saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Shida ni ushamba na ulimbukeni, supermarket ni duka km maduka mengine. WaTZ wanachukulia maduka ya wenye nazo wakati kwa wenzetu hata pale Estwani hata mahindi ya kuchoma huuzwa supermarketSuper Market za Tanzania ni ghali sana kuliko za Marekani. Mzungu huyu anasema ukweli.
View attachment 2857270