokasi hakuna kinachosaidia.

Watu wanakaa level siti kwenye gari halafu wanarundikana vituoni kwa masaa kadhaa hiyo itasaidiaje kupunguza maambukizi ?

Watu wa vituo vya katikati gari hazisimami watu wanabaki vituoni kugombana na migambo wao DART.

Mathalani kituo cha Manzese ,Korogwe na Baruti vituo vinajaa mpaka nje na hakuna gari zinazokuja kupakia.

Mtu anaingia saa moja kituoni unatoka saa 3 hii siyo sawa hata kidogo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mwendokasi ni mateso bila chuki na ukipandia gari korogwe uuzunguke Balo kimara
wanakushusha unakata tiketi upya na kupanga foleni.
 
Na pale korogwe hawaleti gari abiria wanajaa mpaka nje kituo na wale migambo wao muda wote wanagombana na abiria.
Mwendokasi ni mateso bila chuki na ukipandia gari korogwe uuzunguke Balo kimara
wanakushusha unakata tiketi upya na kupanga foleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom