Napenda sana habari za hawa manguli wa ma-cocain. ELCHAPO (mwanzilishi wa cocain pure) na ESCOBA.habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo
Tumshukuru Mola miaka hii mbabe mmoja JPM.... Sijui zamani Askari walifanyaje mtu anafanya zaidi ya matukio 20 na anajulikana.
By the way siji kumsahau sadro chinjachinja mwenye gari jekundu aliyevuma kwa stori mbaya za kuponda vichwa na kuchinja msituni.Sadro ulifanya siku zetu ziwe za kutisha miaka ile. Kwetu Mufindi kiboko alikuwa Jambazi Muvemba mvumbuzi wa liganga la fatuma.... Jamaa aliuliwa katika mpambano wa kivita uliopoteza polisi mmoja anaye jituma sana nyakati zile. Muvemba alifahamika kwa kila lika kuwa Ni Jambazi na alifanya nyakati zetu ziwe za kiza enzi zile
Bro not every thing you take us back to politicsKuna miaka ijayo tutasikia au watakao kuwepo watasema, kulikuwa na jambazi lilikuwa linatumia kofia ya siasa kupora wafanyabiashara wakubwa na kuteka wanaopinga chama chake akiitwa Bashite. Ajabu kaja mshamba lakini kapata ujanja mjini na kubebwa na kijana wa ushuani akiitwa Rizimoko
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu nakumbuka aliwahi kutubia nyumba na shamba letu akaviuza MombasaKuna Bella ciao ..huyu alitamba miaka ya 1990 uko Arusha, alikuwa anaiba Nyumba na viwanja anaenda kuuza kenya
Ujambazi wake unahusikaje na politics? Jambazi ni jambazi jomba! Kama hujui ndio nakuambia.Bro not every thing you take us back to politics
Unajua politics inaboa ati
Hebu lifafanue vizuri hili mkuu. Huyo alikuwa anaishi mkoa gani?. Miaka gani mkuu?. Kwa shida gani mpaka wamtumie demu TISS apoteze muda na rasimali kwa miaka 20,huku jamaa likiishi nae? (NB:-nikitumiwa mimi TISS demu mkali kuni-spay,atawageuka nyie kwa mambo atakayopewa atawasariti tu anahamia upande wangu)Kipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks kwa hii simulizi niliisikia yaani yule dada alijitoa mpaka mwili wake na siku ya kuliua ilo dubwana aligeuka kuwa upande wa askariKipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Isiman hiyo bana inahistoria kubwaThanks kwa hii simulizi niliisikia yaani yule dada alijitoa mpaka mwili wake na siku ya kuliua ilo dubwana aligeuka kuwa upande wa askari
Hebu lifafanue vizuri hili mkuu. Huyo alikuwa anaishi mkoa gani?. Miaka gani mkuu?. Kwa shida gani mpaka wamtumie demu TISS apoteze muda na rasimali kwa miaka 20,huku jamaa likiishi nae? (NB:-nikitumiwa mimi TISS demu mkali kuni-spay,atawageuka nyie kwa mambo atakayopewa atawasariti tu anahamia upande wangu)
Sent using Jamii Forums mobile app
habari za watu Kama hawa hazina afya kwa jamii sababu hazina mafunzo mema Bali huhamasisha uhalifu ntakupa mfano Wa mtu Kama ELCHAPO GUZMAN wao wanamuita mungu Wa madawa ,kilicho muhamasisha kujiingiza katika masuala hayo alikiri kuwa ni pamoja na kutizama picha nyingi za kihalifu na pia kusoma historia za PABLO ESCOBAR ,Nadhani umepata jambo
Kaka jambaziNani?
Ongeza kahawa mkuuKipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mambo si mambo ๐ฎ ๐ฎ ๐๐alikuwa anaiba Nyumba na viwanja anaenda kuuza kenya
Tayari ameishi nae kwakipindi hicho na akamzalia nawatoto(majina siosawasawa kutaja),nitumie neno kubariki ndipo utaelewaHii habari ya Kipagate mbona imekaa kama sinema?
Yaani kaishi na mwanamke miaka 20 ndiyo akaamua kumuoa!
viwanja vya ikulu ya KenyaHuyo Jombi alifanyia wapi shughuli zake?
Mi niongezewe chapati ziwe tatu
Kumbe walikuwa wanabariki, sawa Mkuu. Basi heshima kwa huyo mama aliyejitolea mpaka kupata watoto na huyo jambazi ili tu akamatwe.
Si wanasema serikali haiamin uchawi kumbe ni msemo tyu ila inaamini ...serikali ni raia na bila raia hakuna serikali so usemi wa serikali haiamin uchawi na maneno tyu....raia hawaamin uchawi hahahhaahhaKipagate alikuja kuuawa baada ya serikali kumtumia mwanamke aliyekua TISs na aliishi nae kama wapenzi kwamuda wamiaka ishirini.ndipo akamuuamini akatoa siri kwann risasi hata wamumiminie hutereza mwilini mwake.akamuhadisia yule demu kilakitu kwAmba rohoyake iko kwenye kivuli chakisigino..sasa yule Dada akapeleka taarifa zote kwawaliokua wamentuma.basi siku yaharusi akaandaliwa askari wakulenga kilekivuli chakisigino.sikuhiyo ndipo ikawa siku yamwisho kwa kipagate kuishi dunia(siku yaharusi)ilikua vurumai yakufa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app