Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Toa mfano wa wengi,waliobadili mawazo kwa kilichokuwepo,wakasema hakipo.Wakibadilisha mawazo na kusema hakipo kinatoweka hapohapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa mfano wa wengi,waliobadili mawazo kwa kilichokuwepo,wakasema hakipo.Wakibadilisha mawazo na kusema hakipo kinatoweka hapohapo?
Kukaa kibarazani nakuangalia ardhi nakujua kuwa dunia ni bapa kumbe ni tufe kunaondoa vipi uwepo wa dunia kuwako licha ya uwepo wake unakuwa nitofauti na vile unavyoonekana? Ni sawa nakusema kabla ya kuja kwa mitume/manabii kuna watu walikuwa wa kiabudu masanamu kama Miungu yao ila ziliposhuka hoja juu yao kuhusu Mungu imani yao yakuabudu ilibadilika kutoka kuabudu Masanamu mpaka kumuabudu Mungu mmoja asiyehitaji kutengenezwa na yoyote ili kuhitaji uweko kwake. Hivyo imani juu Mungu ilibadilika bila ya kuondosha uweko wa Mungu.Mara nyingi kuangalia mazingira tu kunapotosha.
Mathalani.
Mtu anaweza kukaa kibarazani kwake, akaangalia ardhi, akajua dunia ni bapa.
Kumbe dunia ni tufe.
Mtu anaweza kuangalia angani, jua linachomoza , linazama, akafikiri jua linaizunguka dunia.
Kumbe dunia ndiyo inalizunguka jua.
Kama vitu vilivyo complex vinahitaji akili kubwa zaidi kuviumba viwepo, hoja hii inathibitisha haiwezekani awepo Mungu muumba vyote. Kwa sababu na yeye atakuwa complex na atahitaji muumba wake, na muumba wake atahitaji muumba wake, ad infinitum, ad nauseam.
Kwa hivyo, hoja yako ya kwanza nimekuonesha hatari ya kutafuta majibu ya maswali makubwa kwa njia nyepesi nyepesi tu. Unaweza kupotoka kirahisi. Inatubidi tujifunze sana, ukweli mara nyingine uko counterintuitive. Unaona dunia bapa, wakati ni tufe. Unaona jua linazunguka dunia, kumbe dunia ndiyo inqzunguka jua.
Scale yetu kwenye universe haitupi uwezo wa kuona na kujua mengi, inabidi tuchunguze kwa kina kabla ya kujiridhisha.
Hoja yako ya pili, also in a counterintuitive way, inatuthibitishia Mungu muumba vyote hawezi kuwapo.
Huwezi kuamini kitu huku ukijua ni uongo.Imani unaweza kuamini chochote, hata uongo.
Sasa utajuaje unachoamini ni kweli kama unakwenda kwa misingi ya imani tu?
Tunarudi pale pale kwasababu ya contradictionNdio nauliza kwanini Mungu wa sifa hizo hayupo?
Kama kutaja Mungu hayupo maana yake yupo, basi vilevile kutaja Mungu yupo maana yake hayupo. Nonsense.Kutokumjua Mungu,hakusaidii,kufanya Mungu asiwepo.Kwasababu huko kutajwa,na wanaosema Mungu,hayupo,ni baada ya kujua yupo,ndio wakasema hayupo.
Na hao,wanaosema Mungu hayupo,wanamtaja Mungu,ndio wakasema hayupo,ni uthibitisho tosha,wenye kujitosheleza,kuwa wamejua yupo Mungu,ndipo wakasema hayupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hitimisho liwe hakuna Mungu? Au ni kwa sababu haonekani kwa maana hakuna uthibitisho?Tunarudi pale pale kwasababu ya contradiction
Kwasababu ya contradictionKwanini hitimisho liwe hakuna Mungu? Au ni kwa sababu haonekani kwa maana hakuna uthibitisho?
Nimeuliza kwanini hitimisho liwe hakuna Mungu kwenye hiyo contradiction?Kwasababu ya contradiction
Ni kama ambavyo aliyekuambia kuna invisible tea pot inayo orbit katikati ya jua isiyopimika kwa kipimo chochote
Ukamkatalia kuwa tea pot ya namna hiyi haipo kutokana na contradiction inayoonesha haiwezekani kisichoonekana wala kupimika kwa kipimo chochote halafu kitu hicho kimeweza kujulikana kiki orbit jua
Unafikiri swali lake la kusema kwanini hitimisho liwe hakuna invisible tea pot litakuwa na mantiki yeyote?
Greeks ancient gods were bannedToa mfano wa wengi,waliobadili mawazo kwa kilichokuwepo,wakasema hakipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu ni kwasababu ya contradiction inayoonesha jambo hilo halipoNimeuliza kwanini hitimisho liwe hakuna Mungu kwenye hiyo hitimisho?
Jambo lipi halipo? Ni kwamba contradiction inaonesha kuwa huyo Mungu hajaumba huu ulimwengu kama inavyodaiwa au hana hizo sifa za upendo wote na ujuzi wote kama inavyosemwa?Nimekujibu ni kwasababu ya contradiction inayoonesha jambo hilo halipo
Invisible tea pot ambayo ni undetectable na kipimo chochote ukiambiwa chupa hiyo ya chai inazunguka jua huko anga za juu
Kauli hiyo itakuwa na contradiction au haina?
Ukisema Mungu hana sifa hizo utarudi pale pale kuwa yule ambaye amesemwa ana sifa hizo hayupoJambo lipi halipo? Ni kwamba contradiction inaonesha kuwa huyo Mungu hajaumba huu ulimwengu kama inavyodaiwa au hana hizo sifa za upendo wote na ujuzi wote kama inavyosemwa?
Shinto, Buddhism, and Confucianism hizi ni baadhi ya dini za wajapan , naamini Mungu yupo Ila uwepo wa madhehebu unamwasilisha Mungu isivyo , Madhehebu ni uongo mtupu na hakuna mtu atahukumiwa Kwa kutofata taratibu za madhehebu ambayo yapo kuneemesha watu wanaojiita wachungajiAnd the worst part about them ni kwamba,Wajapani hawana DINI...
Hapana, yani mimi nikisema kwamba Scars ni mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao ila pia Scars ni mama wa watoto wawili, hapo nitakuwa nimetoa maelezo yenye contradiction kumuhusu Scars na hivyo hizo sifa nilizoeleza kumhusu yeye(kwamba ni mwanaume na ni mama mwenye watoto) haziwezi zote kuwa za kweli ila haifanyi kuwa Scars ambaye ndio mkusudiwa hayupo.Ukisema Mungu hana sifa hizo utarudi pale pale kuwa yule ambaye amesemwa ana sifa hizo hayupo
Kwa tafsiri hiyo hata beyonce ambaye hana uwezo wote na ujuzi wote na upendo wote atafit kwenye hiyo position
Hata ng'ombe anayeabudiwa na dini za kihindu ata fit as long as zile sifa za ukuu zitakuwa excluded
Kwanza tengua huo mfano wako ambao umeuweka kwa ridiculousHapana, yani mimi nikisema kwamba Scars ni mtoto wa kiume pekee kwenye familia yao ila pia Scars ni mama wa watoto wawili, hapo nitakuwa nimetoa maelezo yenye contradiction kumuhusu Scars na hivyo hizo sifa nilizoeleza kumhusu yeye(kwamba ni mwanaume na ni mama mwenye watoto) haziwezi zote kuwa za kweli ila haifanyi kuwa Scars ambaye ndio mkusudiwa hayupo.
Kwanini mkuu ina maana una umiliki wa hilo jina?Kwanza tengua huo mfano wako ambao umeuweka kwa ridiculous
Hiyo ni logical AbuseKwanini mkuu ina maana una umiliki wa hilo jina?