Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,408
- 4,392
lowassa na sumaye ni mafisadi
Na vipi kuhusu hilo deal la meno ya tembo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lowassa na sumaye ni mafisadi
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Huna sera wewe.
Sasa huyu sumaye kama kapagawa mwanzo aliona utani bt sasahv ashajua ukawa kushinda uchaguzi ni shida so anomba yatoked ata machafuko na yy angemshughulikia alivokua waziri mkuu kam c unafiki ni nini nasura yke tu na macho unajua ni mtu wa aina gani
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Jana kwa mara nyingine waziri Mkuu mstafu Ndg. F. Sumaye alimlipua katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi A. Kinana na kusema katibu mkuu huyo kwa muda mrefu amekuwa akijihusisha na uuzaji wa meno ya tembo (pembe za ndovu)... "Soma gazeti hapa chini"
Ilimbukwe kuwa mwaka jana kituo cha utangazaji cha Aljazeera kilitoa data kuhusu tembo wa Tanzania kuuwawa na kuonyesha kwamba mwaka 2007 kulikuwa na jumla ya tembo 146,879 na mpaka mwaka jana 2014 tembo hao wameuwawa kwa asilimia 64% na kubaki tembo 56,000 tu...
Mytake: Hili suala la Kinana tulifikiri ni uzushi ila ukiona waziri mkuu aliyekaa madarakani kwa miaka 10 kaliweka wazi mbele ya wananchi ni wazi hakuna ubishi tena katika hilo....
ngoja tusubiri reply toka kwa kinana
Saaa kinana kama raiya wa Tanzania ni raiya wa nchi ganj
Lowasa mbona kashindwa kujibu ufisadi wote aloufanya etiii mzee usibishane nao kaaa kimya.... mmh akae kimya ama hana la kujibu makuu nyie mnashabikia msilolijua
mbona hakusema wakat yupo serkaln? tunataka mtu asiyebadilika badilika km Dr Slaa nyeusi iwe nyeus sasa leo list ya mafisad imeondolewa kwenye web ya chadema unategemea nn
Alitoka lini? Zero nani sasaKwanini hakumshitaki wakati alikua waziri mkuu? Huyu ni ziro kweli kweli
Wewe ushaambiwa msomali unauliza ni raia wa nchi gani!! Kwani alshabab wanatoka wapi?
?
Jana kwa mara nyingine waziri Mkuu mstafu Ndg. F. Sumaye alimlipua katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi A. Kinana na kusema katibu mkuu huyo kwa muda mrefu amekuwa akijihusisha na uuzaji wa meno ya tembo (pembe za ndovu)... "Soma gazeti hapa chini"
Ilimbukwe kuwa mwaka jana kituo cha utangazaji cha Aljazeera kilitoa data kuhusu tembo wa Tanzania kuuwawa na kuonyesha kwamba mwaka 2007 kulikuwa na jumla ya tembo 146,879 na mpaka mwaka jana 2014 tembo hao wameuwawa kwa asilimia 64% na kubaki tembo 56,000 tu...
Mytake: Hili suala la Kinana tulifikiri ni uzushi ila ukiona waziri mkuu aliyekaa madarakani kwa miaka 10 kaliweka wazi mbele ya wananchi ni wazi hakuna ubishi tena katika hilo....