Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Ndimu kwenye dafu?Vyovyote ila unatia ndimu kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndimu kwenye dafu?Vyovyote ila unatia ndimu kidogo
NAKAZIA! 😂👍🏾🙌🏾🙏🏾Kama bajeti ya supu ya pweza inakumalizia hela ndugu yangu bado una safari ndefu endelea kutafuta hela
Ungekuwa unakunywa pombe ungesemaje?Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.
Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.
Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.
Tushee experience walevi wenzangu
Inategemea ni wapi umepita ukaona au umeenda kula bibie...Mazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Pweza anauzwa usiku usiku nzi hawapoMazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Kuna mtu alinidokezea kuwa wengine hudiriki mpaka kuweka vitu fulani kuvutia wateja (Ushirikina tu!)Basi usile tena nikikwambia kitu wanachoweka humo kwenye hizo supu hutazisogelea tena..
Pweza anauzwa usiku usiku nzi hawapoMazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Panda boda boda vaa na kofia pita ndukiiiNjia ni moja
Pweza wanauzwa kwa kilo. Huyo pweza wa 10K unampata wapi mwenzetu?Amka asubuhi mapema nenda pale Ferry shuka chini ufukweni ukamate mvuvi anakuuzia pweza mkubwa kwa elfu 10. Unarudi nyumbani unamchemsha utakula wiki nzima mdogo mdogo
Kama hujui, ukiwa na homa kamulia ndimu moja kunywa. Ni kama panadol safi kabisa.Ndimu kwenye dafu?
Najua pweza wanauzwa kwa kilo, ni mpaka afike ndani sokoni au eneo la mnada ndio anapimwa. Ukimfata nahodha au baharia kwenye chombo anakuuzia kulingana na ukubwaPweza wanauzwa kwa kilo. Huyo pweza wa 10K unampata wapi mwenzetu?
Kweli tuko tofauti mkuu.Taa unilishi hata kwa dawa.Ila pweza mtamu sana na samaki Taa, vichenchi chenchi vyote vinaishia hapo.
Mazingira yake huwa machafu kinyama,nzi kama wote
Maisha hayapimwi kwa bajeti dhaifu za namna hiyo!Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.
Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.
Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.
Tushee experience walevi wenzangu
Ni labor charges per day katika ujenzi, hupati kubwa kama ndogo unaidharauJitahid ule 10000/= haijengi nyumba
Taa sasa ndo mtamu kuliko pweza. Ana ladha ya samaki. Pweza bila kumchovya kwenye pilipili sidhani kama analika.Kweli tuko tofauti mkuu.Taa unilishi hata kwa dawa.
KwambaNdimu kwenye dafu?