Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Mkuu hakuna MTU atakuthibitishia uwepo wa Mungu. Utathibitisha mwenyewe siku za uhai wako,kabla hujafa utaamini tu Mungu yupo.

Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.

Nitathibitisha au nitaamini?

Unaelewa viwili hivi ni tofauti?

Unaweza kuthibitisha kwamba nitathibitisha?
 
Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.

Nitathibitisha au nitaamini?

Unaelewa viwili hivi ni tofauti?

Unaweza kuthibitisha kwamba nitathibitisha?
Mkuu haijalishi tofauti ya maneno unavyotaka kuyaweka,as long as unaishi,utakubaliana na kila kitu unachopinga. Utajua hivo kwa moyo wako, hakuna atakaekueleza au kukupa ushahidi. Utayajua mwenyewe kwa ufahamu huohuo ulionao sasa.
 
Hakuna mtu anayeweza kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.

Nitathibitisha au nitaamini?

Unaelewa viwili hivi ni tofauti?

Unaweza kuthibitisha kwamba nitathibitisha?
Ugomvi wako na Mungu usikupe kibiri cha kuwaingiza wengine waende na wewe.
Nenda mahali uwe peke yako, piga kelele kwa sauti ya juu ukimuuliza kama kweli yupo ajitokeze umwone kwa macho yako.
Kama itaanguka radi au vinginevyo utamwona tu.

Usikose kuja kutuhadithia.
 
Mkuu haijalishi tofauti ya maneno unavyotaka kuyaweka,as long as unaishi,utakubaliana na kila kitu unachopinga. Utajua hivo kwa moyo wako, hakuna atakaekueleza au kukupa ushahidi. Utayajua mwenyewe kwa ufahamu huohuo ulionao sasa.
Hayo maneno tu umeandika, unaweza kuandika wewe ndiye Mungu mwenyewe.

Je, kuandika hilo kutakufanya wewe uwe Mungu?

Thibitisha ulichoandika ni kweli na si ujinga tu uliohubiri.
 
Ugomvi wako na Mungu usikupe kibiri cha kuwaingiza wengine waende na wewe.
Nenda mahali uwe peke yako, piga kelele kwa sauti ya juu ukimuuliza kama kweli yupo ajitokeze umwone kwa macho yako.
Kama itaanguka radi au vinginevyo utamwona tu.

Usikose kuja kutuhadithia.
Siwezi kuwa na ugomvi na Mungu kama Mungu hayupo.

Thibitisha Mungu yupo kwanza kabla ya kusema nina ugomvi na Mungu.
 
Back
Top Bottom