benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,533
- 3,187
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI