Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Sura ya Mungu kupitia Wajapani

Nashindwa kujua shida kwao ni Mungu ama shida ni contradiction!![emoji23]
Mungu ambaye dhana ya kuwepo kwake ina contradiction isiyoweza kutatulika hayupo, ni story tu.

Ukiruhusu contradiction, utaruhusu chochote.

Utaruhusu ulimwengu ambao hauna logic.

Na ulimwengu tunaouona una logic.
 
Mungu ambaye dhana ya kuwepo kwake ina contradiction isiyoweza kutatulika hayupo, ni story tu.

Ukiruhusu contradiction, utaruhusu chochote.

Utaruhusu ulimwengu ambao hauna logic.

Na ulimwengu tunaouona una logic.
Dhana ya kuwepo kwake au dhana ya yeye kuumba huu ulimwengu? Hebu weka sawa hapo.
 
Dhana ya kuwepo kwake au dhana ya yeye kuumba huu ulimwengu? Hebu weka sawa hapo.
Dhana ya kuwepo kwake.

Hata kabla hajaumba ulimwengu.

Unaambiwa Mungu hatakiwi kuumba ulimwengu unaoruhusu mabaya, kimantiki. Kabla ulimwengu haujaumbwa.

Halafu anaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya.

Hii ni contradiction inayoonesha huyo Mungu katungwa tu, hayupo.
 
Dhana ya kuwepo kwake.

Hata kabla hajaumba ulimwengu.

Unaambiwa Mungu hatakiwi kuumba ulimwengu unaoruhusu mabaya, kimantiki. Kabla ulimwengu haujaumbwa.

Halafu anaumba ulimwengu unaoruhusu mabaya.

Hii ni contradiction inayoonesha huyo Mungu katungwa tu, hayupo.
Mbona unajichanganya? unazungumzia dhana ya uwepo wa Mungu au Mungu kuumba huu ulimwengu?

Maana hivyo ni vitu viwili naona unavichanganya.
 
Mbona unajichanganya? unazungumzia dhana ya uwepo wa Mungu au Mungu kuumba huu ulimwengu?

Maana hivyo ni vitu viwili naona unavichanganya.
Dhana ya uwepo wa Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote haiwezi kutenganishwa na uwepo wa ulimwengu.

Kutenganisha uwepo wa ulimwengu na uwepo wa Mungu huyo ni kusema Mungu huyo hana uwezo wote, ulimwengu umeweza kutokea bila yeye kujua au kutaka.

Jambo ambalo lina contradict sifa yake ya uwezo wote.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kwa sababu kuna ulimwengu, unaoruhusu mabaya, unaoonesha hayupo.

Angekuwepo, ulimwengu huu usingekuwepo.
 
Dhana ya uwepo wa Mungu, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote haiwezi kutenganishwa na uwepo wa ulimwengu.

Kutenganisha uwepo wa ulimwengu na uwepo wa Mungu huyo ni kusema Mungu huyo hana uwezo wote, ulimwengu umeweza kutokea bila yeye kujua au kutaka.

Jambo ambalo lina contradict sifa yake ya uwezo wote.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kwa sababu kuna ulimwengu, unaoruhusu mabaya, unaoonesha hayupo.

Angekuwepo, ulimwengu huu usingekuwepo.
Hatutenganishi uwepo wa ulimwengu na Mungu hapa bali tunazungumzia contradiction kwenye suala la dhana ya Mungu kuumba huu ulimwengu, na contradiction inaishia kutuonesha tu kwamba hilo jambo si sahihi kwa maana ni suala ambalo haliwezekani.

Sasa hoja ya kwamba huyo Mungu hayupo ndio maana kuna hiyo contradiction huo ni mtazamo wako na mwengine anaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusiana na hiyo contradiction.
 
Hatutenganishi uwepo wa ulimwengu na Mungu hapa bali tunazungumzia contradiction kwenye suala la dhana ya Mungu kuumba huu ulimwengu, na contradiction inaishia kutuonesha tu kwamba hilo jambo si sahihi kwa maana ni suala ambalo haliwezekani.

Sasa hoja ya kwamba huyo Mungu hayupo ndio maana kuna hiyo contradiction huo ni mtazamo wako na mwengine anaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusiana na hiyo contradiction.
Kuwa na mtazamo kwamba Mungu yupo, ikiwa hayupo, hakumfanyi awepo.

Vilevile, kuwa na mtazamo kwamba Mungu hayupo, wakati yupo, hakumfanyi asiwepo.

Hivyo, mtazamo si kitu muhimu. Kwa sababu hautuambii chochote definitively.

Kitu kinachotuambia kwa uhakika si mtazamo, ni uthibitisho.

Unaweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo?

Unaweza kutueleza imekuwaje Mungu anayesemwa kuwa ni mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 
Kuwa na mtazamo kwamba Mungu yupo, ikiwa hayupo, hakumfanyi awepo.

Vilevile, kuwa na mtazamo kwamba Mungu hayupo, wakati yupo, hakumfanyi asiwepo.

Hivyo, mtazamo si kitu muhimu. Kwa sababu hautuambii chochote definitively.

Kitu kinachotuambia kwa uhakika si mtazamo, ni uthibitisho.

Unaweza kuthibitisha kwamba Mungu yupo?

Unaweza kutueleza imekuwaje Mungu anayesemwa kuwa ni mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
Nimekwambia kwamba wewe kusema kuwa Mungu hayupo kwa sababu ya hiyo contradiction huo ni mtazamo wako binafsi na si uthibitisho ndio maana nikasema mtu mwengine pia anaweza akawa na mtazamo tofauti.

Contradiction inaishia tu kutuonesha ya kwamba hilo jambo(Mungu kuumba huu ulimwengu) haliwezekani na hivyo si sahihi, ila ukija kutuambia kwamba hiyo contradiction inatokana na kwamba huyo Mungu kuwa hayupo hapo ndipo inapokuwa ni mtazamo wako tu na mwengine anawezakuwa na mtazamo tofauti kuhusiana na sababu ya hiyo contradiction.
 
Nimekwambia kwamba wewe kusema kuwa Mungu hayupo kwa sababu ya hiyo contradiction huo ni mtazamo wako binafsi na si uthibitisho ndio maana nikasema mtu mwengine pia anaweza akawa na mtazamo tofauti.

Contradiction inaishia tu kutuonesha ya kwamba hilo jambo(Mungu kuumba huu ulimwengu) haliwezekani na hivyo si sahihi, ila ukija kutuambia kwamba hiyo contradiction inatokana na kwamba huyo Mungu kuwa hayupo hapo ndipo inapokuwa ni mtazamo wako tu na mwengine anawezakuwa na mtazamo tofauti kuhusiana na sababu ya hiyo contradiction.
Kwanza kabisa, kusema Mungu hayupo kwa sababu ya contradiction iliyopo katika hoja ya kuwepo kwake, si mtazamo wangu binafsi.

Ni jambo lililosemwa na kuandikwa na wanafalsafa maelfu ya miaka kabla sijazaliwa.

Ni wewe tu hujasoma.

Na hilo ni tatizo kubwa.

Hujasoma the basic texts on the matter.

Ungesoma, usingesema haya ni mawazo yangu binafsi.
 
Mungu ambaye dhana ya kuwepo kwake ina contradiction isiyoweza kutatulika hayupo, ni story tu.

Ukiruhusu contradiction, utaruhusu chochote.

Utaruhusu ulimwengu ambao hauna logic.

Na ulimwengu tunaouona una logic.

Hicho unachokiita contradictions kinaelezeka endapo ukiwa na upande, wewe huna upande.
Sasa utasema hivi baadae utasema vile.
Mtu anaesema Mungu hayupo huyo huyo anauliza why Mungu alifanya hivi na vile.
Binafsi uwa sina pumzi ya kujadiliana na watu wa Karba yako.
Jaribu kuwa na upande mmoja ili hizo unazoziita contradictions zitatulike.
 
Kwanza kabisa, kusema Mungu hayupo kwa sababu ya contradiction iliyopo katika hoja ya kuwepo kwake, si mtazamo wangu binafsi.

Ni jambo lililosemwa na kuandikwa na wanafalsafa mamia ya miaka kabla sijazaliwa.

Ni wewe tu hujasoma.

Na hilo ni tatizo kubwa.

Hujasoma the basic texts on the matter.

Ungesoma, usingesema haya ni mawazo yangu binafsi.
Haijalishi ni akina nani wana huo mtazamo point ni kwamba hawana uthibitisho hivyo ni mtazamo tu binafsi tofauti na uthibitisho.

Huo unabaki tu kuwa ni mtazamo kama uliikuta na kuamua kuufuata basi pia tambua kuwa wengine wana mitazamo tofauti na huo.
 
Hicho unachokiita contradictions kinaelezeka endapo ukiwa na upande, wewe huna upande.
Sasa utasema hivi baadae utasema vile.
Mtu anaesema Mungu hayupo huyo huyo anauliza why Mungu alifanya hivi na vile.
Binafsi uwa sina pumzi ya kujadiliana na watu wa Karba yako.
Jaribu kuwa na upande mmoja ili hizo unazoziita contradictions zitatulike.

Wewe huelewi immanent critique ni nini.

Immanent critique, ni njia ya kuonesha mapungufu ya hoja, si kwa kuipinga moja kwa moja, bali kwa kuanza kama unakubaliana nayo, halafu kuonesha mapungufu ya hoja. Kuonesha contradictions za hiyo hoja.

Mathalan, wewe una miaka 30 leo.

Unaniambia mama yako mzazi ni binti mchanga ana miezi 6 leo.

Mimi najua hili jambo haliwezekani.

Lakini, nataka kukuonesha hilo polepole.

Nasema, nianze kama nakubaliana nawe, tuseme huyo binti mchanga wa miezi sita ni mama yako mzazi.

Halafu nakuuliza, ikiwa huyo binti wa miezi sita ni mama yako mzazi kweli, na yeye amezaliwa mwaka 2021, na wewe una miaka 30, kwa hiyo umezaliwa mwaka 1992, huyo mama yako mzazi alikuzaaje mwaka 1992 wakati alikuwa hqjazaliwa mpaka mwaka 2021?

Nakuonesha, kwa contradiction, kwamba huyo mama yako mzazi aliyezaliwa mwaka 2021 wakati wewe umezaliwa mwaka 1992 hayupo, ni wazo lako tu. Mama yako ni mwingine.

Sasa, tatizo lako, mimi nikianza kufanya hii immanent critique kwa kusema "tuseme huyo binti ni mama yako mzazi" nakuchanganya.

Kwa sababu una tatizo kwenye kufikiri kidhahania na kimantiki.

Huwezi kufuatilia mantiki ya immanent critique.

Ukiona mtu anafanya immanent critique, unafikiri hana upande.
 
Haijalishi ni akina nani wana huo mtazamo point ni kwamba hawana uthibitisho hivyo ni mtazamo tu binafsi tofauti na uthibitisho.

Huo unabaki tu kuwa ni mtazamo kama uliikuta na kuamua kuufuata basi pia tambua kuwa wengine wana mitazamo tofauti na huo.
Uthibitisho gani wa kuonesha Mungu hayupo unaweza kuukubali kwamba unatosheleza na si mtazamo binafsi?

Na mtu akikwambia habari ya kuwepo Mungu si kweli, kwanza haijathibitishwa, utawathibitishiaje Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu?
 
Uthibitisho gani wa kuonesha Mungu hayupo unaweza kuukubali kwamba unatosheleza na si mtazamo binafsi?

Na mtu akikwambia habari ya kuwepo Mungu si kweli, kwanza haijathibitishwa, utawathibitishiaje Mungu yupo kweli na si hadithi za watu tu?
Kwanza tuwekane sawa, hoja yangu inaanzia kwenye kupinga madai ya kwamba hiyo contradiction(Mungu kuumba huu ulimwengu) ndio inahitimisha au ndio uthibitisho kuwa hakuna Mungu.

Habari ya kuwepo Mungu ni imani hivyo mtu akisema kuwa habari ya kuwepo Mungu si kweli si ajabu maana habari yenyewe ni imani.
 
Dini wanayo mkuu, maana dini ni Imani. They believe in something. Kutomwamini Mungu haimaanishi mtu huyo hana dini. Utakuta hao wanaabudu creatures nyingine huko, ndio dini yao.
And the worst part about them ni kwamba,Wajapani hawana DINI...
 
Back
Top Bottom