Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Huo ni ujuha wa gagula bibi kizee aliyewapa bajaji sasa wanaogopa gagula bibi kizee atawanyang'anya.
 
Kumbe jamaa wanakodisha wahudhuriaji wa mikutano!!!

Hahaaa, sishangai, maana Dar Kuna watu wanakodishwa kulia misibani.

Ukiangalia mikutano ya chadema, watu wamevaa jezi za Simba, Yanga, hawana uhusiano na chadema
Bajaji zilikodishwa kama vyombo vya usafiri, hawajakodishwa watu kama hao wanaolia misibani.

Hata hivyo, hilo igizo lenu mmetengeneza vibaya, mmekosea script.
 
Kumbe jamaa wanakodisha wahudhuriaji wa mikutano!!!

Hahaaa, sishangai, maana Dar Kuna watu wanakodishwa kulia misibani.

Ukiangalia mikutano ya chadema, watu wamevaa jezi za Simba, Yanga, hawana uhusiano na chadema
chama gani tz kisichokodisha.....ccm ndiyo vinara hadi wasikilizaji wanakodishiwa usafiri na kulipwa ili wakasikilize. Hao wa sumbawanga walikodishwa kwa ajili ya mbwembwe tu za msafara wa mwenyekiti wao.

Hata hivyo Ikuwo lazima awalipe. ahadi ni mkataba na mkataba lazima utekelezwe
 
chama gani tz kisichokodisha.....ccm ndiyo vinara hadi wasikilizaji wanakodishiwa usafiri na kulipwa ili wakasikilize. Hao wa sumbawanga walikodishwa kwa ajili ya mbwembwe tu za msafara wa mwenyekiti wao.

Hata hivyo Ikuo lazima awalipe. ahadi ni mkataba na mkataba lazima utekelezwe
Jikite Kwenye mada
 
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Tunaomba idadi yao na kiasi wanachodai , tumalizane nao sasa hivi .
 
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Hakuna Bodaboda wala Bajaj aliyekuwa anadai hela maana bodaboda wa kukodiwa hawezi kwenda umbali wa km 22 na kurudi Kwa mafuta yake. Tafuteni uongo mwingine na hao waendesha Bajaj waliodanganywa na Aeshi kutunga uongo.
 
Hakuna Bodaboda wala Bajaj aliyekuwa anadai hela maana bodaboda wa kukodiwa hawezi kwenda umbali wa km 22 na kurudi Kwa mafuta yake. Tafuteni uongo mwingine na hao waendesha Bajaj waliodanganywa na Aeshi kutunga uongo.
Endelea kutupa upande wa pili wa Shilingi
 
Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.

Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Mapandikizi ya CCM haya. Yasichoshe masikio yenu bure.
 
Back
Top Bottom