Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
 
Kumbe jamaa wanakodisha wahudhuriaji wa mikutano!!!

Hahaaa, sishangai, maana Dar Kuna watu wanakodishwa kulia misibani.

Ukiangalia mikutano ya chadema, watu wamevaa jezi za Simba, Yanga, hawana uhusiano na chadema
 
Yaani mleta habari hata kama ni maigizo hapa mmfeli Sana.

1. Walalamikaji wanalalamika wakiwa kijiweni kwao na siyo ofisi za chama kama ulivyoripoti.

2. Siku hizi bajaji na bodaboda hayupo anayeweza kuanza safari yoyote kama combo chake hakijajazwa mafuta, "yaani ni jaza niende" kama hao walikubali ni wapuuzi na acha tu wawadhurumu hakuna namna.

3. Hata mwonekano wa wadai wenyewe hauakisi uhalisia.
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
 
Chadema ni kampuni ya watu wachache sio chama cha siasa..nikampuni ya wachagga..kama ni chama cha democrasia kweli ..kwanini mbowe ni mwenyekiti zaidi ya miaka 30,tokea nikiwa mdogo mpaka leo namsikia mbowe tu.

Huku Arusha madiwani wengi wa chadema enzi hizo walikuwa wachagga tu yaani asilimi kama 90,tofauti na ccm madiwa ni mchanganyiko hawachagui kabila..hata viongozi wa chama huku katika ngazi mbalimbali wengi ni wachagga...

Sasa najiuliza mbona kuna makabila mengi mfano,waarusha,wamasai,wameru,warangi,wasomali,na mengine ambao wana uwezo mkubwa sana kwanini wasipewe hiyo fursa ya kugombea?
 
Yaani mleta habari hata kama ni maigizo hapa mmfeli Sana.

1. Walalamikaji wanalalamika wakiwa kijiweni kwao na siyo ofisi za chama kama ulivyoripoti.

2. Siku hizi bajaji na bodaboda hayupo anayeweza kuanza safari yoyote kama combo chake hakijajazwa mafuta, "yaani ni jaza niende" kama hao walikubali ni wapuuzi na acha tu wawadhurumu hakuna namna.

3. Hata mwonekano wa wadai wenyewe hauakisi uhalisia.
Mkuu,Mwenyekiti wa chama huko Sumbawanga amekanusha madai ya hao madereva wa Bajaj?
 
Yaani mleta habari hata kama ni maigizo hapa mmfeli Sana.

1. Walalamikaji wanalalamika wakiwa kijiweni kwao na siyo ofisi za chama kama ulivyoripoti.

2. Siku hizi bajaji na bodaboda hayupo anayeweza kuanza safari yoyote kama combo chake hakijajazwa mafuta, "yaani ni jaza niende" kama hao walikubali ni wapuuzi na acha tu wawadhurumu hakuna namna.

3. Hata mwonekano wa wadai wenyewe hauakisi uhalisia.
1. Habari imeandikwa wameenda Ofisini kwa MWENYEKITI. Sasa kama unaona hapo ofisini kwa MWENYEKITI WA CHADEMA ni Kijiweni sawa.
2.Hoja yako ya pili nenda Sumbawanga ukafanya confimation
3. Hongera sana mtaalamu wa kujua wadai na wadaiwa kwa kuangalia mionekano
 
Hii habari ni ya kutunga
Hujaona video mkuu, au hata huyu jamaa anayeongea kwa video nayeye ni wakutunga?

Kila siku tunasema humu jukwaani Chadema ni chama cha kihuni sana na kinajiendesha kihuni,ona sasa wanaishia kuaibika kwa kudhurumu haki ya wanyonge, hapo hapo wanadai eti chadema mtetezi wa wanyonge, my foot.

Kwa mwendo huu sisi chadema kuitoa CCM madarakani tujipe karne tano
 
Back
Top Bottom