begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Pole ndo ushachanjiwa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna, choo kipo kawaida kabisa. Tena soft tu.Mkuu unapata choo kawaida?
Nahisi ngoma inaziba choo, ukikata gogo lazima ulie au ujishikie kwenye kitu chochote.
J karibu pweza, napika nyumbani hapa mazingira ya uyapendayo.Sio kweli
Kumbe tupo wengi?nikajua ni peke yanguNina Addiction ya Kuwaza Ma'ideas makubwa makubwa natamani kupunguza Lkn sijui how. Yanaumiza ndio maana
Sio wote bhana kuna sehemu nzuri tuu wasafi tuu mfano mimi huwa nakula sana pale sinza…mkabala na vunja bei pale stand jamaa msafi tuu! Sehemu nyingine kule kwa wahindi muhimbili-Upanga wasafi tuuuMazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Duuh aiseeKwa kuwa unatumia fedha zako kula, we jenga shavu.
Mimi nina addiction ya tambi mbichi. Natafuna kile kipakti kimoja cha Santa Lucia ndani ya siku mbili.
Lakini naenjoy.
Ingekuwa pombe ningekulaumu kdg. Kama ni chakula kula tu Mzee baba. Kula hakufilisi.Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.
Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.
Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.
Tushee experience walevi wenzangu
haahaa hili ni janga kama janga lingine ila la kuvalia njuga
Ana addiction yule na vile vikachori lazima tu uache 2000/3000 kwa siku.
Apo ni maombi na kutengeneza mazingira magumu kama kutokuwa na hela ya ziada pindi unapokaribia kurudi nyumbaniZa jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.
Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.
Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.
Tushee experience walevi wenzangu