Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Wakikupa niite mbayuwayunamba za simu za hao mamluki ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikupa niite mbayuwayunamba za simu za hao mamluki ?
Ni habari ya Kweli hii ndugu Erythrocyte?Tunaomba idadi yao na kiasi wanachodai , tumalizane nao sasa hivi .
Ok nimekupata.namba za simu za hao mamluki ?
Acheni dhulma, dhulma ni mbayaAnaejua body language vizuri aangalie vizuri video hii aone mtu yanavyo pacify ili kujipa unafuu wa kuongea.
Elfu kumi iwaweke hadi jioni... JE hesabu za boss zao ni sh ngapi?
Wameomba kibali cha kuandamanaa ?Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
UVCCM ni zaidi ya konokono, huo muda mngetumia hata kujisafisha miili yenu.Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555afisha
Mbona Jiwe alipokuwa anadhulumu na kuua watu mliona sawa?Wapewe haki yao dhuruma ni mbaya.
CCM chama dola- nyie chama wafadhili huku mnakula hela za wafadhili mpaka mnakosa hela ya kulipa watu wa bajajCCM ndio Kinara, wakikukodi hawakulipi
Amekufa mumeo siyo CHADEMAKwanini wasitunge miaka yote tena kipindi ambapo chedama inanguvu,kwa nini watunge sasa angali chadema imekufa?
Amekufa mumeo siyo CHADEMAKwanini wasitunge miaka yote tena kipindi ambapo chedama inanguvu,kwa nini watunge sasa angali chadema imekufa?
YesMimi nawachukia sana chadema kwa sababu ya ujinga wao na mipango yao ila kwa hili mbona kama wamepangwa watu kuonyesha ujinga wa upande wa pili?
Na mimi nawachukia wajinga kama nyie. Ambao mkiambiwa jambo mnakubali bila kufanya uchunguzi.Mimi nawachukia sana chadema kwa sababu ya ujinga wao na mipango yao ila kwa hili mbona kama wamepangwa watu kuonyesha ujinga wa upande wa pili?
Hawa ni uvccmMadereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Ujinga umekujaa, kwani nani aliwahi kunyimwa fomu za kugombea na huku akiwa na sifa?Chadema ni kampuni ya watu wachache sio chama cha siasa..nikampuni ya wachagga..kama ni chama cha democrasia kweli ..kwanini mbowe ni mwenyekiti zaidi ya miaka 30,tokea nikiwa mdogo mpaka leo namsikia mbowe tu.
Huku Arusha madiwani wengi wa chadema enzi hizo walikuwa wachagga tu yaani asilimi kama 90,tofauti na ccm madiwa ni mchanganyiko hawachagui kabila..hata viongozi wa chama huku katika ngazi mbalimbali wengi ni wachagga...
Sasa najiuliza mbona kuna makabila mengi mfano,waarusha,wamasai,wameru,warangi,wasomali,na mengine ambao wana uwezo mkubwa sana kwanini wasipewe hiyo fursa ya kugombea?