Unajua watu wa Ukraine ni aina ya watu wanaoshabikia ubabe na ukatili. Mpaka leo Hitler ana mashabiki lukuki huko ukraine. Ila ni watu wanaoipenda sana nchi yao na wako tayari kufa kwa ajili ya nchi yao! wanaitwa NATIONALISTS au wafia nchi!! Putin anawabonda sana lakini wamo tu!! Ingekuwa siyo ro ya ufia nchi wangeshasalimu amri siku nyingi!