Supplier wangu Muhindi aliekuwa na deni la Bilioni 80 kalimaliza, Nimekaa na kutafakari hawa watu wapo serious na biashara, bado tuna safari ndefu

Ukiambiwa na wewe jiambie mimi siamini kama kuna benki wanauwezo wa kutoa mkopo wa 80B kwa dhamana gani na ni mrejesho wa miaka mingapi 80B faida yake si chini ya 10B kama si zaidi .Broo au umekusidia 80M na sio 80B c mchezoo hebu tuweke sawa naona kdg umeteleza.
 
Deni la B80! kalifuta ? Age 30yrs ? Kama n real : Inavutia.

Kuondoa ukakasi
Nadhani Ungeshusha details zaidi Hilo deni lina mda gani na anapush biashara gani

Ukishindwa huu Uzi ni chai pro maximum
Huyu mtoa thread hii ni inspirational speaker tu au influensa kama wanavyopenda kujiita. Hadithi ya kutunga
 
Upo wapi wewe 🤔ukute huko kwa shemeji yako unakuna tu pumbu mnapiga story za vijiweni 🥶unakula na kashata za ukwaju
Eqe jobless pro max acha ubishi, namjua dogo 1 ni same age na Mimi.

his business makes 18m per month, siku tume kutana tukawa tuna jadili deals & challenges.

Nili jifunza vingi Sana, as a competitor na rafiki
 
elfu 20 nyingi mno, mtu ana kula mgahawani kwako deni elfu 2.
ana badili njia mpaka style ya kunyoa😂😆
Hiyo mbona ipo sana
Kuna dogo alinichukua brake cable ya buku 2 akasema nabeba mteja nakuletea daa
Akipita mbele ya duka anaongeza mafuta macho mbele
Sasa hata ile pikipiki hana karudi Alif
 
Kuna benki inakopesha bln 80 bila kuwa na collateral security? Huyo pesa na assets kwenye familia zipo tayari. Alikopa tu kuendeleza miradi iliyokuwa tayari imeanzishwa
Sio ivyo,ukipata mktaba wa ujenzi wa kitu Chochote mfano ,kwani huwezi kuwa unakopa unajenga ukilipwa unalipa deni wewe unakata chako,mikopo inatofautiana usikariri kolatero aseti
 
Wenzetu wanaandaliwa toka wakiwa wadogo, niko na jamaa yangu mzungu shuleni kwa mtoto wake wanafundishwa kuhusu saving na mambo mengine mengi ambayo mtu wa 25 years ndio anaanza huyajifunza umri huo

Sasa imagine wewe una 25 ndio umepata kazi na ndio hapo unaanza kujifunza kuhusu uhufadhi wa fedha, hadi uje u uwelewe mfumo huu unavyokwenda na kukusaidia katika kazi zako itachukua muda.
 
Elfu 20 mnazima data
Hata njia mnabadili
Endeleeni kututapeli tu ndio mtajua umasikini ni laana 😄
Kuna mwanangu Mmoja Nina mdai 36,000/= tangu mwaka 2023 July, ana zaidi ya mwaka hapokei simu yangu..

Yaani hata juzi hapa nimempigia hili nimtakie tu heri ya mwaka mpya hajapokea simu yangu, Huwa namshangaa sana.
 
Hili uko sahihi, japo kwetu Pali kuwa ni standard ya kawaida.

Ila nime lazimishwa kuanza hustling nikiwa 14, 18 hapo ndo mjomba aka niijia kwetu.

Tuka enda kupiga na kuji funza kazi, haikuwa rahisi ila naji vunia hiyo safari.
 
Hili uko sahihi, japo kwenu Pali kuwa ni standard ya kawaida.

Ila nime lazimishwa kuanza hustling nikiwa 14, 18 hapo ndo mjomba aka niijia kwetu.

Tuka enda kupiga na kuji funza kazi, haikuwa rahisi ila naji vunia hiyo safari.
Kila siku kila safari katika maisha ni life lessons, huwa tunajifunza kwa yale tulioyapitia, na katika kujifunza ni lazima mtu afeli ili ajue alifeli wapi na hapo ndio ufaulu ulipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…