Sumbawanga: Mtoto auawa kwa kuliwa na nguruwe

Sumbawanga: Mtoto auawa kwa kuliwa na nguruwe

Maumivu yake

Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama

Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona

Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada


Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa

Nisaidieni nisaidieni

Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.

Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.

Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu

Na wakati akipiga kelele za kuomba msaada kilio chake hakikuskika kuanzia kwa wazazi mpka majirani,, so sad
RIP young[emoji174]
 
Maumivu yake

Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama

Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona

Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada


Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa

Nisaidieni nisaidieni

Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.

Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.

Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
Una kisirani sana na nguruwe kwa alikufanya nini??
 
Uchafu tu.
Sibishi ila ndo hivyo tunashindwa tufanyeje
download (5).jpg
 
Ukute waliona ni mzigo

Aiseee ila icho kifo sio kabisa yani, ni maumivu mazito mno ata ukianza kuvuta taswila ya tukio inaonesh ni jinsi gan huyo mtoto kateseka mpak kufa,,, anyway pole kwa wafiwa
 
Wagalatia mnalamba hio killer na ndizi nyie hatari aiseee
Mimi Nguruwe sigusi ila madem wala nguruwe nakula wakishaswaki
 
Mkiambiwa hao qanyama ni haramu, hamtaki.
Umenikumbusha mwaka 1994 wakati wa mauaji ya kimbari kule kwa jirani na mwaka 1996 wakati wa janga la kuzama meli yetu kule ziwa nyanza, kuna wadau walisusa kuwatafuna sato na sangara kwa kuwa walikuwa wanawala binadamu waliopoteza uhai.
 
Maumivu yake

Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama

Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona

Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada


Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa

Nisaidieni nisaidieni

Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.

Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.

Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
Na inawezekana hata kuongea alikua hawezi kuongea dah...nimeumia sana kama mama
 
Back
Top Bottom