Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,131
wewe weit uchaguzi uiashe atafilisiwa kila kitu na najua analijua hilo ndo mana kama kapagawa
ni kweli mkuu lazima arudishe tembo wetu wakiwa hai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe weit uchaguzi uiashe atafilisiwa kila kitu na najua analijua hilo ndo mana kama kapagawa
haya mwizi mwingine huuyu wezi wote wa Tembo sweka ndani majambazi wakubwa nyieHilo swali pereka maliasili au jukwaa la habari mchanganyiko.hapa tunajadiri hoja
sasa huyu sumaye kama kapagawa mwanzo aliona utani bt sasahv ashajua ukawa kushinda uchaguzi ni shida so anomba yatoked ata machafuko na yy angemshughulikia alivokua waziri mkuu kam c unafiki ni nini nasura yke tu na macho unajua ni mtu wa aina gani
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Mkuu ni CCM ndio wanaotumalizia tembo wetu...kinana ni mmoja wao tu
he he heeeee...........kila baya la lowassa unatia neno, hapo je, mimi siamini hili kama nisivyoamini la lawasa!Huna sera wewe.
ngoja tusubiri reply toka kwa kinana
usipokuwa najibu unakaa kimya si lazima kila thread ijibiwe jf zingine ziko empty..waache wenye kujibu wajibu hii sio sehwmuya kutishana mamboya libya aende wapi...huku huku mpaka ubadilikeHilo swali pereka maliasili au jukwaa la habari mchanganyiko.hapa tunajadiri hoja
ccm ni kichaka na watu waliomo humo hawaruhusiwi kushughulikianaSumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole