Superman son is bisexual

Superman son is bisexual

Okay Sawa kuhusu hiyo ya #1 kupata raha.
Jamaa alisema wanawake Ni wengi kwanini uingiliwe/uingilie mwanaume ?
Sasa Kama ishu Ni raha kama mtu anaona raha kufanya masterbation kwanini umuingilie/umpangie raha?
Kama mwanaume anaona raha kumuingilia mwanaume mwenzake kwanini umpangie kma ishu Ni kupata raha Tu?

Kama kuzuia ushoga Ni mpango wa kukataza raha(sexual pleasure) yoyote Ile isiyokuwa heterosexual sex(kujamiiana mwanamke Na mwanaume) basi wakataze masterbation,kulana Tigo,oral sex,etc.
Masturbators hawakosei wanafanya kwa utashi wao na starehe zao hawamuumizi yeyote ila mwanaume kuingiliwa mpaka kukojolewa manii huo ni udhalilishaji mkubwa,mtu anapachikwa kipande cha nyama ngumu kinatoka na vipande vya uporo aliokula jana huku anavutwa vutwa mbavu sometimes achomoke na mavi hivi kweli unajisikiaje unavyojaza server hapa kuendelea kukazia huu ujinga?

Sabaya ningemuona wa maana kama angedili na watu dizain hii.
 
Masturbators hawakosei wanafanya kwa utashi wao na starehe zao hawamuumizi yeyote ila mwanaume kuingiliwa mpaka kukojolewa manii huo ni udhalilishaji mkubwa,mtu anapachikwa kipande cha nyama ngumu kinatoka na vipande vya uporo aliokula jana huku anavutwa vutwa mbavu sometimes achomoke na mavi hivi kweli unajisikiaje unavyojaza server hapa kuendelea kukazia huu ujinga?

Sabaya ningemuona wa maana kama angedili na watu dizain hii.
Hao wanaume unaposema wanadhalilishwa wao wanafurahia.
Ni Sawa Na watu wanavyofurahia Mpira halafu ianze campaign ya kuzuia Mpira kisa unadhalilisha watu wazima wanachezea kampira Na kupigana Marino...wewe utakubali?
Sijazi server sema nataka nipime compass ya morality inasetiwa Na Nani Kwa vigezo vipi
 
Hao wanaume unaposema wanadhalilishwa wao wanafurahia.
Ni Sawa Na watu wanavyofurahia Mpira halafu ianze campaign ya kuzuia Mpira kisa unadhalilisha watu wazima wanachezea kampira Na kupigana Marino...wewe utakubali?
Sijazi server sema nataka nipime compass ya morality inasetiwa Na Nani Kwa vigezo vipi

Sorry nikuulize swali jibu lako ndo litakalofunga mjadala kati ya mimi na wewe!

Nyumbani kwa wazee wako ktk wadogo zako uliowaacha pale (just an exmp) siku unafika kuwaona wazazi wako ile kufika unamkuta baba yako anamfukuza pale nyumbani mmoja wa wadogo zako wa kiume ambaye wewe ulimuona yupo bright sana kwamba hata kesho na kesho kutwa mngesaidiana mawili matatu kwa maendeleo ya familia yenu huku akimpiga madai yake (siombei),madai yake ni amekuwa shoga huku majirani,rafiki zako wapita njia wakishuhudia je!

Utathubutu kusema kwa damu yako kama yeye kwamba hizo ni starehe zake aachwe aendelee kuzifurahia?yaani wewe (kama ni mwanaume) unachowafanyaga wanawake ndicho anachofanywa mdogo wako wa damu utasema madhali anapata raha basi fresh tu acha afurahie uume za wanaume wenzake?hizi fake IDs zisitudanganye mkuu hili jambo siyo la kufanyia mjadala ni kusema tu halifai na ieleweke hivyo basi!

Vaa hivyo viatu sema utasimama upande gani hapo?
 
1. Hizo ndizo changamoto zinazokuja na hivyo ni viashiria vya tunapokwenda. I mean kama mwanaume anaweza kumla mwanamke huko hawezi shindwa mla mwanaume mrembo mwenye muonekano soft wa kike. So hii ni changamoto ya kiakili sawa kabisa na mtu mzima ambaye akiona kitoto cha kike cha miaka 7 ,5, 4 au 3 kikamsisimua kihisia na kutaka kukiingilia. Haya ni matatizo ya akili.

2. Sehemu ya mwili kuwa na nerves za kukufanya kusisimka haimaanishi kuwa ni kaajiri ya kufanyia ngono zako. Kumbuka huo ni mfumo wa hisia na mguso hizo nerves ni sehemu ya mfumo wa umeme uliosambaa sehemu nyingi mwilini.

Nitakupa mfano, sikio lako kwa ndani lina hizo nerves, kuna muda likiwasha ukichukua pamba stick au unyoya wa kuku na kutumia kujipekecha au kujikuna unapata utamu ambao una elements za sexual pleasure. Kwenye ngozi yako tu hapo mfano ukawa na muwasho mgongoni kukiwa unakunwa au kujikuna unapata hali fulani ya raha sana. Hata kichwani mwako kuna kifaa fulani kinafanana na egg bitter , mtu akikukuna nacho kichwani unapata utamu sana, hivi hutumika kuwatuliza watoto wanapolia hadi wanalala.

Hata jicho lako usoni likiwasha ukiwa unalifikicha unapata utamu. Hii yote ni zile nerves zinapeleka taarifa ya msisimko kwenye ubongo kwa sababu maalumu nje ya kingono. Vivo hivyo, kwenye maumbile ya nyuma na mbele hizo nerves zipo ili kufanya muscles ziweze kurespond. Mfano unapokojoa mkojo uliokubana muda mrefu hizo nerves huwa zinarespond pia.... Au unapokuwa unakata gogo huwa zinarespond ili kuamrisha misuli ifanye kazi husika kulinga na functions za ubongo na mwili.

So futa huo ujinga kichwani kuhusu sijui lile eneo kuwa na utamu kwaajiri ya kufanyia starehe. Futa futa futa.

3. Akili ya kawaida ndio kwa kiingereza tunaita "common sense". Ni common sense kwa wanadamu kuhusiana mwanaume na mwanamke na si kinyume sababu ya miaka na miaka ya kuprove hilo. Si kwamba sisi ni wa kwanza kuanza kutaka kujaribu huo ufala. Bible na Qur'an ni vitabu vinavyoitwa vitakatifu sababu vimebeba maono na experience za miaka elfu. It means wewe mtoto mdogo sana kubishana na hekima iliyohifadhiwa katika vitabu hivi simply tu kwasababu umezaliwa miaka hii ya kizazi cha raia wasio kwenda kwa utaratibu na kujifanyia yale wanataka sababu akili zao zinawashinda nguvu.

Elewa jambo moja, ukitaka uishi unavyotaka itakulazimu udesign mfumo wako wa pekee ambao utakufanya uishi kwa upweke sana. Na ukiishi vile inatakiwa hautakuwa na kazi sababu jamii tayari imeshaweka mifumo rasmi inayoamua wewe kwa matendo yako mazuri utakuwa rewarded nini na wapi na wakati gani, ukihasi mifumo hii then wewe maisha yako yote utaishi ki fugitive kwasababu utakuwa hauna protection wala radhi kwa jamii unayotoka.

Mifano ipo mingi, ukiwa mlevi, ukiwa malaya, ukiwa kahaba, ukiwa msaliti wa ndoa, ukizaa na kuzini kabla ya ndoa, haya yote ndio yameleta hizi complications zinazoanza kuturudisha nyuma kimaendeleo badala ya kusonga mbele.

Rejea vitabu vya MUNGU tafuta ukweli acha kujitoa ufahamu mdogo wangu. Pia pole kwa kutokuelewa dunia ni pahala gani maana upofu wa kiimani ndio mwanzo wa kutetereka na kuanguka.

Nakupenda ndio maana nahangaika kukuandikia haya yote ili usipotee.
1.Changamoto kwako lakini Kwa wanaofanya Ni burudani...Sasa yupi yupo sahihi wewe au wao?Na Kwa vigezo vipi?
2.kwahyo kama mtu anafurahia kujikuna sikio anaona raha wewe una mamlaka ya kumzuia?
Kama mtu amechagua nyuma kupata sexual pleasure wewe umechagua Mbele Ni Nani ana mamlaka ya kumpangia mwenzake?
3.hiyo common sense sio universal Kila binadamu...kitu kinaweza Kuwa common sense Tz halafu ikawa kinyume cheke Iraq..Hyo 'common sense' inabadilika with time...mfano Shinyanga miaka 20 iliyopita ilikuwa Ni 'common sense'ukiona Bibi ana macho mekundu umuue.

*Maisha yanabadilika tuangalie jinsi ya kuishape future sio kudwell in the past..Hao waandishi wa Quran Na Biblia waliishi miaka Zaidi ya 1500 iliyopita Na waliamini Dunia Ni flat,wanawake hawafati Katika jamii Na Slavery is Okay lakini hawakuweka solution yoyote kutackle matatizo halisi ya hii Dunia kama world hunger, poverty, diseases etc.
Matter of fact wameleta religious wars ambazo zimechukua mamilioni Na mamilioni ya watu.

Nakuelewa braza Kuwa you are coming from a kind place kujaribu kunisaidia and I appreciate that.
Lakini (by the way I am not pro or anti Gaysm ) Nahisi Sisi kama watu tunaojitambua we must question everything we've been taught tokea utotoni,,mambo tuliyomezeshwa bila kuuliza mambo kama Morality (what defines goods and bad),ethics, history,Values nk.
Gone is the age of blindly beleiving now it is the age of information, knowing and proving.
Unaweza jaribu kunizuia Mimi Na 'kuniongoa' nikarudi Katika normal way of life by 'beleiving' what the church, mosque,school, politicians preach..
Lakini hautazuia movement ya kizazi hiki Na kijacho kusaka ukweli (truth)... utakuwa umezuia mafuriko Kwa kuziba Kwa kiganja.
 
Halafu Citizen B kufananisha mpira na issue kama ya ushoga huo ni uwongo,familia yenye shoga heshima hushuka sana sana yaani haielezeki wapo wazazi walikufa vihoro kwa kusikia/kuona watoto wao ktk hali hiyo pia nguvu ya familia inakuwa imeshapungua maana huyu hawezi kuwa normal akachangamana na wanafamilia wenzake tena.

Kwa Afrika hii ni hasara kubwa
 
Sorry nikuulize swali jibu lako ndo litakalofunga mjadala kati ya mimi na wewe!

Nyumbani kwa wazee wako ktk wadogo zako uliowaacha pale (just an exmp) siku unafika kuwaona wazazi wako ile kufika unamkuta baba yako anamfukuza pale nyumbani mmoja wa wadogo zako wa kiume ambaye wewe ulimuona yupo bright sana kwamba hata kesho na kesho kutwa mngesaidiana mawili matatu kwa maendeleo ya familia yenu huku akimpiga madai yake (siombei),madai yake ni amekuwa shoga huku majirani,rafiki zako wapita njia wakishuhudia je!

Utathubutu kusema kwa damu yako kama yeye kwamba hizo ni starehe zake aachwe aendelee kuzifurahia?yaani wewe (kama ni mwanaume) unachowafanyaga wanawake ndicho anachofanywa mdogo wako wa damu utasema madhali anapata raha basi fresh tu acha afurahie uume za wanaume wenzake?hizi fake IDs zisitudanganye mkuu hili jambo siyo la kufanyia mjadala ni kusema tu halifai na ieleweke hivyo basi!

Vaa hivyo viatu sema utasimama upande gani hapo?
True ni Kuwa ntakuwa upande wa wazee Na kumfukuza dogo Na kumblock lakini hii sio point niliyoi'raise.

Mimi huyuhuyu ningekuwa naishi jamii ambayo wakiona Bibi ana macho mekundu wanamuua kwakusema Ni mchawi...siku nikikuta wanamuua Bibi yangu siwezi kumtetea maana ntaonekana mshirika wake naweza kuuwawa.
Lakini nilichofanya hapa JF Ni kama baada ya mauaji ya Bibi nikaita kikao cha Kijiji Na kuuliza Kuna uhusiano Gani wa Bibi Kuwa na macho mekundu Na uchawi?
Lengo sio kutetea mabibi wachawi..la! Hasha.lengo Ni kutaka kuelewa 'kwanini' tunawaita wenye machp mekundu wachawi Na kuwaua...nikipata sababu Za mashiko nitaendelea kuwawinda Na kuwaua ...lakini Kijiji kikikosa sababu Za maana Eti kwasababu walikuta babu Na babu zao wanafanya hivyo ,,,basi ntaondoka Na moja kichwani Na kuwaona Hawa wanakijiji kama mawaki wasiojielewa.
 
Halafu Citizen B kufananisha mpira na issue kama ya ushoga huo ni uwongo,familia yenye shoga heshima hushuka sana sana yaani haielezeki wapo wazazi walikufa vihoro kwa kusikia/kuona watoto wao ktk hali hiyo pia nguvu ya familia inakuwa imeshapungua maana huyu hawezi kuwa normal akachangamana na wanafamilia wenzake tena.

Kwa Afrika hii ni hasara kubwa
Ni vivo hivo kwa jamii zinazotahiri wanawake...binti akigoma kutahiriwa atatengwa Na wenzake Na familia yake itadharaulika.
Na itakuwa hasara Kwa hiyo familia.

Lakini swali linakuja...je! hiyo Ni sababu Tosha ya kuhalalisha ukeketaji wa wanawake?(hasara Kwa familia,kutengwa Na jamii)
 
Masturbators hawakosei wanafanya kwa utashi wao na starehe zao hawamuumizi yeyote ila mwanaume kuingiliwa mpaka kukojolewa manii huo ni udhalilishaji mkubwa,mtu anapachikwa kipande cha nyama ngumu kinatoka na vipande vya uporo aliokula jana huku anavutwa vutwa mbavu sometimes achomoke na mavi hivi kweli unajisikiaje unavyojaza server hapa kuendelea kukazia huu ujinga?

Sabaya ningemuona wa maana kama angedili na watu dizain hii.
hahahaha maneno kuntu
 
kenya wanataka ushoga kuruhusu,kuna baadhi ya watanzania wanachochea ushoga,mwanaume wa kiafrica ni kiumbe chenye nguvu,kisichogeuzwa nyuma na mwanaume mwenzako,hatutaki ushoga kwenye nchi yetuuu
 
Okay hapa kidogo umejaribu kujibu...okay Sawa lakini
1.kumbuka hapohapo Dar Na Zanzibar Ni kitu cha kawaida au cha fahari mwanaume Kula Tigo ya mwanamke...Kuna tofauti Gani Kati ya Tigo ya mwanaume Na mwanamke?
2.unasema sio shimo la starehe kwani kibaiolojia Kuna mishipa mingi ya starehe eneo Hilo?
3.Unaposema Kwa akili ya kawaida haimake sense hiyo akili ya kawaida ndo ipi?inapimwaje? Mbona Kwa akili ya kawaida haimake sense Kuna kifaa mtu unaweza panda kikapaa hewani kikavuka Bahari Na kukufikisha ulaya ndani ya siku moja
Cha kawaida na Cha fahari labda kwako mkuu.... ..

Laana kum!
 
Ukweli ni kwamba kwenye issue ya ushoga, wazungu au mzungu hawajawahi kuwa maadui katika jamii zinazotuzunguka sie ngozi nyeusi na hasa Tanzania

Maadui wakubwa wa kueneza ushoga na tabia zake katika nchi za Afrika wala sio wazungu tunaongepeana tu ilhali kila mtu anajua kuwa ni wapemba na warabu

ni maeneo mangapi ambayo kuna familia zinaishi karibu na wazungu ili waharibike kutokana na kuiga tabia zao? Je na jamii ngapi zinaishi Kwa kuchangamana na waarabu na wapemba?

Issue ya ushoga na wanawake kuingiliwa kinyume na maumbile imetokea Kwa warabu na wapemba baada ya kuanza kujihusisha na mahusiano na wabongo, hao ndio wakafanya na wabongo kuanza Kula wanaume na wanawake njia tofauti na wala sio wazungu

Tuacheni unafki maadui zetu tunaishi nao katika jamii zetu na wala ata siku moja adui yetu kwenye issue ya ushoga hajawahi kuwa mzungu, mzungu anawasaidia tu ili muwe wazi na msifanye Kwa vificho na kujificha kwenye vichaka vya Dini

Nenda nchi yoyote inayojifanya kushika sana dini ya kiislamu alafu angalia vile kwao Jambo la kulawiti linavopewa uzito mdogo, mfano mzuri ni hapo Zanzibar tu, wanajikuta wameshika dini kweli kweli na hawataki kuskia issue za ushoga ila kila siku case za watoto kulawitiwa haziishi na zinamalizwa Kwa vikao vya familia tu ni kheri ata bara mtu anakula Mvua za kutosha

Zanzibar ukilewa tu ukazima network na huna kampani ukija kuzinduka cha Kwanza ni kuangalia kama marinda yako salama, ila ukiwatazama vile wanajifanya ni washika Dini utasema hawa ndio watu sasa kumbe wanafki watupu

Wazungu hawajaamua kuwa wanafki kama waarabu, wao wameamua kulasimisha ujinga unaofanywa asilimia kubwa na jamii zingine Kwa usiri, Adui yetu kwenye issue ya ushoga sitaki kuamini kuwa ni wazungu, kama tunaanza kupambana basi tuanze na warabu na wapemba ambao tunaishi nao kila siku
 
Back
Top Bottom