ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
msomali toka lini amefanya biashara halali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu kuuliza si Ujinga hivi hizo ni Pembe au Meno ya Ndovu?
Pili hua yanafanyia kazi gani au ni Malighafi ya kutengenezea bidhaa gani?
Saaa kinana kama raiya wa Tanzania ni raiya wa nchi ganj
Mbona mrisho hajajitokeza kukanusha kuhusu Richmond inamaana hajazipata kua yeye ndiyo muhusika .
Saaa kinana kama raiya wa Tanzania ni raiya wa nchi ganj
Kinana alaaniwe. Hiyo ni tabia ya ki shetani kabisa
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Kwani 2007-2014 waziri mkuu alikuwa Sumaye?
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Acha ubaguzi Wa kidini kwani wewe hauna dini acheni uchochezi
mbona hakusema wakat yupo serkaln? tunataka mtu asiyebadilika badilika km Dr Slaa nyeusi iwe nyeus sasa leo list ya mafisad imeondolewa kwenye web ya chadema unategemea nn
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole