Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

Hapo ofisi iko wapi?
 
Pamoja na video Bado unasema ya kutunga? [emoji2957][emoji2957]
Video kitu gani mzee? Mbona mpumbavu hivi? Enzi za propaganda za Makonda kuliwahi kuwa na video eti za Lowasa kumtelekeza mtoto. Tumia akili. Hicho ni kikundi cha wahuni. Si waende mahakamani?
 
Hivi kwanini Nchi hii watu wamekosa Imani kiasi hicho? Yaani pamoja na video watu HAWAAMINI! Tumefikaje hapo? Aliyespost anajisikiaje ikiwa Umma unamwambia ni uongo pamoja na kuwa na evidence? Ina maana aliyespost haaminiki kiasi hicho?
 
Na mimi nawachukia wajinga kama nyie. Ambao mkiambiwa jambo mnakubali bila kufanya uchunguzi.
Ww ndo mjinga kwani haujaona nilichokiandika,au ww ulitaka nijaze ukurasa humu,inakuingia akilini kwamba madereva wa bajaji wanakufa njaa wao na family yao kisa hiyo ten waliambiwa kupewa na hawakupewa tena kwa siku moja tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…