Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kawaida sana hiyo😂😂Leo nimemla aisee nimefika muuzaji kanichangamkia boom 3000 imeenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sana hiyo😂😂Leo nimemla aisee nimefika muuzaji kanichangamkia boom 3000 imeenda
Shida ni kwamba ukisoma money rules tumia hela ikiwa kama kuna umuhimu sasa pweza hazina hata umuhimuChakula kwaajili ya tumbo lako gharama yake haiwezi kukufilisi labda kama hicho chakula kina madhara kwako, maana hiyo siyo pombe wala kilevi chochote ni chakula tu
😂😂😂Sasa hv hela ya pweza nachukua boda kwenda homeKawaida sana hiyo
Hakuna money rules kwenye chakula, weka hizo sheria kwenye stareheShida ni kwamba ukisoma money rules tumia hela ikiwa kama kuna umuhimu sasa pweza hazina hata umuhimu
Supu ya pweza ina ulazima unavyoonaHakuna money rules kwenye chakula, weka hizo sheria kwenye starehe
Ndiyo chakula ni basic needsSupu ya pweza ina ulazima unavyoona
Tutabishanahadi keshoNdiyo chakula ni basic needs
Yaani acha tu
Bila kitunguu hainogi yaaniKwanza hakuna supu inamambo mengi kama soup ya pweza hapa vitunguu, mara limao, hapa kuna ukwaju, huku kuna sijui nini ili mchuzi uende vizuri basi kachori lazima zihusike.........we acha tu hela ziishe
Kwasababu una mawazo ya kimaskiniTutabishanahadi kesho
Hela inatafutwa ili itumike,unalalamika hela kuisha kwa kula kitu ukipendacho!Hela inaisha kaka
Sio vibaya kujikuna unapofikia😂😂😂Sasa hv hela ya pweza nachukua boda kwenda home
Mantiki ni kwamba pweza is unneccesary naachajeSio vibaya kujikuna unapofikia
😂😂Hujapoga mahesabu ya mwezi weweHela inatafutwa ili itumike,unalalamika hela kuisha kwa kula kitu ukipendacho!
Life is very short,spend it now,tomorrow may never come.
Kama unapenda na unamudu bajeti kulaMantiki ni kwamba pweza is unneccesary naachaje
Kwahiyo umeleta huu uzi ili ubishane? Mimi nilifikiri umeanzisha uzi ili upate ushauriTutabishanahadi kesho
Hiyo hesabu yako kwa mwezi kwa huku ninapoishi mimi ni nothing.😂😂Hujapoga mahesabu ya mwezi wewe