Supermarket maarufu "Game" iliyopo Mlimani City inatarajia kufunga biashara zake

Supermarket maarufu "Game" iliyopo Mlimani City inatarajia kufunga biashara zake

DStv kwa kuondoa itv kwenye package imetupoteza wengi wajitafakari mchezo huu hauitaji hasira
 
Game itafungwa kwa Afrika ya Mashariki nzima. Si kila wakati yakitokea mambo kama haya tuyahusishe na serikali ya Tanzania.
 
Taarifa kuu ilikiwa ni dstv na sio game tena!!!
Bongo watu wanageuza huduma kuwa vitu vya kuvimbia (kuonekana bora)
Kama ifuatavyo:-

Upande wa simu ili uonekane bora miliki =iphone

Decoder = utasikia hee nyumba nzuri hujafunha dstv

Tv flat= wanakuvimbishia na samsung, yani akimiliki samsumg 50" lile neno niko busy sana siku hizi linaanza kukolea kinywani

Radio= utasikia huna sound bar

Kwa hiyo dstv sijui nao walijua huu mvimbiano wanakomaa na vifurushi vya bei utadhan watanzania wanauza visima vya mafuta [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Supermarket maarufu iitwayo Game imefuata nyayo za makampuni mengine kwenye MALL za Dar hasa Mlimani city kufunga biashara zao na kuondoka nchini.

Kuna tetesi DSTV ambayo zipo Channel maarufu za supersports nayo ipo njiani kufunga biashara zake nchini kutokana na kushuka kwa mauzo ya vingamuzi vyake.

Super sport ambayo huonyesha ligi ya mpira wa miguu Ghali duniani yaani English Premier League yenye timu maarufu kama Manchester United,Arsenal,Liverpool,Chelsea,Man City n.k imeonyesha kushuka ununuzi wa vingamuzi kutokana na Watanzania wengi sana kuacha kuangalia ligi za ulaya hasa za Uingereza na kushabikia sana Simba na Yanga kupitia Azam TV.

Ripoti ya siri iliyotolewa na multichoice Tanzania imeonesha hasara kubwa kwani ule ushabiki wa timu za England,Champions League umepungua sana nchini ukilinganisha na nchi zingine jirani kama Kenya,Uganda n.k.

Kutokana na hali hiyo wameamua muda wowote kufunga biashara yao na kutuacha tukiangalia Simba,Yanga,Namungo,Biashara United,n.k.

Kama ni taarifa hizi zina ukweli basi watanzania tutakuwa tumerudi nyuma kimpira miaka 20.Mabilionea 3 tu ndio wanaosababisha hali hii.Azam TV haina ubavu wa kununua haki za mechi zote za ligi kuu ya Uingereza,Dola za kimarekani sio za Zimbabwe milioni 600 kwa mwaka.

Tunaomba DSTV WATOE TAMKO.
Hayo yote ni kwa sababu ya tozo za Sa100.
 
Supermarket maarufu iitwayo Game imefuata nyayo za makampuni mengine kwenye MALL za Dar hasa Mlimani city kufunga biashara zao na kuondoka nchini.

Kuna tetesi DSTV ambayo zipo Channel maarufu za supersports nayo ipo njiani kufunga biashara zake nchini kutokana na kushuka kwa mauzo ya vingamuzi vyake.

Super sport ambayo huonyesha ligi ya mpira wa miguu Ghali duniani yaani English Premier League yenye timu maarufu kama Manchester United,Arsenal,Liverpool,Chelsea,Man City n.k imeonyesha kushuka ununuzi wa vingamuzi kutokana na Watanzania wengi sana kuacha kuangalia ligi za ulaya hasa za Uingereza na kushabikia sana Simba na Yanga kupitia Azam TV.

Ripoti ya siri iliyotolewa na multichoice Tanzania imeonesha hasara kubwa kwani ule ushabiki wa timu za England,Champions League umepungua sana nchini ukilinganisha na nchi zingine jirani kama Kenya,Uganda n.k.

Kutokana na hali hiyo wameamua muda wowote kufunga biashara yao na kutuacha tukiangalia Simba,Yanga,Namungo,Biashara United,n.k.

Kama ni taarifa hizi zina ukweli basi watanzania tutakuwa tumerudi nyuma kimpira miaka 20.Mabilionea 3 tu ndio wanaosababisha hali hii.Azam TV haina ubavu wa kununua haki za mechi zote za ligi kuu ya Uingereza,Dola za kimarekani sio za Zimbabwe milioni 600 kwa mwaka.

Tunaomba DSTV WATOE TAMKO.
Wafunge tu maana mpango wao wa uwekezaji sio wa haki. Muwekezaji anakuja na mpango wa kupata faida yeye tu bila nchi kunufaika. Unakuta supermarket inakua soko la bidha toka kwao ie kenya kuanzia kitunguu nyama unga mchele na kila kitu. Hawanunui kitu toka nchini kuuza kwenye supermarket zao. Kodi zenyewe wanaepa. Kazi yao kuhonga tu tra na vigogo. Waondoke. I hope wamangi ndugu zetu watachangamkia tuuze bidhaa zetu kwenye supermarket zetu.
 
Hy supermarket c ipo karibu na mlangoni unapoingia karibu na ngazi ya umeme.? Kama ndo hy bc ngoja nicheke tuu japokuwa inasikitisha [emoji23][emoji23]
Ndio mkuu, toa neno kuna shida gani ilikuwa? Maua mazuri walau bei ya kibongo, ila music sysytem ndo bei zao zilikuwa hovyo hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Supermarket maarufu iitwayo Game imefuata nyayo za makampuni mengine kwenye MALL za Dar hasa Mlimani city kufunga biashara zao na kuondoka nchini.

Kuna tetesi DSTV ambayo zipo Channel maarufu za supersports nayo ipo njiani kufunga biashara zake nchini kutokana na kushuka kwa mauzo ya vingamuzi vyake.

Super sport ambayo huonyesha ligi ya mpira wa miguu Ghali duniani yaani English Premier League yenye timu maarufu kama Manchester United,Arsenal,Liverpool,Chelsea,Man City n.k imeonyesha kushuka ununuzi wa vingamuzi kutokana na Watanzania wengi sana kuacha kuangalia ligi za ulaya hasa za Uingereza na kushabikia sana Simba na Yanga kupitia Azam TV.

Ripoti ya siri iliyotolewa na multichoice Tanzania imeonesha hasara kubwa kwani ule ushabiki wa timu za England,Champions League umepungua sana nchini ukilinganisha na nchi zingine jirani kama Kenya,Uganda n.k.

Kutokana na hali hiyo wameamua muda wowote kufunga biashara yao na kutuacha tukiangalia Simba,Yanga,Namungo,Biashara United,n.k.

Kama ni taarifa hizi zina ukweli basi watanzania tutakuwa tumerudi nyuma kimpira miaka 20.Mabilionea 3 tu ndio wanaosababisha hali hii.Azam TV haina ubavu wa kununua haki za mechi zote za ligi kuu ya Uingereza,Dola za kimarekani sio za Zimbabwe milioni 600 kwa mwaka.

Tunaomba DSTV WATOE TAMKO.
Laiti DSTV wangeshusha bei ya Vifurushi vya mwezi (Kama inawezekana); hata kama bei ya Dish/Decoder ingekuwa juu kiasi ingepelekea kupata wateja wengisana.Ni rahisi mtu kujipinda kugharamia Dish/Decoder as long as anajua malipo ya mwezi ni affordable na anapata Channel za maana kama EPL e.t.c. kwa bei rafiki.
 
Kwa Dstv mie naona wale wakubeti nao wamewaharibia biashara zao.mfano mdogo Azam anaonesha local channel zote na bei zao kibongobongo tunaendana nazo,halafu imefika jumamosi ama jumapili nakuta man na live wanacheza naenda kwenye mabanda yale kubetia wanakoonesha mpira nakaa zangu kama nina mkeka vile dk 90 imeisha narudi zangu home nikifika nawasha azam nakuta kuna sinema zetu,nikigeuka uku nakuta Yanga anacheza na kagera ama Simba yupo na namungo iyo Dstv nitakuwa na muda nayo gani
 
Badilisha kichwa Cha habari,wanatarajia kufunga biashara,Bado hawajafunga,hii story ipo kwenye gazeti la Eastafrican,
Usikurupuke,
Bila kuweka hapa screen shot ya hilo gazeti na wewe umekurupuka tuu jombaa...
 
Wiki hii nilikuwa hapo Game imejaa bidhaa kama kawaida, nilidodosa kuhusu habari za wao kufunga nikajulishwa hawafungi ila mwekezaji anabadilika aliepo sasa atauza umiliki wa africa mashariki kwa mwekezaji mwingine, sio Tanzania tu bali nchi zote za africa mashariki pamoja na Kenya &Uganda. Hivyo ni mwekezaji ameamua kujitoa ukanda huu.
Nimependa lugha yako mkuu "eti nilidodosa" hapana hukudodosa sema wewe ni mdau wa Game tunakufaham usijifiche 😁!
 
Waaache upumbavu, wapunguze bei zao ili Watanzania wengi waweze kumudu gharama. Kusema eti Watanzania wamepunguza kuangalia mechi za Europe ni uongo. Bei za DSTV zinafanya watu washindwe kumiliki kingamuzi hicho majumbani tofauti na AZAM.Hali hii inafanya watu wengi waangalie maeneo ya kumbi za kuonesha mpira au za starehe. Hivyo kufanya wateja kuwa wachache. Washushe vifurushi ili watanue wigo wa wateja.
Kuna ving'amuzi vingi nchini na bei tofauti kulingana na uwezo wa mtu. Hebu tuwe wakweli jamani hao DStV wamelenga watu wenye uchumi wa kumudu huduma zao, kama ambavyo kwenye simu kuna Samsung na IPhone, mbona hamsemi hizo simu nazo bei ipungue? Mwenye uwezo wa IPhone au Samsung ananunua kama ambavyo asiye na uwezo na hizo brand ananunua Tecno...
 
Hapo kwenye Dstv sidhan kama ni kweli, azam TV wenyewe tuu TPL inaonyeshwa hakuna hata quality vipi hy EPL
Hili halina ukweli sababu ya kubwa EPL ili wakupe haki ya kutangaza kwanza uwe na uwezo wa kufikia bara la Africa kwamba product iwafikie wateja kwa kiwango cha EPL sababu wanalinda quality yao, jingine changamoto kwa Azam wakitaka kuchukuwa gharama za vifurushi vitapanda sana haitakuwa tunayolipa kwa sasa kwa maana EPL gharama za kuchukuwa haki za matangazo sio bei ya kitoto na lingine channel zote ni lazima ziwe HD. Kama mnakumbuka ugomvi wa Liverpool na New balance waliokuwa wanatengeneza jezi za Liverpool katika kuongeza mkataba Liverpool wakagoma japo New balance walifikia kiwango cha Nike million 700 na waliandikishiana kuwa akitokea mtu akatoa pesa ndefu basi waki match new balance wataongezewa lakini Liverpool walienda mahakamani na hoja yao ilikuwa issue sio pesa tu ila Nike wana network kubwa kuwafikia wateja kuliko New balance mwisho wa siku Nike akachukuwa. EPL ni the same je Azam anaweza kufikia nchi zote za Africa na akatoa huduma jambo ambalo DSTV kajiwekeza sana miaka mingi.
 
Kuna ving'amuzi vingi nchini na bei tofauti kulingana na uwezo wa mtu. Hebu tuwe wakweli jamani hao DStV wamelenga watu wenye uchumi wa kumudu huduma zao, kama ambavyo kwenye simu kuna Samsung na IPhone, mbona hamsemi hizo simu nazo bei ipungue? Mwenye uwezo wa IPhone au Samsung ananunua kama ambavyo asiye na uwezo na hizo brand ananunua Tecno...
Basi kamma wanafunga wasisingizie Watanzania kuwa hawaangalii tena ligi za Ulaya. Na Kama kweli hizo ndo akili Basi kwenye biashara ni vilaza. Asilimia 90% ya Watanzania wanaopenda mpira na kuufatilia( pote ligi ya ndani na nje) ni watu wa hali ya kawaida. Nenda kwa Mkapa leo ukaone. Ukitoka hapo pita kwenye vibanda umiza!
 
Supermarket maarufu iitwayo Game imefuata nyayo za makampuni mengine kwenye MALL za Dar hasa Mlimani city kufunga biashara zao na kuondoka nchini.

Kuna tetesi DSTV ambayo zipo Channel maarufu za supersports nayo ipo njiani kufunga biashara zake nchini kutokana na kushuka kwa mauzo ya vingamuzi vyake.

Super sport ambayo huonyesha ligi ya mpira wa miguu Ghali duniani yaani English Premier League yenye timu maarufu kama Manchester United,Arsenal,Liverpool,Chelsea,Man City n.k imeonyesha kushuka ununuzi wa vingamuzi kutokana na Watanzania wengi sana kuacha kuangalia ligi za ulaya hasa za Uingereza na kushabikia sana Simba na Yanga kupitia Azam TV.

Ripoti ya siri iliyotolewa na multichoice Tanzania imeonesha hasara kubwa kwani ule ushabiki wa timu za England,Champions League umepungua sana nchini ukilinganisha na nchi zingine jirani kama Kenya,Uganda n.k.

Kutokana na hali hiyo wameamua muda wowote kufunga biashara yao na kutuacha tukiangalia Simba,Yanga,Namungo,Biashara United,n.k.

Kama ni taarifa hizi zina ukweli basi watanzania tutakuwa tumerudi nyuma kimpira miaka 20.Mabilionea 3 tu ndio wanaosababisha hali hii.Azam TV haina ubavu wa kununua haki za mechi zote za ligi kuu ya Uingereza,Dola za kimarekani sio za Zimbabwe milioni 600 kwa mwaka.

Tunaomba DSTV WATOE TAMKO.
Hao DSTV wanajiua wenyewe , mauzo yao ya vig'amuzi na pakej vipo juu sana ukilinganisha na kipato cha watanzania walio wengi.
Washuhe bei ya pakej zao tutanunua kwa wingi
 
Waaache upumbavu, wapunguze bei zao ili Watanzania wengi waweze kumudu gharama. Kusema eti Watanzania wamepunguza kuangalia mechi za Europe ni uongo. Bei za DSTV zinafanya watu washindwe kumiliki kingamuzi hicho majumbani tofauti na AZAM.Hali hii inafanya watu wengi waangalie maeneo ya kumbi za kuonesha mpira au za starehe. Hivyo kufanya wateja kuwa wachache. Washushe vifurushi ili watanue wigo wa wateja.
Baada ya kutukana wenzako- sasa tuambie hiyo bei inawezaje kupunguzwa
 
Hao DSTV wanajiua wenyewe , mauzo yao ya vig'amuzi na pakej vipo juu sana ukilinganisha na kipato cha watanzania walio wengi.
Washuhe bei ya pakej zao tutanunua kwa wingi
Siyo ajabu mtu kujiua inatokea- sasa tueleze gharama za hati miliki na uendeshaji wa DSTV na jinsi vinavyoweza kuona na hali ya soko la Tanzania
 
Haya maduka ya Game yanategemea sana kuendesha biashara zao kwa kukupesha wananyakazi na kuwakata hela yao direct kwenye mshahara kila mwezi hata mimi niliwahi kukopoa music system .Lakini kwa mazingira ya kitanzania ni vigumu sana kuendesha hiyo bishara.Utakuta mtu anafanya kazi lakini hana addresss kamili au yenye uhakika.,Hivyo ukimkopesha kumpata ni majaliwa
 
Back
Top Bottom