Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

Kuipigia kura CCM ni sawa na kukikumbatia kifo ilhali Dr.WilMihogo Slaa anakula upepo US kwa fedha za walalahoi.Jiulize twiga amepanda ndege weye mpumbavu mwenzangu utapanda lini na ukienda wapi?
 
Kivipi Lizaboni? Kuwa tembo hawajauwawa au muuaji hajajulikana bado?
Note: hata kama wewe ni kada ifike sehemu nafsi ikusute kuhusu vifo vya tembo, waonee huruma tembo

Anaelewa mchongo ndio maana amejibu short cut.
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Kweli elimu imeshuka Tanzania, umeambiwa kuanzia 2007 mpk 2014 ww unasema Sumaye alikuwa Waziri Mkuu.
 
1. Nawashangaa wanaowachoma moto Vibaka na kumuacha Lowassa akitanua mitaani-Freeman Aikaeli Mbowe;
2. Anayemuunga mkono Lowassa akapimwe akili haraka-Mch. Peter Msigwa
3. Nina ushahidi wa kutosha kuhusiana na Wizi na Ufisadi wa Lowassa na Rostam-John Mnyika.
4. CCM wamempatia Fisadi Lowassa fomu ya kugombea urais. Ni hatari sana-Tundu Lissu.
5. Nimesema kama UKAWA tutamsimamisha fisadi, mna haki ya kututosa-Halima mdee
6. I thought safari ya Matumaini was poorly organized, imekuwa safari ya matumizi
7.Taarifa kwa Umma: Serikali iache kumlinda Lowassa, ni mmoja wa mizizi ya ufisadi wa Richmond. Akamatwe, ahojiwe na achukuliwe hatua za kisheria- Yeriko Nyerere
8. Wakati Mwakyembe na Magufuli wakiwajibika kulitumikia taifa , kuna Mapaka shume yanatembea Makanisani na Misikitini yakisaka urais-Yeriko Nyerere
8. Ni heshima kwa Mungu kumzomea na kumtukana mtu FISADI kama Lowassa-Godbless Lema
9. Pamoja na haki ya kila mtu kugombea urais, kwa hawa walioomba kutoka CCM, I don't see talent, kwangu mimi wote ni average brain-Peter Msigwa' s tweet 09/06/2015
10. Mtu anayetaka nafasi urais, lazima awe tayari kujipima, kujitafakari, kujiridhisha kuwa anatosha, yeye mwenyewe kwanza, afanye hayo, ajipime , ajitafakari na ajiridhishe kuwa anatosha:
¡ kiafya
¡¡ kiakili
¡¡¡ kimaadili
¡v kidhamira
Lazima ujipime hayo kama unapungukiwa na mojawapo kati ya hayo, hufai, lakini la pili uwe tayari Umma kukupima katika hayo niliyoyataja, uwe tayari Umma ukupime kiafya, kiakili, kimaadili na kidhamira, siyo unajipima tu mwenyewe na unasema , mimi sawasawa, A a a a, na Umma nao ukupime- Fredrick Tluwaye Sumaye
11. CCM mkimpitisha Lowassa nahama Chama-Sumaye


12. Njaa hadi kwenye nyumba za ibada, Wachungaji wa makanisa mbalimbali ya Kikristo wakiandamana muda huu kwenda nyumbani kwa Edward Lowassa kumshinikiza achukue fomu ya kugombea urais. I hope Mapadre hawamo humo. Mungu atuepushe.
Yaani Kanchi ketu haka kanaendeshwa kwa ujanja ujanja na wiziwizi tu. Mtu akiwa na hela zake basi anafanya jambo lolote tu-Julius Mtatiro
13. Lowassa ni dhaifu-MBOWE
14. #KATAALOWASSAKWENDAIKULUJIZIII !-Yeriko Nyerere

Haiwezi kuwa kick kwa wakati huu wa mabadiliko so unatakiwa usome nyakati kiumbe mwenye akili butu.
 
Tembo wanalialia mama tanzania wamekosa nini jamani si mchinje ng'ombee mchukue pembee
 
ccm wameanza kuchokoza wenyewe,sasa nao wameanza kujibiwa watulie
 
Nchi hii bana, aliyajua lini hayo?

Mzee Lowassa anasema"Go to court or shut up and keep quiet. "

Wameishi kwa raha ujana wao sasa wanataka wavuruge nchi
Mkuu lakini tembo wanauliwa, swali ni nani anawauwa hadi selekali inashindwa kudhibiti?
 
JK alisema anawajua majangiri na wauza madawa ya kulevya na majina anayo Ikulu,ushawahi jiuliza kwanini hawajakamatwa mpaka hii leo?

Tafakari chukua hatua,CCM ni kansa katika mwili wa mama Tanzania.
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Mkuu hata Mwl Nyerere aliwahi kusema tubadilike! Sasa huyu waziri mkuu wa zamani amebadirika! Hatuwezi kuwafungia milango wale walio tamka rasmi kuwa wamebadilika! Hivyo usihangae hata bwana Pinda akabadilika na kusema mengine.
 
Mpaka sasa hajatuambia yeye alikua anapiga dili gani, maana kua waziri mkuu for ten years si bure bure tu
 
Sumaye we sumaye why sasa umekosa ya kusema,ulipokuwa waziri mkuu si ndo ungemkabili?kwa sasa ni sawa na majungu tu pole

Tulia dawa iwaingie! Mnajua kutupia mawe kwenye mzinga wa nyuki kama vile asali ya nyuki ni yenu. Nyuki wanajitetea tafuteni pa kutokea tuwaone!
 
Sumaye amehisi eti CCM itapigwa chini kwa iyo anajitahidi kupiga maneno ambayo yalipaswa kwenda kupelekwa mahakamani kama ushadi, hii yote akumbukwe kwenye kamati kuu ya UKAWA iwapo itapata nafasi.
 
Back
Top Bottom