The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Hii Iko wazi na ndio ukweli wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamzungumzia mrZero!?,kati ya watu hopeless ni Frederick Tluway Sumaye,hakuna kitu ambacho alifanya akiwa mbunge wetu wa Hanang',he used to be a curse,amezidiwa kwa mbali na mama Nagu.Jimbo la Hanang'ni jepesi mno kwa jamaa wa people's sema nn huwa hawashauriki huwa wanaletaga mgombea mjuaji Magoma Derick Jr,ni jimbo ambalo watu wake wamekosa visionary leadership angalau Mama Nagu sema aliendekeza machawa.Eng.Hhayuma hakushinda ndani ya chama ni hila na figisu za ukabila za Sumaye na udikteta wa mwendazake,shujaa wako mnafiqw johnthepatistWaziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia
Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi
---
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza Tanzania zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
Sumaye aliyasema hayo leo wilayani Hanang, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anayetembelea mikoa mitano.
“Hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Samia Suluhu Hassan, acha nje ya CCM hata ndani ya CCM, hakuna mtu atakayeiongoza hii nchi, atayeiendesha kama inavyokwenda zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
“Hata ndani ya CCM hayupo, sembuse nyie nje kuna nini! Husikii wenyewe wameparura hovyo hawajapata madaraka wanaparurana,wakipata si tutakoma, amesema Sumaye.
Source: Nipashe
Mama Anatosha na Chenji inabaki,anaebisha anyanyue mkono Juu na amtaje anaemzidiWaziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia
Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi
---
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza Tanzania zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
Sumaye aliyasema hayo leo wilayani Hanang, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anayetembelea mikoa mitano.
“Hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Samia Suluhu Hassan, acha nje ya CCM hata ndani ya CCM, hakuna mtu atakayeiongoza hii nchi, atayeiendesha kama inavyokwenda zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
“Hata ndani ya CCM hayupo, sembuse nyie nje kuna nini! Husikii wenyewe wameparura hovyo hawajapata madaraka wanaparurana,wakipata si tutakoma, amesema Sumaye.
Source: Nipashe
Mungu alitukomoa kutupa vitu viwili, tumbo na hamu ya tendoWaziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia
Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi
---
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza Tanzania zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
Sumaye aliyasema hayo leo wilayani Hanang, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anayetembelea mikoa mitano.
“Hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Samia Suluhu Hassan, acha nje ya CCM hata ndani ya CCM, hakuna mtu atakayeiongoza hii nchi, atayeiendesha kama inavyokwenda zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
“Hata ndani ya CCM hayupo, sembuse nyie nje kuna nini! Husikii wenyewe wameparura hovyo hawajapata madaraka wanaparurana,wakipata si tutakoma, amesema Sumaye.
Source: Nipashe
Huyu ni bogus tangu siku nyingi. Ukiona mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu kunusurika kutapeli na wale matapeli wanaopiga simu kuwa umeshinda bahari nasibu bila kucheza ujue kichwa chake kimejaa tamaa na tope.Maana halisi ya Wazee wa hovyo.
Anazeeka vibaya na atakufa vibaya huyu namhurumia huyuuuu...
Tangu anusurike kupigwa na wale matapeli waliomwambia kuwa ameshinda mamilioni kwenye bahati nasibu ambayo hakucheza na yeye akaingia kichwa kichwa nilimdharau sana.Hivi hajapata uteuzi wa uenyekiti bodi yeyote bado eehhh..🤔
Mjibu Kwa hoja acha povu.Anaebisha kwenye Hilo hapa ainue mkono Juu na ajibu hoja 👇👇Una
Unamzungumzia mrZero!?,kati ya watu hopeless ni Frederick Tluway Sumaye,hakuna kitu ambacho alifanya akiwa mbunge wetu wa Hanang',he used to be a curse,amezidiwa kwa mbali na mama Nagu.Jimbo la Hanang'ni jepesi mno kwa jamaa wa people's sema nn huwa hawashauriki huwa wanaletaga mgombea mjuaji Magoma Derick Jr,ni jimbo ambalo watu wake wamekosa visionary leadership angalau Mama Nagu sema aliendekeza machawa.Eng.Hhayuma hakushinda ndani ya chama ni hila na figisu za ukabila za Sumaye na udikteta wa mwendazake,shujaa wako mnafiqw johnthepatist
Hapo SasaSasa Allah akiamua itakuaje .
Uzee unampeleka pabaya!Waziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia
Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi
---
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza Tanzania zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
Sumaye aliyasema hayo leo wilayani Hanang, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anayetembelea mikoa mitano.
“Hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Samia Suluhu Hassan, acha nje ya CCM hata ndani ya CCM, hakuna mtu atakayeiongoza hii nchi, atayeiendesha kama inavyokwenda zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
“Hata ndani ya CCM hayupo, sembuse nyie nje kuna nini! Husikii wenyewe wameparura hovyo hawajapata madaraka wanaparurana,wakipata si tutakoma, amesema Sumaye.
Source: Nipashe
Na yeye ukifikiria alishawahi kuutaka urais unachoka kabisa!!!! Hivi sifa kuu ya mwana sisiemu nikutoa akili au?Waziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia
Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi
---
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza Tanzania zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
Sumaye aliyasema hayo leo wilayani Hanang, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anayetembelea mikoa mitano.
“Hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Samia Suluhu Hassan, acha nje ya CCM hata ndani ya CCM, hakuna mtu atakayeiongoza hii nchi, atayeiendesha kama inavyokwenda zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
“Hata ndani ya CCM hayupo, sembuse nyie nje kuna nini! Husikii wenyewe wameparura hovyo hawajapata madaraka wanaparurana,wakipata si tutakoma, amesema Sumaye.
Source: Nipashe
Nadhani hujanielewa,niliMjibu Kwa hoja acha povu.Anaebisha kwenye Hilo hapa ainue mkono Juu na ajibu hoj
Nadhani hujanielewa,nilitoka nje ya mada,sitokwi,sijatokwa na sitotokwa na povu,sijabisha khs kazi za Samia ila nimemzungumzia mzee wangu Mr.Zero ambaye hajaacha legacy yoyote Hanang',kuhusu kazi za Rais sina mashaka.Kinachonikwaza ni tabia za uchawa kusambaa mpk kwa mzee km SumayeMjibu Kwa hoja acha povu.Anaebisha kwenye Hilo hapa ainue mkono Juu na ajibu hoja 👇👇View attachment 3005417
Ila hajaongea uongo ,labda kama mna shida zenu binafsi nae.Nadhani hujanielewa,nili
Nadhani hujanielewa,nilitoka nje ya mada,sitokwi,sijatokwa na sitotokwa na povu,sijabisha khs kazi za Samia ila nimemzungumzia mzee wangu Mr.Zero ambaye hajaacha legacy yoyote Hanang',kuhusu kazi za Rais sina mashaka.Kinachonikwaza ni tabia za uchawa kusambaa mpk kwa mzee km Sumaye
Kwa hiyo ilitokea bahati mbaya Rais Samia akipendwa zaidi na Mwenyezi Mungu kama ilivyotokea kwa Rais Magufuli basi nchi hii ya Tanzania nayo itafutika kutoka katika uso wa dunia eti kwa sababu hakuna tena mtu mwingine ambaye ataweza kuitawala?Waziri mkuu Mstaafu na mwenyekiti Mstaafu wa Chadema Kanda ya Mashariki amesema hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza nchi hii ya Tanzania zaidi ya Dr Samia
Sumaye alikuwa anamueleza Katibu mkuu wa CCM Dr Nchimbi
---
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hakuna anayeweza kuongoza Tanzania zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
Sumaye aliyasema hayo leo wilayani Hanang, wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, anayetembelea mikoa mitano.
“Hakuna mtu mwingine anayeweza kuongoza hii nchi zaidi ya Samia Suluhu Hassan, acha nje ya CCM hata ndani ya CCM, hakuna mtu atakayeiongoza hii nchi, atayeiendesha kama inavyokwenda zaidi ya Samia Suluhu Hassan.
“Hata ndani ya CCM hayupo, sembuse nyie nje kuna nini! Husikii wenyewe wameparura hovyo hawajapata madaraka wanaparurana,wakipata si tutakoma, amesema Sumaye.
Source: Nipashe
Lofa by Mkapa 😀😀Huyu mzee mweupe sana
Hata huo uwaziri mkuu sijui
Aliupataje
Ova
Ha ha ha..hilo jitu hakuna kitu kwa head kabisa.Huyu ni bogus tangu siku nyingi. Ukiona mtu aliyewahi kuwa waziri mkuu kunusurika kutapeli na wale matapeli wanaopiga simu kuwa umeshinda bahari nasibu bila kucheza ujue kichwa chake kimejaa tamaa na tope.