Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Hilo swali pereka maliasili au jukwaa la habari mchanganyiko.hapa tunajadiri hoja
 
sasa huyu sumaye kama kapagawa mwanzo aliona utani bt sasahv ashajua ukawa kushinda uchaguzi ni shida so anomba yatoked ata machafuko na yy angemshughulikia alivokua waziri mkuu kam c unafiki ni nini nasura yke tu na macho unajua ni mtu wa aina gani

kwani sumaye ndo alikuwa waziri mkuu 2007
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Nyie ndio mwayapenda majungu ,mna komaa ya richmond wakati ukweli ni kikwete ndio muhusika.
Kwa kinana toka akiwa na land rover 109 ya jeshi akiwa anakaa barabara ya ingira road arusha karibu na hospitali ya moshi arusha tuliona mengi.kinana ni msomali,si raia.
sasa bisha tuwavue nguo.
 
ngoja tusubiri reply toka kwa kinana

Hako kajamaa hata ukikaangalia tu hakana hata damu ya upendo na undugu wa kitanzania, kanaonekana kama kana chuki na taifa hili hata usoni mwake, mimi sikapendi hako balaa!
 
Kinana ni Katibu Mkuu wa CCm na ndio kampeni Meneja wa Magufuli. Tunatarijia majibu toka kwao na Chama chao.
 
Tiririkeni wajf, ninawaaminia kwa taarifa ficho. Kuna watu wanafikiri wanajua kuficha sana siri na kupiga dili kwa kutumia nafasi zao.
Ccm hawajui kama uchafu wao wote upo mikononi mwa watu na wakiwaudhi kwa style ya kampeni chafu watajikimbia na kujikataa. Kinana na meli yake walihusika kusafirisha pembe za ndovu kwa wingi hadi dunia ilishtuka naye kuleta utetesi dhaifu. Ccm nguo mnajivua wenyewe kwa kufikiri kampeni za majitaka zinalipa. Mtakosa mwana na maji ya moto!
 
Hilo swali pereka maliasili au jukwaa la habari mchanganyiko.hapa tunajadiri hoja
usipokuwa najibu unakaa kimya si lazima kila thread ijibiwe jf zingine ziko empty..waache wenye kujibu wajibu hii sio sehwmuya kutishana mamboya libya aende wapi...huku huku mpaka ubadilike
 
Lowasa mbona kashindwa kujibu ufisadi wote aloufanya etiii mzee usibishane nao kaaa kimya.... mmh akae kimya ama hana la kujibu makuu nyie mnashabikia msilolijua
 
Saaa kinana kama raiya wa Tanzania ni raiya wa nchi ganj
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Ukiwa ndani ya ccm haiwezekani kumdeal mwenzako, CCm ni chama cha kulindana wezi, ndio maana hata Lowassa alijiuzulu ili kulinda mamlaka za juu
 
CCM watuambie ni nani anakamata tembo wa Tanzania kila kukicha? Au ni majini?
 
Hii inanishangaza, ccm badala ya kunadi chama chao wanasema chagua magufuli. Ina maana ccm haikubaliki? Na hao madiwani ni wa Magufuli au wa nani?
 
Back
Top Bottom