Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

Nilitaka nisiseme kitu hapa, dereva anasema watoto na familia wanakufa njaa wakati huo huo hamna taarifa za uhakika kua mtu kafa kisa ajalipwa. Hivi kweli madereva hao awajui ofisi za CHADEMA au ata kwenda polisi?
Tatizo ni ujinga wa siasa zetu na siasa zetu ni ujinga wetu.
 
Anaejua body language vizuri aangalie vizuri video hii aone mtu yanavyo pacify ili kujipa unafuu wa kuongea.
Elfu kumi iwaweke hadi jioni... JE hesabu za boss zao ni sh ngapi?
Acheni dhulma, dhulma ni mbaya
 
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Wameomba kibali cha kuandamanaa ?
 
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555afisha
UVCCM ni zaidi ya konokono, huo muda mngetumia hata kujisafisha miili yenu.
 
Baada ya comments nyingi zerooo mind zero mission not accomplish is unsuccessful 😝😝😝😡
 
Chadema wameamua kuwa wahuni siyo?
Pumbavu zao kabisa!
 
Mimi nawachukia sana chadema kwa sababu ya ujinga wao na mipango yao ila kwa hili mbona kama wamepangwa watu kuonyesha ujinga wa upande wa pili?
Na mimi nawachukia wajinga kama nyie. Ambao mkiambiwa jambo mnakubali bila kufanya uchunguzi.
 
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Hawa ni uvccm
 
Chadema ni kampuni ya watu wachache sio chama cha siasa..nikampuni ya wachagga..kama ni chama cha democrasia kweli ..kwanini mbowe ni mwenyekiti zaidi ya miaka 30,tokea nikiwa mdogo mpaka leo namsikia mbowe tu.

Huku Arusha madiwani wengi wa chadema enzi hizo walikuwa wachagga tu yaani asilimi kama 90,tofauti na ccm madiwa ni mchanganyiko hawachagui kabila..hata viongozi wa chama huku katika ngazi mbalimbali wengi ni wachagga...

Sasa najiuliza mbona kuna makabila mengi mfano,waarusha,wamasai,wameru,warangi,wasomali,na mengine ambao wana uwezo mkubwa sana kwanini wasipewe hiyo fursa ya kugombea?
Ujinga umekujaa, kwani nani aliwahi kunyimwa fomu za kugombea na huku akiwa na sifa?
 
Back
Top Bottom