Supu ya pweza inanimalizia hela nashindwa kuiacha

Supu ya pweza inanimalizia hela nashindwa kuiacha

Katika Moja ya madude ya ajabu watu wa dar wanayokula ndio hayo masupu ambayo ni testless na yenye pungent irritating smell pamoja na madude mengine ya ajabu ya baharini sawa na makono kono ya nchi kavu, kaa na nge wanayokula nyakati za jioni. Nikiyajaribu natapika hadi utumbo
Huyo ni ww, wengine wanayapenda kwao yanataste nzuri
 
Back
Top Bottom