Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
No wonder!!Ni sumbawanga !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No wonder!!Ni sumbawanga !!
Basi hapoo wee ndo roho kwatuu.Mkiambiwa hao qanyama ni haramu, hamtaki.
Wewe je?Basi hapoo wee ndo roho kwatuu.
Maumivu yake
Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama
Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona
Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada
Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa
Nisaidieni nisaidieni
Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.
Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.
Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
Ukute waliona ni mzigoNa wakati akipiga kelele za kuomba msaada kilio chake hakikuskika kuanzia kwa wazazi mpka majirani,, so sad
RIP young[emoji174]
Hakika mama sema ndo watamu haruwa kwao tumetia nangaMkiambiwa hao qanyama ni haramu, hamtaki.
Una kisirani sana na nguruwe kwa alikufanya nini??Maumivu yake
Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama
Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona
Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada
Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa
Nisaidieni nisaidieni
Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.
Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.
Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
Uchafu tu.Hakika mama sema ndo watamu haruwa kwao tumetia nanga
Sibishi ila ndo hivyo tunashindwa tufanyejeUchafu tu.
Ukute waliona ni mzigo
Uchafu tu.
Umenikumbusha mwaka 1994 wakati wa mauaji ya kimbari kule kwa jirani na mwaka 1996 wakati wa janga la kuzama meli yetu kule ziwa nyanza, kuna wadau walisusa kuwatafuna sato na sangara kwa kuwa walikuwa wanawala binadamu waliopoteza uhai.Mkiambiwa hao qanyama ni haramu, hamtaki.
Na inawezekana hata kuongea alikua hawezi kuongea dah...nimeumia sana kama mamaMaumivu yake
Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama
Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona
Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada
Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa
Nisaidieni nisaidieni
Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.
Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.
Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
Mie hapanaaaWewe je?
Nguruwe anakula hadi piglets wake. Nguruwe anakula kila kitu, hata ukimrushia jiwe ataliweka mdomoni na kujaribu kulitafuna, litamshinda ndipo atalitema.Nguruwe wameanza lini kula watu? Au ni mgonjwa?
Walimfukua yule naniliu enz HizoNguruwe wameanza lini kula watu? Au ni mgonjwa?
Na inawezekana hata kuongea alikua hawezi kuongea dah...nimeumia sana kama mama