Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maumivu yake
Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama
Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona
Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada
Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa
Nisaidieni nisaidieni
Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.
Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.
Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
NakaziaDah pole kwa familia ila huyo nguruwe wanamchinja lini tuunge foleni la nyama
Kumbe Bwana mkubwa alikataza hii kitu?Maumivu yake
Kilio alichotoa alipokuwa akinyofolewa nyama
Inauma sana kuliwa na mnyama ukiwa waona
Inauma sana ukijua unakufa na huna msaada
Inauma mtoto kulia Mama nakufa, mama nakufa
Nisaidieni nisaidieni
Hakuna msaada hadi kifo kinamkuta anakufa bila msaada wa mama au baba au mtu yeyote yule.
Hayo madude ndo maana Yesu aliagiza yasiliwe.
Hapo limekula mtu afu litaenda liwa na watu
BabaWewe ni mama?Jf daa!