Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,854
Saaa kinana kama raiya wa Tanzania ni raiya wa nchi ganj
Pardon.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saaa kinana kama raiya wa Tanzania ni raiya wa nchi ganj
Sasa ameokoka shida iko wapi?
mbona inafahamika muda mrefu ata kampuni yake ilishikwa na meno ya tembo nje na habari ilitangazwa ata umu JF
Kivipi Lizaboni? Kuwa tembo hawajauwawa au muuaji hajajulikana bado?
Note: hata kama wewe ni kada ifike sehemu nafsi ikusute kuhusu vifo vya tembo, waonee huruma tembo
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
1. Nawashangaa wanaowachoma moto Vibaka na kumuacha Lowassa akitanua mitaani-Freeman Aikaeli Mbowe;
2. Anayemuunga mkono Lowassa akapimwe akili haraka-Mch. Peter Msigwa
3. Nina ushahidi wa kutosha kuhusiana na Wizi na Ufisadi wa Lowassa na Rostam-John Mnyika.
4. CCM wamempatia Fisadi Lowassa fomu ya kugombea urais. Ni hatari sana-Tundu Lissu.
5. Nimesema kama UKAWA tutamsimamisha fisadi, mna haki ya kututosa-Halima mdee
6. I thought safari ya Matumaini was poorly organized, imekuwa safari ya matumizi
7.Taarifa kwa Umma: Serikali iache kumlinda Lowassa, ni mmoja wa mizizi ya ufisadi wa Richmond. Akamatwe, ahojiwe na achukuliwe hatua za kisheria- Yeriko Nyerere
8. Wakati Mwakyembe na Magufuli wakiwajibika kulitumikia taifa , kuna Mapaka shume yanatembea Makanisani na Misikitini yakisaka urais-Yeriko Nyerere
8. Ni heshima kwa Mungu kumzomea na kumtukana mtu FISADI kama Lowassa-Godbless Lema
9. Pamoja na haki ya kila mtu kugombea urais, kwa hawa walioomba kutoka CCM, I don't see talent, kwangu mimi wote ni average brain-Peter Msigwa' s tweet 09/06/2015
10. Mtu anayetaka nafasi urais, lazima awe tayari kujipima, kujitafakari, kujiridhisha kuwa anatosha, yeye mwenyewe kwanza, afanye hayo, ajipime , ajitafakari na ajiridhishe kuwa anatosha:
¡ kiafya
¡¡ kiakili
¡¡¡ kimaadili
¡v kidhamira
Lazima ujipime hayo kama unapungukiwa na mojawapo kati ya hayo, hufai, lakini la pili uwe tayari Umma kukupima katika hayo niliyoyataja, uwe tayari Umma ukupime kiafya, kiakili, kimaadili na kidhamira, siyo unajipima tu mwenyewe na unasema , mimi sawasawa, A a a a, na Umma nao ukupime- Fredrick Tluwaye Sumaye
11. CCM mkimpitisha Lowassa nahama Chama-Sumaye
12. Njaa hadi kwenye nyumba za ibada, Wachungaji wa makanisa mbalimbali ya Kikristo wakiandamana muda huu kwenda nyumbani kwa Edward Lowassa kumshinikiza achukue fomu ya kugombea urais. I hope Mapadre hawamo humo. Mungu atuepushe.
Yaani Kanchi ketu haka kanaendeshwa kwa ujanja ujanja na wiziwizi tu. Mtu akiwa na hela zake basi anafanya jambo lolote tu-Julius Mtatiro
13. Lowassa ni dhaifu-MBOWE
14. #KATAALOWASSAKWENDAIKULUJIZIII !-Yeriko Nyerere
Mkuu lakini tembo wanauliwa, swali ni nani anawauwa hadi selekali inashindwa kudhibiti?Nchi hii bana, aliyajua lini hayo?
Mzee Lowassa anasema"Go to court or shut up and keep quiet. "
Wameishi kwa raha ujana wao sasa wanataka wavuruge nchi
pole ndug yangu habari za huko uliko wenzako hatukujikwaa tuliongeza mwendo na sasa karibu tutafika mwenzetu ulishukia wapi?
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole
Nchi hii bana, aliyajua lini hayo?
Mzee Lowassa anasema"Go to court or shut up and keep quiet. "
Wameishi kwa raha ujana wao sasa wanataka wavuruge nchi