ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Nani kaliweka Sasa Hilo igizo?Hili ni igizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kaliweka Sasa Hilo igizo?Hili ni igizo
Huo ni ujuha wa gagula bibi kizee aliyewapa bajaji sasa wanaogopa gagula bibi kizee atawanyang'anya.Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Bajaji zilikodishwa kama vyombo vya usafiri, hawajakodishwa watu kama hao wanaolia misibani.Kumbe jamaa wanakodisha wahudhuriaji wa mikutano!!!
Hahaaa, sishangai, maana Dar Kuna watu wanakodishwa kulia misibani.
Ukiangalia mikutano ya chadema, watu wamevaa jezi za Simba, Yanga, hawana uhusiano na chadema
Kwanini wasiigize miaka yote tena kipindi ambapo chedama inanguvu,kwa nini waigize sasa angali chadema imekufa?Hili ni igizo
Kwanini wasitunge miaka yote tena kipindi ambapo chedama inanguvu,kwa nini watunge sasa angali chadema imekufa?Hii habari ni ya kutunga
chama gani tz kisichokodisha.....ccm ndiyo vinara hadi wasikilizaji wanakodishiwa usafiri na kulipwa ili wakasikilize. Hao wa sumbawanga walikodishwa kwa ajili ya mbwembwe tu za msafara wa mwenyekiti wao.Kumbe jamaa wanakodisha wahudhuriaji wa mikutano!!!
Hahaaa, sishangai, maana Dar Kuna watu wanakodishwa kulia misibani.
Ukiangalia mikutano ya chadema, watu wamevaa jezi za Simba, Yanga, hawana uhusiano na chadema
Jikite Kwenye madachama gani tz kisichokodisha.....ccm ndiyo vinara hadi wasikilizaji wanakodishiwa usafiri na kulipwa ili wakasikilize. Hao wa sumbawanga walikodishwa kwa ajili ya mbwembwe tu za msafara wa mwenyekiti wao.
Hata hivyo Ikuo lazima awalipe. ahadi ni mkataba na mkataba lazima utekelezwe
ukishindwa kuelewa comment unapita tuJikite Kwenye mada
Mkuu,Mwenyekiti wa chama huko Sumbawanga amekanusha madai ya hao madereva wa Bajaj?
Tunaomba idadi yao na kiasi wanachodai , tumalizane nao sasa hivi .Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Hakuna Bodaboda wala Bajaj aliyekuwa anadai hela maana bodaboda wa kukodiwa hawezi kwenda umbali wa km 22 na kurudi Kwa mafuta yake. Tafuteni uongo mwingine na hao waendesha Bajaj waliodanganywa na Aeshi kutunga uongo.Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555
Endelea kutupa upande wa pili wa ShilingiHakuna Bodaboda wala Bajaj aliyekuwa anadai hela maana bodaboda wa kukodiwa hawezi kwenda umbali wa km 22 na kurudi Kwa mafuta yake. Tafuteni uongo mwingine na hao waendesha Bajaj waliodanganywa na Aeshi kutunga uongo.
Wewe uliwahi kuona bodaboda/Bajaj anaweka mafuta Kwa hela yake kwenda kumpokea mwanasiasa Kwa kukodiwa akitegemea kulipwa baada ya kurudi?Mtu hadi afumbe macho ndio akumbuke cha kuongea.
No eye locking kuelekea kamera.
Watunzi wa Hadithi mmefeli.
Kuna sehemu nimesema hivyo?ulitaka akubali kweli wanadaiwa?
namba za simu za hao mamluki ?Kwanini usitafute namba za simu umalizane nao moja kwa moja
Hili tukio ni la Ijumaa na siyo la Jana wala juzi. Kati ya hao watunzi Hakuna hata mmoja aliyepewa hata 500 baada ya Sanaa hizi. Mbona hawajaenda Polisi?Pamoja na video Bado unasema ya kutunga? [emoji2957][emoji2957]
Mapandikizi ya CCM haya. Yasichoshe masikio yenu bure.Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba.
Akizungumza mmoja wa madereva aliyejitambulisha kwa jina la Kelvin Nobert anaeleza kuwa walikodiwa na CHADEMA ili wampokee Mbowe kutoka eneo la Katumba hadi Nduwa kwa malipo shilingi 10,000 lakini pamoja na ukweli kwamba walizidisha muda wa kufanya kazi kutoka saa 4 hadi 10 bado CHADEMA haijawalipa hata shilingi moja
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI
View attachment 2531555