Supplier wangu Muhindi aliekuwa na deni la Bilioni 80 kalimaliza, Nimekaa na kutafakari hawa watu wapo serious na biashara, bado tuna safari ndefu

So huyo banker anatoa siri za wateja?.! Wajiande kuingizwa mahakamani na kudaiwa fidia ya kutoa siri za biashara za mteja wao
Haha uzuri wake huyo mteja hata hajatajwa jina wala bank husika. Au labda kama ni wewe na hata huko maakamani sijui utashinda kwa ground gani wakati msingi wa shauri lenyewe huna😆😆
 
Soma kitabu cha safari yangu kutoka Bukene cha Andy Chande.Kilishawahi kuwekwa humu hao mafala wana family support system sio ya dunia hii. Sisi Miswahili tunapwaya kwenye hao.Na wao kuna mahayawani chungu nzima lakini wanabebana .
Kama unacho nakiomba Kaka ,mwaka huu mpaka niwe tajiri
 
Alikukopa wewe hizo Bilioni 80 au? 😆😆

Sema ulitaka utuambie mikopo Mingi ya wabongo ni vihela vidogo vidogo.

Ndio ukweli Kwa sababu watu wengi ni wabangaizaji.
 
Bora hamkwenda nje ya nchi maana watu wa hivyo hawakawii kukuuza kwa euro kwenye mashamba ya wazungu huko nje
 
huyo ni supplier lakini una mtreat kama debtor wako...we uhasibu umepiga chenga...
 
Mwaka mmoja na wewe 2023 nimempa mtu 100k ana shida kipindi hiko boom limeisha mpaka warudi likizo.... Mpaka Leo nishachoka kudai...

Kwenye harkt zingine Tena deals hela ndefu daah !! Sema watz hatuna uaminifu

Mimi naweza nisiwe muaminifu sio kwenye deni la mtu au michongo dhuluma sipendi kabisa..... Kudhulumiwa kunaumiza!!

Nakumbuka mzee mmoja alinambia nikikuangalia wewe mimi na watz wote tunadharauliwa na wahindi kwa sababu, hatuheshimu muda, makubaliano mliopeana, uaminifu hatuna!!

Nakumbuka alikuwa ananisisitiza integrity iz all in your life! No matter what integrity!! Integrity mpaka kwenye WhatsApp chats or normal calls!

Nikaja kuelewa wabongo bhn uaminifu ndo unaotufungia milango ya riziki !!
 
Kukopa sio kitu kirahisi kama unavyodhani,

Watu wengi sana wana assets kibao lakini wanakaa mbali na mikopo,

NI MKOPO SIO ZAWADI

Hakuna tajiri au kampuni kubwa inakaa mbali na mikopo be it debt, line of credit, hela za investors and shareholders nk.

Maskini wanaambiwa kaa mbali na mikopo sababu hawajui wafanyie nini hata wakipewa hizo hela.
 
Mpaka apate mkopo wa Biliono 80 it means huyo tayari ni tajiri au mtoto wa tajiri. Hakuna masikini au ngozi nyeusi anayeweza kwenda benki na kupewa bilioni 80 kirahisi rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…