Sura Mbaya, jambazi aliyeitikisa Tanzania kutoka Tabora


Kwa UK wana jamaa mmoja alikuwa mwizi sana na mpaka leo wanamkumbuka na kuna barabara na pub kwa jina lake
 
Kuna jamaa alisumbua Sana DODOMA walimuita DAUDI MDUNYA miaka 198+ alifanya vurugu hatari lkn alikuja kuuwawa na kijana mdogo Sana miaka 12 kwa mshale
 
Sura mbaya,,,sio wa c ra kweli,,?[emoji23][emoji23]
 
power mangwana, jamabazi alijificha nyuma ya mazingaombwe
kama kuna mwenye stori yake au kitabu chake tafadhali
 
Du! Mimi niliwahi kumsikia tu Powemagwana baada ya kuacha ujambazi miaka ya 2000+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…