Supu ya pweza inanimalizia hela nashindwa kuiacha

Supu ya pweza inanimalizia hela nashindwa kuiacha

Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.

Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.

Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.

Tushee experience walevi wenzangu
Peleka Facebook.
 
Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.

Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.

Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.

Tushee experience walevi wenzangu
Hiyo supu mnachanganyiwa na Viagra
 
Me supu ya pweza sinywi ladha yake sielewi ila pweza na zile kachori nikianza kuchoma huwa siridhiki aisee 5000 shwaa
 
Usipite hayo maeneo wanayouza ukiwa na njaa,. hakikisha umeshiba ndo upite hapo itakusaidia kutotamani hiyo pweza na kachori
Pweza na kachori hata kama umeshiba ukpita maeneo hayo utanunua tu, utasema ngoja nionje jero mara unashangaa inafika 5k
 
[emoji23][emoji23]Hujapoga mahesabu ya mwezi wewe
Ukiishi hivo utapata shida tu , zaman nilikua naishi kimahesabu sana mfano nauli kwenda kazini nakurudi nilikua natumia 2500 kujibana ila sasa napata shida tupu wakati pesa ni yangu!!

Siku hizi sipigi hesabu za matumizi nauli natumia hata 6k kulingana na hali ya usafiri ilivyo siku hiyo. Kikubwa ni kupambana kuwa na kipato kikubwa.

Mtu unatafuta pesa lkn unajibana kula unachokipenda!! Ni upumbavu
 
Za jioni wakuu, supu ya pweza ni maarufu sana Dar es salaam mida ya jioni ambapo tunaona watu wanauza supu kwenye vimeza vyao.

Sasa kitu kinachofanya nije leo ni ulevi wa supu ya pweza aisee nimejitahidi kuacha nimeshindwa yaani kila nikitoka kazini njia ya kwenda nyumbani kuna kibanda cha pweza kama wana dawa vile hawa watu unasema ninywe supu ya mia tatu ,mara unapiga kachori, paap kata mkia wa elfu mbili, weka na prawn puuh elfu tano imeenda.

Nikaamua nipige hesabu kila nikila pweza niandike kwenye google notes aiseee nimekuja kupiga hesabu mwezi december 2023 nimetumia elfu 65600 ukichezesha mwaka mzima kama laki 7 hv jamani si Tv mpya hiii.
Nifanyeje niache huu ulevi wa supu ya mdudu pweza.

Tushee experience walevi wenzangu
bora supu ya pweza kuliko DOUBLE KICK!!!,,,,nakupa ruhusa,endelea kunywa mkuu!!
 
Back
Top Bottom