Supu ya pweza inanimalizia hela nashindwa kuiacha

Supu ya pweza inanimalizia hela nashindwa kuiacha

Kweli we ni Selemani Sele [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Sio wote bhana kuna sehemu nzuri tuu wasafi tuu mfano mimi huwa nakula sana pale sinza…mkabala na vunja bei pale stand jamaa msafi tuu! Sehemu nyingine kule kwa wahindi muhimbili-Upanga wasafi tuuu
 
Supu ya Pweza usipokua Makini unaweza kula nauli, zile Kachori sasa na ile Pilipili yao balaaa!!!!!!
 
upe mwili<bord] pongezi kwa kukuhifadhi ujengee shep> kama unatoka mapunye achana nayo
 
Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.

Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.

Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.

Tushee experience walevi wenzangu
Ingekuwa pombe ningekulaumu kdg. Kama ni chakula kula tu Mzee baba. Kula hakufilisi.
 
Katika Moja ya madude ya ajabu watu wa dar wanayokula ndio hayo masupu ambayo ni testless na yenye pungent irritating smell pamoja na madude mengine ya ajabu ya baharini sawa na makono kono ya nchi kavu, kaa na nge wanayokula nyakati za jioni. Nikiyajaribu natapika hadi utumbo
 
Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.

Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.

Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.

Tushee experience walevi wenzangu
Apo ni maombi na kutengeneza mazingira magumu kama kutokuwa na hela ya ziada pindi unapokaribia kurudi nyumbani
 
Back
Top Bottom