mchaaaaa offside nyingi sana..
tushatupiwa la tatu aiseee..
Ndaga nkamu. Keta nine ne msimbazi? I ndumbula jangu jisalile fijo 'nu 'unkino ghwa abhanyambala abha.
goooooooooooooooooooooo mbeya city wanaongeza bao la 3
kuna mtu katabiri kuwa game itaisha 2-2. huyo jamaa lazima atakuwa ni ukoo wa shehe yahaya
Azam Kiboko yenu .
Mpaka sasa hao jamaa (MCC) wanapumulia mipira.
Doh! watoto wamekimbia na MIC