mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,544
kipa wa MCC anapata kadi ya njano kwa kudaka mpira nje ya kumi na nane,Azam wana pata bao la kwanza hapa
Nani mfungaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipa wa MCC anapata kadi ya njano kwa kudaka mpira nje ya kumi na nane,Azam wana pata bao la kwanza hapa
Chakusikitisha ni kwamba Azam wako uwanja wa nyumbani lakini mashabiki wa Mbeya City ni wengi kuliko wa Azam FC
Nani mfungaji?
Azam fanya mambo!!
Mbeya city bado hawajatulia,wanashambuliwa sana
Kule TAIFA vipi, Yanga bado hajapakuliwa?
ni mwagane yeya anawafurahisha mashabiki wa Mbeya city,uwanja unazizima ni raha sana,hao ndio Mbeya city wana wa kukaja
Wamekuwa Simba?Kule TAIFA vipi, Yanga bado hajapakuliwa?
Kule TAIFA vipi, Yanga bado hajapakuliwa?