Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Wakuu kuuliza si Ujinga hivi hizo ni Pembe au Meno ya Ndovu?
Pili hua yanafanyia kazi gani au ni Malighafi ya kutengenezea bidhaa gani?

umejipa jina kubwa kumb kichwan pumba,mpak leo hujui matumiz ya hivyo vitu?,xx km hukwend shule si ungeuliza google
 
Mbona mrisho hajajitokeza kukanusha kuhusu Richmond inamaana hajazipata kua yeye ndiyo muhusika .
 
mbona hakusema wakat yupo serkaln? tunataka mtu asiyebadilika badilika km Dr Slaa nyeusi iwe nyeus sasa leo list ya mafisad imeondolewa kwenye web ya chadema unategemea nn
 
Mbona mrisho hajajitokeza kukanusha kuhusu Richmond inamaana hajazipata kua yeye ndiyo muhusika .

Hawezi kukanusha hata kwa dawa..... Lowassa alisema akikanusha analipuka na kuweka mambo hadharani mpaka msg zake za simu
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Kipindi cha SUMAYE hapakuwepo na mauaji ya tembo.Tembo wameuliwa kipindi hiki cha Pinda na Kikwete wake.
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Kwani kasema alikuwa anaua tembo wakati wake? Ripoti iliyotolewa na Aljazeera inasema tokea 2007-2014 jee hapo alikuwa Waziri mkuu? Mnataka kutetea hata mambo ambayo yanatia aibu nchi kwa ajili ya utetezi wenu kwa ccm kama vile hicho chama ni wazazi wenu?
 
mbona inafahamika muda mrefu ata kampuni yake ilishikwa na meno ya tembo nje na habari ilitangazwa ata umu JF
 
mbona hakusema wakat yupo serkaln? tunataka mtu asiyebadilika badilika km Dr Slaa nyeusi iwe nyeus sasa leo list ya mafisad imeondolewa kwenye web ya chadema unategemea nn

Mfuate akuhadithie vizuri kilichomfanya aajiriwe na magamba.
 
Back
Top Bottom